Mama Samia: Kiongozi wa Maendeleo, Je, Atakuwepo Mwingine Kama Yeye?
Nimekaa nikatafakari kwa kina kazi nzuri anazofanya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan. Kwa muda wake madarakani, tumeona maendeleo makubwa katika sekta mbalimbali kama elimu, afya, na uchumi. Hospitali mpya zimejengwa...