mama salma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mkazi wa Mchinga: Tieni akili CCM hawana nia njema, Mbunge wenu Mama Salma anadharau ni akili gani kusema watu wa Mchinga wanamkubali

    Mkazi wa jimbo la Mchinga akerwa na ahadi alizotoa Mbunge wao nakudai anawaomba wananchi waamke maana Chama cha Mapinduzi kinawachezea akili
  2. ngara23

    GE2025 Mama Salma Kikwete kugombea ubunge ni kujivinjia heshima aliyoijenga miaka mingi

    Huyu mama ashakuwa First lady na Sasa ni First Mstaafu wa Rais awamu ya nne First lady anaambatana na mmewe kukagua gwaride la heshima ndani na nje ya nchi Anapigiwa mizinga First lady ameishi Ikulu Kwa miaka 10, tena pale Magogoni akibarizi na upepo wa bahari First lady Bi Salma alikuwa na...
  3. Adharusi

    Mama Salma fuata nyayo za mstahafu Kassim Majaliwa kwa kustahafu jimbo la mchinga,ili ubaki na heshima

    Kimsingi wanacnchi wengi wanatamani upumzike Ubunge wa jimbo la mchinga ,umekua mbunge kwa miaka 10 ,wa jimbo miaka 5 na Taifa miaka 5 ..wananchi wa mchinga wanakushukuru Ukiamua kufuata nyayo za Mhe Majaliwa ,wananchi wa mchinga watakushuru sana kuliko kuendelea kun'gang'ania ubunge wa mchinga...
  4. Ponjoro wa Kinondoni

    Ni aibu na fedheha kwa mama Salma Kikwete kuendelea kugombea ubunge.

    Inamaana hakuna mtu mwingine mwenye uwezo wa kuongoza huko lindi?
  5. L

    PreGE2025 Salma Kikwete: Mchinga Wamesema Ubunge Mpaka Nichoke Mwenyewe

    Ndugu zangu Watanzania, Huo ni ujumbe wa Mheshimiwa Salma Kikwete Mke Wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete. Ambapo amesema ya kuwa wana Mchinga wamemwambia ya kuwa Ubunge wa Mchinga ni mpaka achoke mwenyewe kuongoza. Hii ikiwa na maana ya kuwa yeye ndiye...
  6. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Jumuiya ya Wazazi CCM Jimbo la Mchinga yadaiwa kumchangia laki moja ya kuchuka fomu Mama Salma Kikwete kugombea Ubunge

    Jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi CCM Jimbo la Mchinga imemuunga mkono Mbunge wa Jimbo hilo mama Salma Rashid Kikwete kwa kumchangia Fedha kiasi cha shilingi laki moja zitakazomsaidia kwenda kuchukua fomu ya kugombea Ubunge muda utakapofika. Makabidhiano hayo yamefanyika Katika ofisi ya...
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Salma Kikwete: Atoa Pole kwa Wananchi wa Mchinga kutokana na Athari za Mvua zinazoendelea

    Ndugu zangu wananchi wa Mchinga, Napenda kuchukua fursa hii kuwapa pole kwa changamoto zinazotokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika jimbo letu. Tunatambua kuwa mvua hizi zimeleta athari kwa familia zetu, makazi, na shughuli za kila siku. Hata hivyo, napenda kuwahimiza kuwa na utulivu na...
  8. Mnyenz

    Magari ya milioni Tano (5M) kushuka chini

    Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001. Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa. Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena. WhatsApp 0712 148001.
  9. M

    Ingekuwa ni Kenya, hivi ule muswada uliotokana na pendekezo la Mama Salma Kikwete kuwa "wapenzi" wa viongozi nao walipwe ingekuwaje?

    Mama Salma alipendekeza kuwa wanandoa wa viongozi nao walipwe kama vile ambavyo "wapenzi" wao wanalipwa. Rais Samia Suluhu Hassan akaona hilo ni wazo zuri na akaamua kulifanyia kazi kwa kuunda muswada na kuupeleka bungeni. Sasa hivi, imekuwa sheria. Kwa hiyo, katika nchi hii, tuna wake wa...
  10. Dalton elijah

    Mabadiliko ya sheria ya mafao ya retirement benefits act, (cap. 225)

    BADILIKO 1: Ongezeko la kifungu kipya cha 9A ambacho hakipo kwenye sheria kinachotaja mafao ya mke/mume wa rais mstaafu. Baada ya rais kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa mkupuo) sawa na 25% ya mshahara wa rais alioupokea katika kipindi chote alichokuwa madarakani. Yaani...
  11. kitonsa

    Mama Salma Kikwete ampongeza Waziri Makamba kuwapa mitungi 100 ya gesi, Spika atolea ufafanuzi

    Mama Salma Kikwete akichangia bajeti ya nishati na madini leo, alimpongeza January Makamba kwa kuwapa kila mbunge mitungi ya gesi 100. Lakini baada mwisho wa section ya spika akasimama kutolea maelezo juu ya hili, kwa ufupi. Kuwa jamii isielewe vibaya juu hili ni ajili ya wabunge kwenda kwa...
  12. Pascal Mayalla

    Mke Kuomba Ruhusa kwa Mume, ili Kusafiri Hata Safari za Kikazi!, Imekaaje?. Mama Salma Kikwete Huwa Anaomba Ruhusa!. Je Boss Ladies Wanaomba Ruhusa?.

    Wanabodi, Sorry, this is a duplicate Mke kuomba ruhusa kwa mume ili kusafiri, hata safari za kikazi - imekaaje? Mama Salma Kikwete huwa anaomba ruhusa! Je, Boss Ladies wanaomba ruhusa? Paskali.
  13. Pascal Mayalla

    Mke kuomba ruhusa kwa mume ili kusafiri, hata safari za kikazi - imekaaje? Mama Salma Kikwete huwa anaomba ruhusa! Je, Boss Ladies wanaomba ruhusa?

    Wanabodi, Kwa mila na desturi za kiasili za Kiafrika, Traditional African tradition, kwenye ngazi ya familia, mume ndie mkuu wa familia, ndie anayechagua mchumba, ndiye anaya posa, adie anayelipa mahari, kununulia bidhaa ya mke!, ndie anaye oa, na kukabidhiwa bidhaa yake na kumhesabu mkewe ni...
  14. Suley2019

    Mama Salma asimulia Kikwete alivyowateka mabinti

    Dar es Salaam. Miaka 72 ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya nne (2005-2015), Jakaya Kikwete imekuwa na simulizi nyingi zinazogusa maisha yake, kubwa ni kutoka kwa mkewe, Mama Salma Kikwete. Wawili hawa ambao wapo kwenye ndoa kwa miaka kadhaa, walikutana kwa mara ya kwanza Wilaya ya Nachingwea...
Back
Top Bottom