Baada ya kuibuka vita kali kati ya M23 na jeshi la FARDC, likisaidiwa na mamluki kutoka nchi za ulaya na marekani, kundi la FDLR, Kundi la wazalendo, jeshi la Burundi na kundi la Imbonerakure kutoka Burundi, mpaka sasa, inasemekana M23 inakaribia Uvira mjini, umbalo usiozidi Km20.
Jeshi la...