Wakuu wangu, Watanzania wenzangu, kwema?
Sifahamu bado kama natakiwa kuwahishwa milembe au la!
1. Kutojibana
Nimegombana mno na wanawake kuhusu hili. Mimi ni mtu wa totoz kiasi. Mara nyingi wananiita mchoyo, na nina gubu, kwa sababu nanunua 1kg ya nyama au maini, napika na kula peke yangu.
Mimi...