mahusiano na ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Think2

    Je, ni haki ya mwanamke kumuuliza mumewe alikuwa wapi baada ya kuchelewa kutoka kazini?

    Kwa upande wangu sipendi kuulizwa na mtu niliemuoa nikamleta kwangu na mahari nilimlipia, yaani nakuja kwangu nipumzike uniulize hivyo! Hapana, nitajihisi kama umenidharau sana kama mtoto. Wanawake, wanaume hatupendi kuulizwa ulizwa, we shukuru nimerudi home basi!
  2. Mr Why

    Baadhi ya ndugu wa wapenzi wetu na Wakwe ndio chanzo cha mahusiano na ndoa kuvunjika

    Baadhi ya ndugu na Wakwe wa wapenzi wetu ndiyo chanzo cha ndoa kuvunjika Maisha ya mapenzi na ndoa ni swala la faragha kati mume na mke Kawaida kwenye kuishi inatakiwa waishi wawili tu na watoto wao ili wawe na focus nzuri ya kujenga familia yao Inapotokea watu wa pembeni kuanza kuingilia...
  3. tonicimmobility

    Ukioa tu mambo yanaanza kuvurugika kwenye maisha

    Hili jambo lina uhalisia gani mliotutangulia? Soma pia: Ndoa nyingi za vijana waliovuka 30 hazidumu kwasababu ya msukumo, wengi huwapati nafasi ya uchaguzi sahihi, wanajitupa kokote kupunguza maneno.
  4. pet geo pet

    Ushauri: Baba mkwe katupa kiwanja nijenge na mwanaye wa kike. Ninasita, nikubali au niache sababu naingia mtegoni?

    Wakuu habarini, Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu, wakati huo nishampatia mimba. Hivi karibuni baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja cha million 1.5 -2, cha kushangaza mzee wa watu akatupa kiwanja cha Bure tujenge mimi na mwanae wa kike, ili hiyo pesa niliyotaka kununulia...
  5. Tlaatlaah

    Nini hasa siri ya amani, furaha, upendo na kudumu kwa mahusiano na ndoa yako kiasi hicho?

    hadi naandika hoja hii, kuna kundi kubwa mno la waliowahi kua kwenye mahusiano, uchumba na ndoa, lakini wanasoma ujumbe huu mahususi wa urejesho sasa, wakiwa wamasambaratika si wamoja tena na wenzi wao, hawaishi pamoja na wala hawa wasiliani tena, ni maadui wa kubwa, wenye uhasama ambao kila...
  6. Mr Why

    Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi

    Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi bila kukumbuka kuwa Mwanaume anatulia na mke mmoja anapofikisha angalao miaka 60 hivyobasi namna ya kuenjoy mahusiano na ndoa zao wakubali waume zao kurusha risasi nje pia wasitake...
  7. lelulelu

    Je, ni sahihi nikimwambia baba mkwe matatizo yangu lakini mke wangu (mwanae) asijue?

    Baba mkwe ndio mtu pekee anaeweza kunisaidia, ila sitaki mke wangu ajue maana ni msumbufu. Je, baba mkwe wangu anaweza kuliweka moyoni bila kumwambia mwanawe ishu yangu.
  8. Travis Kitengo

    Mwanaume, ukiona tabia za Mwanamke zimekushinda muache aende na si kumpiga

    Kwa mliooa kama mke anachapwa sana, please move on. Mambo ya kupiga mwanamke yatakufikisha pabaya. Utaharibu future Yako.
  9. Ghost MVP

    Wadada Chukueni Hii: Kuwa wa kwanza katika Game Humdatishwa mwanaume

    Unajua Mhusiano bado ni Mada pana Sana lakini tugusie leo kitu kidogo tu kwenye swala la Game. Mwanaume always akiwa na mtu lazima awe na hisia naye hivyo basi yeye hawezi chukia tendo, Lakini kuna Ingredients kidoncho vikiongezeka basi hata kama huyo mtu alikuja Kuchapa Ilale basi atabaki...
  10. Mjanja M1

    Video: Nchi kama hii kuendelea ni majaliwa

    Mimi Mjanja M1 nimeishi Marekani, Uingereza na China, kote huko sijaona mambo ya ajabu kama haya!
  11. Uhuru24

    Wewe mwanamke kuwa na huruma kwa mumeo

    Wanaume tunapitia maisha magumu sana, hebu fikiria mtu ambaye anafanya kazi, mnaishi wote halafu mwanamke anakuja kuvuruga kila kitu. Nina jamaa yangu na mkewe wanaishi wote. Huyo mkewe alikuwa anafanya kazi zamani mkoa wa Mwanza na sasa hivi inasemekana amepata kazi Dar es Salaam hivyo kuhama...
  12. L

    Kama umeamua kuwa mchepuko basi zingatia yafuatayo

    .
  13. MALKIA WA TABASAMU

    Mambo matano yatakayokusaidia kutengeza mahusiano bora ya ndoa

    ZINGATIA HAYA ALFAJIRI. KIJANA JINSI ZOTE. Nimeiita alfajiri tusiyojua kilichobebwa na mchana wake. Ndio ni alfajiri na mapema ya mahusiano unayoona pengine kuna umbali yataenda na hata kukupeleka kwenye ndoa. Watu wengi huanguka mwanzo/asubuhi lakini athari huonekana jioni kwa sababu tu...
  14. Paspii0

    SoC04 Tanzania tuitakayo katika nyanja ya mapenzi, mahusiano na ndoa

    NB: picha kwa hisani ya mtandao. UTANGULIZI. 👉 Linapokuja suala la mapenzi, mahusiano, na ndoa, watu wanaweza kuwa na matakwa mbalimbali yanayohusiana na hali ya maisha, utamaduni, na imani zao. Wakati mwingine, matarajio haya yanaweza kutofautiana kulingana na umri, jinsia, na hata muktadha...
  15. GENTAMYCINE

    Hivi Mshauri wa Saikolojia na Ndoa za watu nchini Tanzania Dkt. Mauki ndiyo kusema yeye ni Malaika na hakumbani na kero zitupatazo?

    Kwahiyo Yeye Mkewe hachepuki, yeye hachepuki na kwamba yeye ni Mtakatifu sana katika Mahusiano na Saikolojia? Tafadhali mwenye Picha ya Mke wa Dkt. Chris Mauki tafadhali aiweke hapa ili labda wenye Changamoto zetu za Kimahusiano tuitumie Kuwaonyesha Wapenzi / Wake zetu ili Wakiiona tu nao...
  16. E

    Muda wa kawaida wa tendo la ndoa ni dakika 3 mpaka 7, fantasy zinaua mahusiano na ndoa za watu

    Tuwekane sawa #Kwanza kabisa zaidi ya 90% ya wanaume wenye shida ya nguvu za kiume ni just psychological / shida ya kisaikolojia tu. #Pili kwa wanawake Kiuhalisia hakuna mwanaume atakuoa akamaintain huo muda wa tendo la ndoa kama mkiwa kwenye relationship au ukichepuka. Kuna mambo mengi nyuma...
  17. J

    Dr. Chris Mauki vs Kataa Ndoa: Je, ndoa ni suala la Kisaikolojia? Ni lazima Uoe? Hayo na mengine mengi yamejibiwa hapa, sogea karibu kushiriki mjadala

    JamiiForums imepata wasaa wa kuongea na Dr. Chris Mauki, Mtaalamu wa Saikolojia, Ndoa na Mahusiano, Malezi na Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam juu ya suala hili la Kataa Ndoa, mjadala ambao umekuwa mkali sana hasa kwa vijana wa zama hizi, twende kazi.... SWALI: Ndoa ni nini? Je...
  18. agudev

    Kwanini tunavaa pete ya ndoa mkono wa kushoto?

    Habari zenu wanaJF na hongereni na majukumu ya kuendeleza taifa hili. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nimekuwa nikitatizwa na hili swali kichwani na nimejaribu kuuliza watu mbalimbali hasa Wakristo waliooa, majibu niliyopata mpaka sasa kusema kweli hayajaniridhisha kwani inaonekana watu...
  19. F

    Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa

    Habari wana jamvi? Kama kichwa kinavyojieleza nimeanzisha thread hii ili itusaidie sisi kujua je hizi ndoto zinatofautiana au sawa kwa watu sawa au wanaoishi maeneo tofauti lakini zinakuwa na maana moja au ni tofauti? Andika ndoto yako ya usiku wa leo hata siku zijazo utakazoota hii...
  20. KIDUME20

    Hapa chini ntaweka visa kadhaa nilivyoshuhudia na vingine nilivyokutana navyo kwenye harakati za maisha

    Wakuu za sahizi Tuendee direct kwenye mada... Hapa chini ntaweka visa kadhaa nilivyoshuhudia na vingine nilivyokutana navyo kwenye harakati za maisha KISA CHA 1: CHA NDUGU YANGU WA MBALI - huyu ni mbibi wa miaka 57 tarehe x/7/2023 anatarajia kufunga ndoa mkoa x na muosha magari. Inaanza...
Back
Top Bottom