Mbuzi ni mnyama anaeliwa na madhehebu ya dini nyingi, ni rahisi kununua mbuzi wa kula na familia kuliko ng’ombe, kwanza gharama pili mnaweza kula na kumaliza.
Andaa samaki kidogo kwa wasio kula nyama.
Andaa bakuli la kachum
Acha moto ukolee wote kabla ya kuweka nyama jikoni.
Nyama ya mbuzi...