mdomo kunuka

  1. Lady Whistledown

    Magonjwa ya Koo, Tumbo, Figo na Ini husababisha mdomo kunuka

    Je Wajua? Baadhi ya Magonjwa ya Koo, Njia ya Hewa, Mfumo wa Tumbo, Figo na Kisukari husababisha Kinywa kutoa Harufu Mbaya Watu wenye Kisukari wanaweza kuwa na kiwango kikubwa cha Sukari kwenye mate yao, ambayo husababisha bakteria wa mdomoni kuzalisha Kemikali zinazosababisha harufu mbaya...
  2. M

    Tatizo la kunuka mdomo(kinywa) husababishwa na nini?

    Wadau, heri ya mwezi mpya huu, nina swali ambalo linahitaji msaada wenu. Kwa nini kuna baadhi ya watu midomo inatoa harufu mbaya!? Hata Kama akipiga mswaki baada ya muda harufu hiyo hurudi. Unakuta mtu meno ni meupe na masafi ila mdomo unanuka, shida ni nini? Na dawa yake ni nini? Karibuni...
  3. fablo can

    Unaweza tumia njia gani kumwambia mwenza wako kuwa ananuka mdomo bila kumfanya ajisikie vibaya

    Habari za usiku huu wana JF.... Naomba nijikite kwenye mada moja kwa moja. Ndugu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tuelekezane namna ya kumwambia Mwenza wako eidha wa kike ama wa kiume ukukitana na janga kama hilo. UTAMWAMBIEJE Au UTAMSHAURIJE ILI ASIJISIKIE VIBAYA MTU...
Back
Top Bottom