Sielewi shida ni malezi au tamaduni zetu...?
Ni nyakati gani kwenye maisha yako, unahisi uliishi na watu au mazingira Mazuri kwako na kuyafurahia.. ?
1. Kipindi Unasoma O level au A level, iwe ni boarding au day.
2. Ukiwa Chuo, watu wa karibu ni marafik tu.
3. Kuishi kwa Ndugu wa karibu (sio...