magufuli

  1. GE2025 Jesca Magufuli awataka Wananchi wa Isaka kuendelea kuiamini CCM chini ya uongozi wa Rais Samia

    Mitano tena kwa Jesca Magufuli =============== Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameendelea kufanya mikutano yake ya kampeni ambapo leo Alhamisi Septemba 4, 2025 ameanza katika eneo la Isaka katika Jimbo la...
  2. Aliyesoma uchumi hata kwa ngazi ya Astashahada atakubaliana na Mimi kuwa Magufuli aliua uchumi wa Tanzania

    Kwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa. Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana. Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%. Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea...
  3. Wafahamu Watawala Wasio Rasmi "Oligarchs" walioshutumiwa kipindi cha kikwete, Wakazimwa na Magufuli, Wamerudi kwa Samia.

    Katika siasa na uchumi wa mataifa mengi, kuna kundi dogo la watu wenye utajiri mkubwa na ushawishi wa kisiasa ambao mara nyingi huitwa king makers (wazalishaji wa watawala) na wakati mwingine king dethroners (waangushaji wa watawala). Hawa watu huendesha siasa kwa kivuli, bila kuonekana moja kwa...
  4. Swali chokonozi: Pamoja na ubabe wa Magufuli, kwanini hakuwai kumuweka Lissu Gerezani kwa njia ya shortcut?

    Magufuli alimfungulia kesi nyingi Lissu na alijua Kuna jinsi hawezi toboa ndo maana vijana kama B…E wakaamua wampige risAsi maana hakuna jinsi , Lissu Ana ushawishi mkubwa mno akiwa anajenga hoja! 1. Magufuli pamoja na ubovu wake mwingine alikuwa na akili sana, hukati tawi la mti ukidhani...
  5. Ajira kwa vijana, Samia hana lolote! Mmiradi inayotajwa ilianzishwa na Hayati Magufuli

    Tunauliza mkakati wa ajira kwa vijana wa TZ. Hiyo ni kazi ya serikali duniani kote. Hatutaki kusikia eti vijana wajiajiri. Eti tunaweka mazingira mazuri ya ajira, NOOO! Ktk kipindi cha miaka 4 akiwa madarakani nini amekiona ktk ajira na nini atafanya? Hatujasahau yaliyofanya na Magufuli...
  6. Rais Samia kama angekuwa na roho ya kisasi kama Magufuli Polepole na wenzake waliotaka kupindisha katiba Samia asiwe Rais leo hii tungesema mengine

    Magufuli alikuwa na roho mbaya na ngumu. Ndiyo maana tunasema ni mtsusi. Ukimkosea hana msamaha Ndio maana tunaomjua Magufuli tunasema Polepole ni muongo na tapeli wa kiasiasa. Eti Membe alipanga mipango ya kumuua Magufuli na Magufuli na Magufuli amekaa tu anasubiri kuuwawa. Magufuli huyuhuyu...
  7. J

    Kimenuka nchi jirani Wananchi wadai Ruto anashughulikia mafisadi kama Shujaa Magufuli

    Leo tu taasisi ya kupambana na Rushwa imewakamata Magavana watatu na wako korokoroni hadi kesho watakapopandishwa kizimbani Waziri wa Afya amekabidhi kwa DCI mafaili ya zaidi ya mafisadi 100 waliofisadi bima ya afya Ndio Wananchi wamedai Shujaa Magufuli kafufukia Kenya
  8. Wateule wote wa Hayati Magufuli walikuwa wanafiki kasoro Humphrey Polepole

    Hilo halina ubishi, mimi mwenyewe niliishi naye kinafiki, hata huyu wasasa naishi naye kinafiki cha msingi msimwambie sawa jamani? Ila Rais mzalendo alikuwa JPM tu, nasema uongo ndugu zangu? Shida yake ni 1 tu, aliteua mafisi yote na mwadamu 1.
  9. Mzimu wa Hayati Magufuli unavyopambana na misukule ya wanamtandao

    Kabla ya kuja kwa waarabu kuleta dini ya Kiislamu na wazungu kuleta Ukristo Tanzania, mababu zetu walikuwa wana mtazamo tofauti na wa hizi dini kuhusu maisha baada ya kifo. Wao waliamini kuna misukule na mizimu. Waliamini kila kifo kina matokeo mawili. Kama mtu atakufa kikawaida, anageuka na...
  10. Naiona spirit ya Magufuli ndani ya Mpina

    Tatizo ni kuwa ana papala ukichanganya na mihemuko ya ujana anashindwa ku-calculate risk. Ila he is the new Magufuli.
  11. Hii picha za Hayati Magufuli msibani kwa Kijazi ilizungumza mengi sana

    Jua lilikuwa limefichwa na mawingu mazito siku ile ya mazishi ya Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. John Kijazi. Uwanja wa mazishi ulikuwa kimya, ukitawaliwa na sauti za ndege wachache waliokuwa wakiranda angani, kana kwamba nao walihisi huzuni ya siku hiyo. Viongozi na wananchi walikusanyika, wakivalia...
  12. Ila hata magufuli pamoja na ukali wake ila bado sikumuona kama anatosha

    Rais gani unaogopa kutaja majina ya wauzaji wa madawa tu ya kulevya unaishia kusema Tu wakina Fulani hata makonda anakushinda anathubutu kuwataja.Au mafisadi unafanya nao bargain Khaa badala ya kuwafunga yaani unashindwa kufunga watu wasiozidi 500 ili uokoe watu million 50? Rais gani unawajua...
  13. Audio: Magufuli akiviagiza Vyombo vya ulinzi kumchukulia hatua aliyelipwa mabilion ya pesa kuhusu sare za polisi

    GT Nikikaa nafikiria ulegelege wa vyombo vya ulinzi na usalama awamu hii mwili huwa unakufa ngazi kabisa. Jamani au na Wao wamejiunga na MACCM Kuiba rasilimali za nchi hii. Hapa Hayati Magufuli aliagiza Angela kizigha achukuliwe hatua lakini why siyo sasa na amerudishwa tena ooh nooo my country..
  14. Watoto wa Nyerere, Mkapa na Magufuli hawana ushawishi kwenye siasa za Tanzania

    Watoto wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Benjamini William Mkapa na John Pombe Magufuli hawana kabisa ushawishi kwenye siasa za Tanzania. Tofauti na wenzao watoto wa Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete na sasa Samia Suluhu Hassan, ambao wote wazazi wao kwa nyakati tofauti wameshika...
  15. PICHA: Magufuli alivyokutana Rostam kufungua kiwanda if you dont get forget about it

    Hii picha ya chini haihusiki na topic
  16. Huyu mwamba alilia sana kwenye msiba wa Raisi Magufuli

    Mlinzi wa magufuli kipindi hicho alilia sana kwenye msiba wa hayati rais Magufuli. Ninaamini kwamba huyu mlinzi anajua kila kitu kuhusu kifo cha Magufuli sema anahofia uhai wake. Kwenye picha huyo wa kushoto alievalia suti.
  17. M

    Nahisi wakati magufuli anakaribia kufariki alikuwa ametoa orders lakini watu flani walizizuia zisitekelezwe, ndio maana tulikuwa tunafichwa fichwa

    Kifo cha Magufuli tulifichwa fichwa sana hadi kilipotangazwa rasmi. Ni nini kilikuwa kinaendelea hadi tunafichwa kiasi hicho. Inaonekana kulikuwa kuna amri nzito sana alizitoa zitekelezwe lakini kulikuwa na watu walioshinikiza zisitekelezwe kwa kuwa na uhakika hawezi kurudi. waliotaka...
  18. VIDEO: KWA MSIOJUA PESA ALIZOPIGA ANJELA KWA JESHI LA POLISI NI HII ISSUE MSIKILIZE LATE MAGUFULI HAPA

    BILIONI 60 ZA SARE ZA POLISI ZILIVYOLIWA MIAKA 9 ILIYOPITA NA MHUSIKA HAJACHUKULIWA HATUA
  19. Polepole aache kutumia jina la Hayati Magufuli kuhalalisha vioja vyake.

    Baada ya kutazama video nzima ya Polepole ya dakika 59 nimeona niandike huu uzi ili kuweka mambo sawa kwa facts tupu. Huu uzi ndo utakuwa msimamo wa JF nzima dhidi ya vioja vya Polepole. Nimejitahidi kumpuuza ila naona anakoelekea sio pazuri kwa afya yake ya akili ndo maana nimeona nimsaidie...
  20. Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Wakati akiwa hai nilikuwa namuona John Pombe Magufuli pamoja na kutaka aonekane mzalendo, niliona kuwa ni mtu asiye na nia njema Kwa Taifa letu na mtaka sifa. Lakini baada ya Polepole kuelezea mambo mengi yaliyokuwa yanafanyika nyuma ya pazia, sasa nimeanza kuelewa kuwa Magufuli alikuwa na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…