masoko

Kilwa Masoko is a port town on the Indian Ocean in southeastern Tanzania. Kilwa Masoko is the current major town of Kilwa District and includes all the hotels in the area as well as a bustling market, beautiful beaches, small fishing communities and is the gateway to the ruins of Kilwa Kisiwani. On nearby Kilwa Kisiwani island there are ancient Swahili ruins which were declared a UNESCO World Heritage Site in 1981.
The hotels in Masoko are spread along the coastline but there is a group close to town on JImbiza beach and the newer hotels are on the beautiful Masoko Pwani.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Naomba mnijulishe bei ya iliki iliyopo sokoni kwa sasa kwa maeneo mliopo

    Habari ndugu.!! Mwenye kuelewa bei ya iliki sokon kwa sasa inaendaje (nijuze bei ya sokoni kwa sasa pamoja na mkoa husika uliopo)
  2. Anahitajika Afisa Masoko - Pombe Kali

    Habari Wadau, Anahitajika mtu mwenye sifa zifuatazo: Awe na uzoefu wa kuuza pombe kali (Spirits) walau boksi 2,000 kwa mwezi Awe mwaminifu na muadilifu Awe tayari kufanya kazi Singida, Dodoma na Rukwa Awe na umri kati ya miaka 25-35 Kama una sifa zilizotajwa nitumie email kupitia...
  3. T

    Marekani kuondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko yake ya hisa kwa kukiuka masharti ya CAG wa Marekani

    Kwa kile kinachoitwa muendelezo wa Marekani kuiwekea mbinyo China, sasa Marekani inatarajia kuziondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko ya hisa ya Marekani kwa kutofuata kanuni za ukaguzi wa Marekani. Kanuni za ukaguzi wa Marekani zinataka kila kampuni inayouza hisa zake Marekani ikaguliwe...
  4. Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi inayoongoza kwa kuboresha miundobinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa

    Kwa juhudi zilizochukuliwa na serikali ya TZ katika uboreshaji wa miundombinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria na thubutu kusema kwa sasa TZ ndio inaongoza kwa kua na miundombinu bora katika nyanja za masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa. Ukizingatia project hizi...
  5. China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

    Habari wana jukwaa, Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe mkuu Invisible...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…