matokeo

  1. Matokeo ya kufuzu AFCON 2021, Misri yalazimishwa sare, Rwanda wafungwa ugenini na Comoro wawatambia Togo ugenini

    Katika mechi za kuwania kufuzu michuno ya AFCON 2021 zilizochezwa usiku huu imeshuhudiwa Misri wakidroo kwa bao 1-1 dhidi ya Kenye ambapo goli la Misri lilifungwa na mchezaji Kahraba dakika ya 42 na mnamo dakika ya 67 mchezaji Olunga alisawazisha na kuufanya mchezo huo kuisha kwa sare ya bao...
  2. Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

    Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo...
  3. Je haya ni matokeo ya Septemba mosi 2019?

    Wanajamvi, Kama tujuavyo, Septemba mosi 2019, mkuu alikutana na na watendaji wa kata zote nchi, je haya yanayotendeka sasa kuhusiana na huu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika siku za hapa usoni ni moja ya maazimio na maagizo waliyopewa hawa watendaji? Inasikitisha sana mambo...
  4. S

    Kubadilishiwa matokeo ya mtihani - UDSM

    Jana natokea zangu chuo niko kwenye daladala ya Tegeta pembeni kuna mtoto mkali akapigiwa simu kwa maelezo niliyosikia kwa upande mmoja ni kuwa huyu binti alifanya mtihani wa Supplementary matokeo yametoka hakufanya vizuri. Kwahiyo akashauriwa akate rufaa mtihani usahishwe upya baada ya matokeo...
  5. Kwa matokeo haya ya form 4 huyu kijana anaweza kufiti wapi?

    Kwa matokeo haya ya form 4 huyu bwana mdogo anaweza kufiti wapi?
  6. M

    Matokeo ya usaili wa TAA Internship

    Waliofanya usaili wa mchujo TAA matokeo yametoka
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…