Je Wajua? Baadhi ya Magonjwa ya Koo, Njia ya Hewa, Mfumo wa Tumbo, Figo na Kisukari husababisha Kinywa kutoa Harufu Mbaya
Watu wenye Kisukari wanaweza kuwa na kiwango kikubwa cha Sukari kwenye mate yao, ambayo husababisha bakteria wa mdomoni kuzalisha Kemikali zinazosababisha harufu mbaya...
Wadau, heri ya mwezi mpya huu, nina swali ambalo linahitaji msaada wenu.
Kwa nini kuna baadhi ya watu midomo inatoa harufu mbaya!?
Hata Kama akipiga mswaki baada ya muda harufu hiyo hurudi.
Unakuta mtu meno ni meupe na masafi ila mdomo unanuka, shida ni nini?
Na dawa yake ni nini?
Karibuni...
Habari za usiku huu wana JF....
Naomba nijikite kwenye mada moja kwa moja.
Ndugu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tuelekezane namna ya kumwambia Mwenza wako eidha wa kike ama wa kiume ukukitana na janga kama hilo.
UTAMWAMBIEJE Au UTAMSHAURIJE ILI ASIJISIKIE VIBAYA MTU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.