mchengerwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Taja jina la mbunge unayetamani awe Waziri Mkuu mpya wa Tanzania?

    Kwa utabiri wangu, Mwigulu, Innocent Bashungwa au Jafo mmoja wapo ataukwaa U-PM. Tupe utabiri wako
  2. Griss

    JamiiForums Tanzania Je Mchengerwa ndiye aliyechochea Watanganyika kuuawa ?

    Naendelea kukusanya ushahidi angalia body language yake anaonyesha Ni moja walichochea mauaji? Huyu ni mkwe wa Samia Poleni Sana wafiwa wote tutaikomboa Tanganyika kutoka kwa wauni Kama hawa
  3. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Rais Samia achana na Mchengerwa kwenye baraza jipya, anakuharibia sana

    Najuwa kuwa ni mkwe wako na una msifu kuwa ana kifua kikubwa lakini uwezo wake kiakili (IQ) ni mdogo. Mwaka jana alitumia mbinu zile zile za Magufuli za mwaka 2019 kuharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na huo uchaguzi ndiyo uliozaa No Reforms No Elections. Kama CHADEMA wangetendewa haki basi...
  4. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa aomba Rufiji ipande hadhi kuwa Mkoa, ili kurahisisha huduma kwa wananchi

    Mgombea ubunge wa Rufiji wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mohamed Mchengerwa amewasilisha maombi ya wananchi wa jimbo hilo kwa mgombea mwenza wa urais wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi la Rufiji kuwa mkoa ili kurahisisha huduma. Mchengerwa ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za...
  5. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa: Wananchi wa Rufiji wanakwenda kwenye Uchaguzi bila hofu kutokana na Maendeleo yaliyofanyika Jimboni humo

    Mkwe wa Samia naona anavyoendelea kuwaada wananchi wa Rufiji ============ Mgombea Ubunge wa Rufiji kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)Mohamed Mchengerwa ameweka wazi kuwa Wananchi wa Rufiji wanakwenda kwenye Uchaguzi bila hofu kutokana na Maendeleo yaliyofanyika Jimboni humo. Mchengerwaameeleza...
  6. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa: Miaka mitano ijayo ni ya Mapinduzi Kiuchumi kumjenga kila mwana Rufiji

    Mgombea Ubunge wa Rufiji kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mohamed Mchengerwa anaweka wazi kuwa endapo akipewa ridhaa na Wananchi wa Rufiji kuwa Mbunge katika awamu ijayo ya Miaka Mitano ambapo ameahidi ongezeko la Viwanda ili kukuza Ajira kwa Vijana Mjini hapo.
  7. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa (mtu kazi) wajumbe wamuamini kwa kura 8,465 (99.19)

    MCHENGERWA (MTU KAZI) WAJUMBE WAMUAMINI KWA KURA 8,465 (99.19) Mgombea wa Jimbo la Rufiji anayetetea jimbo lake, Ndugu Mohamed Mchengerwa ameibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha kura za maoni kwa kuzoa asilimia 99.19 ya kura zote zilizopigwa. Matokeo hayo mazuri kwa Mchengerwa yametokana na...
  8. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa: Tunakwenda kuzalisha ndizi zitakazouzwa Duniani

    Mtia Nia ya Ubunge wa Jimbo la Rufiji, Mohamed Omary Mchengerwa ambaye ndiye Mbunge anayemaliza muda wake, akinadi sera zake mbele ya wajumbe na kuomba kura kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi wa Kata za Mupi, Bwawani, Mgomba, Umwe, na Ikwiriri zilizopo Ikwiriri katika Jimbo hilo.
  9. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa: 2015 nilikuta shule za msingi zipo 19 tu, sasa hivi zipo 63

    Wakuu, Hizi shule anazosemea Mchengerwa amezijenga kwa hela zake za mfukoni au ni kodi zenu ambazo mnakatwa kwenye mishahara na biashara zenu? Pia kama ameingia 2015 maana yake in a span of 10 years "amejenga" shule 48 tu kwa wastani wa kila mwaka ni kwamba kuna shule 4 zinajengwa...
  10. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Miaka 10 imekuwa ya Mapinduzi makubwa ya fikra na uchumi Rufiji- Mhe. Mchengerwa

    Miaka 10 imekuwa ya Mapinduzi makubwa ya fikra na uchumi Rufiji- Mhe. Mchengerwa Na John Jayros Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM) wa Jimbo la Rufiji, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema akichaguliwa tena atashirikiana na wananchi wa jimbo hilo kuboresha uchumi baada ya...
  11. Ngwathra

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa ni nani?

    Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza...
  12. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa: Mkandarasi akishindwa kutekeleza awamu ya kwanza Ifikapo mwezi wa 10 Barabara ya Banana-Kitunda-Kivule-Msongola Ipitike, achukuliwe hatua

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na mamlaka zilizo chini yake kumsimamia kwa ukamilifu mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa Barabara ya Banana-Kitunda-Kivule-Msongola kwa kiwango cha lami na kuchukua hatua za kisheria ikiwemo kuvunja...
  13. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mhe. Mchengerwa Ataka Kukamilika kwa Ujenzi wa Barabara Jimbo la Ukonga kwa Wakati.

    Mhe. Mchengerwa ataka kukamilika kwa ujenzi wa barabara jimbo la Ukonga kwa wakati. Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Mohamed Mchengerwa amemtaka mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Barabara ya Banana – Kitunda – Kivule – Msongola na Kivule – Majohe Junction...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa: Bilioni 23.5 zitajenga vituo vipya vya afya nchini

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 23.5 kwa ajili ya ujenzi wa vituo vipya vya afya katika majimbo mbalimbali nchini, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa awamu ya pili ya...
  15. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Rufiji: Kada wa CCM Shaban Matwebe akataliwa kuchukua form ya kugombea Ubunge jimbo la Mchengerwa.

    Kada wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Rujifi Shaban Matwebe amelalamikia kuwa Katibu wa Chama hicho Wilaya ya Rujifi amekataa kumpa fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Rufiji. Akiongea leo July 1 2025 Matwebe amesema hiyo sio mara ya kwanza kwake kupata changamoto kwani alishawahi kukamatwa na...
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mshindani wa Mchengerwa ndani ya CCM adai kunyimwa fomu kutia nia ubunge Rufiji

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Rujifi Shaban Matwebe amejikuta katika hali ya mshangao baada ya Katibu wa Chama hicho wilaya ya Rujifi kumnyima fomu ya kukiomba Chama chake kumteua kugombea Ubunge wa Jimbo la Rufiji, Matwebe anatajiwa kuchuana na Mbunge anayemaliza muda wake Mohamed...
  17. R

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti MTR: Wanarufiji hatumdai Rais Samia, tunamkubali Mbunge wetu Mchengerwa atuletee maendeleo

    Mwenyekiti wa Mchengerwa Tumaini la Rufiji Movement - MTR - Juma Kiholobele amesema Wilaya ya Rufiji Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Mbunge wao ambaye ni Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa kwa waliyofanya katika kuwaletea maendeleo hakuna tunachowamdai Amesema hayo akiwa huko Kata ya Mkongo...
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Wakileta pesa zao pokeeni lakini kura kwa mchengerwa

    Wakuu ===== Leo nimeamka na CCM, Nasikia sikia kuna watu wanapitisha viela vyao ili kuwadanganya,naomba niwaambie kitu kimoja,wakileta hizo pesa zao pokeeni na kuleni lakini ikifika wakati wa kupiga kura basi kura zote kwa Mchengerwa. "Hao wanaoleta hizo pesa nadhani wanatoa sadaka na nyie...
  19. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa Awafunda Walimu, Awataka Wawe Wazalendo Kuzingatia Maadili

    MHE. MCHENGERWA AWAFUNDA WALIMU AWATAKA WAWE WAZALENDO, KUZINGATIA MAADILI Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi. Mhe. Mchengerwa ametoa rai hiyo...
  20. G Sam

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa anasema yupo tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kulinda amani ya nchi. Mzaha si mzaha!

    Huyu waziri wa nchi bwana Mchengerwa kwa mapovu anayotoa huenda wadau wamebinya penyewe. Sasa anasema ikibidi kutoa uhai wake ili kulinda amani ya nchi basi atafanya hivyo na yupo tayari. Kwa miaka ya karibuni huenda huyu ndiye waziri wa kwanza wa TAMISEMI akiongelea mambo ya ulinzi wa nchi...
Back
Top Bottom