Habari wanajamvi.
Kuna maeneo ardhi haikubali kustawisha zao fulani na wakati huo hilo zao linalohitajika sana katika eneo la wakazi husika.
Mimi niko eneo ambalo ni udongo kichanga sana, mazao jamii ya mbogamboga yanakataa kwa Sababu maji kunyauka mapema na udongo hauna rutuba.
Nimefikiria...