Najaribu kufuatilia kwa ukaribu sana uongozi wa Raisi mama Samia na Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.
Uchumi umekua wana Jamii forum, na alichokifanya ni uwekezaji tu kwenye:
1. Agriculture
2. Mining and Quarrying
3. Construction
4. Manufacturing
Tokea ameingia madarakani nimekua nafuatilia...