Kwa mda mrefu sana bodi za wakurugenzi kwenye mashirika ya umma zimekuwa ni sehemu za watu kumalizia uzee nikimaanisha zimekua ni sehemu za wale walio-staafu serikalini wanachaguliwa kwenye hizi board
Sio sawa Bodi za wakurugenzi wa mashirika ya umma iwe sehemu ya kumalizia uzee
Sina nia mbaya...
Kuna mwaka waziri flani wa nishati kutoka jimbo moja mkoa wa Tanga aliteuliwa kuwa waziri baada ya mda akamteua mtu anayeitwa maharage kuwa CEO wa TANESCO yule jamaa sidhani kama alikuwa na hata experience ya mambo ya kuongoza hata kampuni ya ukandarasi ya umeme, ule ni mfano mmoja wapo ya mingi...
Mko salama?
Kwa kweli sielewi haya mashirika yenyewe huwa yanatangazia ajira zao wapi,mpaka nikahisi labda huko kwenye hayo mashirika watu huwa hawafi wala hawastaafu.
Mashirika yenyewe ni haya.
1.Pssf
2.Nssf
3. Msd
4.wcf
5.Tanesco
6.Ewura
7.Latra
8.Tcaa
9.Tcra
10.heslb
11.CAG
Leo, Juni 10, 2025, Rais Samia amepokea gawio nono la Shilingi Trilioni 1.28, michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma, ikiwa ni ongezeko la asilimia 68. Hafla hiyo imefanyika Ikulu, Dar es Salaam.
"Mbele yako leo hii Mhe. Rais ninayofuraha ya kukukabidhi Gawio ambalo ni nono kuliko la...
Rais Samia akishiriki Hafla ya Kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Taasisi na Mashirika ya Umma Ikulu Dar es Salaam, tarehe 10 Juni, 2025.
https://www.youtube.com/live/Lf1jVU2cugw?si=sGSInESSct_k5jxS
Mko poa wajumbe wa jukwaa hili?
Nipo hapa kuwauliza wanaofahamu utaratibu wa mashirika ya umma huwa wanachukua muda gani kuita watu kazini baada ya kufanya oral interview?
Interview husika ilisimamiwa na taasisi husika na sio psrs.
Nb:ni mashirika ya umma sio psrs,so mtu asichanganye
RIPOTI YA MWAKA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24
Ripoti hii inaonesha ukaguzi wa mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni 2024. Inajumuisha utendaji wa kifedha na uendeshaji wa mashirika ya umma...
Kuna umuhimu gani wa kwa wakurugenzi wote waliorekodi hasara kubwa katika mashirika ya umma wanayoyaongoza kuendelea kuwa kazini? Hakuna uwajibikaji katika utumishi wa umma kabisa na ukichunguza kwa undani hasara nyingi katika mashirika ya umma yanasabibishwa na ufisadi, uzembe, wizi ikiwepo...
Akiwasilisha ripoti yake kwa Rais, Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, Charle Kichere ameeleza kuwa mashirika 12 kati ya 217 yaliyokaguliwa yametumia Bilioni 371 katika matumizi yasiyoleta thamani kwa taasisi.
Matumizi hayo yalitokana na mambo mbalimbali ikiwemo malimbikizo ya riba...
Historia ya Shirika la Posta Tanzania
Huduma za Posta kama taasisi zilianzishwa nchini na Serikali ya kikoloni ya Ujerumani. Huduma ya kwanza ya barua iliyobandikwa stempu ilianzishwa hapa nchini mwaka 1893.
Mara baada ya Uhuru wa Tanganyika tarehe 9 Desemba 1961, huduma za Posta ziliendelea...
Mashirika yanayopaswa kubinafsishwa au kufanya PPP yaani Public Private Partnership haraka iwezekanvyo kwa sababu yameshindwa kuwa na tija kwa taifa kwa muda mrefu huku wakitoa Altered data za utendaji but deep down mashirika haya yamekosa tija na mchango kwa taifa lenye watu 65M ;
haya...
Habarini wakuu,
Naomba kufahamu kuhusu madaraka ya wenyeviti wa bodi kwenye mashirika/taasisi za umma hasa kwenye ajira.
Je, mwenyekiti wa bodi anayo mamlaka ya kuajiri au kufanya recommendation ili mtu aajiriwe kwenye taasisi yake bila tangazo la ajira?
Kuna ubishani tu kijiweni kwetu...
Msajili wa Hazina amesema Serikali katika mwaka wa Fedha 2024/25 Serikali Kupitia Hazina inatarakia Kuyafuta Mashirika na Taasisi za Umma 40 ambazo zilianzishwa Kwa minajiri ya kibiashara lakini zimeshindwa kabisa kujiendesha kibiashara na kutegemeana ruzuku ya serikali kuu.
Serikali inakusudia...
Nimemsikia mwenyewe LIVE, wakati Rais anatoa hotuba leo huko Arusha katika kikao Cha watendaji wakuu wa Taasisi za Umma, akikiri kuwa katika miaka Ile ya mwanzoni wa miaka ya 2000 wakati alipokuwa Waziri wa kawaida, aliwasikia baadhi ya wakuu wa mashirika ya Umma, namna wanavyojimwambafai, Kwa...
Taasisi na Mashirika ya Umma nchini yametakiwa kujikita katika kufikiria njia mbalimbali zitakazowawezesha kuwekeza nje ya nchi ili kusaidia nchi iendelee kujitawala kiuchumi.
Rai hiyo imetolewa leo Agosti 27, 2024 jijini Arusha wakati Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu akizungumza na...
Leo mchana Ruto anajindaa kwa kile kinacho aminika ni hotuba ya kupunguza baadhi ya mawaziri wake na kuunganisha baadhi ya wizara ili kubana matumizi ya pesa za walipa Kodi wa nchi ya kenya ambao ndio wanaoumia na mzigo mkubwa wa kuendesha Serikali.
======
Rais Ruto ametoa hatua zifuatazo...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,mama wa shoka , shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Hii leo muda na Majira ya saa tano asubuhi atafanya tukio zito sana...
Habari wana jukwaa,
Nimejaribu kuingia Website za serikali na za mashirika ya umma ila naona zote zinasema "This site can’t be reached". je kuna shida? na zote zinatumia server moja?
Nimejaribu web zifuatazo;
1. IKULU
2. EGA
3. PSRS
4. NSSF
5. WIZARA KADHAA
Jaribu na wewe mdau tujue.
Habari mimi ni mdau, changamoto yangu kubwa ni kuwa namba nyingi za simu za mashirika ya umma hazipatikani na zingine ukipiga zinakuwa hazipo...
Pamoja na changamoto hiyo, bado mashirika wanaziweka hizo namba kwenye anuani za mashirika hayo jambo linaloleta mkanganyiko sana hasa ukiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.