maghorofa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Service charges katika maghorofa zazua taharuki

    02 February 2023 Dar es Salaam, Tanzania Waomba mamlaka kuigilia kati, kampuni inayosimamia huduma ya jengo la ghorofa Kuna matatizo ya kuhudumia ghorofa lenye floor 9 ambalo watu wamenunua apartment. Lift hazifanyi kazi, Bill za umeme anayesimamia jengo hapeleki TANESCO, pia service charges...
  2. The Sunk Cost Fallacy 2

    Ifahamu mikoa 10 yenye maghorofa mengi Tanzania

    Mapema mwezi wa 8 2022 Kulifanyija sensa ya watu na makazi na matokeo take kutoelewa mwezi wa 10. Kwa Mujibu wa Matokeo ya sensa,Mikoa 10 ambayo Ina majengo mengi ya maghorofa kwa maana ya makazi, biashara na Taasisi Ni Kama ifuatavyo: 1. Dar es Salaam-32,219 2. Arusha-7,180 3. Tanga-4,282...
  3. P

    Maghorofa Magomeni kumbukumbu inayoishi ya John Pombe Magufuli

    Nilikuwa nafuatilia runingani namna Rais Samia anavyowakabidhi majengo wale wananchi walioahidiwa kujengewa na hayati JPM. Alipoanza kuongea yule Bibi aliyekuwa ameongozana na Babu kama ndio wawakilishi wa wakazi 644 akawa mzalendo katika kutoa shukrani zake. Kasimama mbele ya Rais SSH lakini...
  4. Red Giant

    Sheria zinasemaje kujenga maghorofa marefu maeneo ya makazi?

    Salama. Kuna maeneo ya makazi ni mazuri sana kuishi hivyo kila mtu anatamani kuishi huko. Maenwo kama Masaki au Oysterbay. Hili limepelekea watu kujenga maghorofa marefu sana na kuuza au kupangisha apartment. Majengo haya hubadili kabisa mazingira . Yanazuia upepo na jua pia. Na zaidi ni...
  5. mwakavuta

    Kufanyike ukaguzi wa maghorofa ya muda mrefu kabla hayajaleta maafa kwa watu

    Wakuu habari? Nina imani wiki imeanza vyema kwenu. Nimekuwa nikijizuia kuleta hii mada hapa kwa muda mrefu lakini nakosa amani sana. Kuna tatizo linakuja huko mbeleni kwenye majengo kama hayatatuliwa mapema. Kwenye harakati zangu za kutafuta maisha kama kibarua wa ujenzi nilikutana na hali...
Back
Top Bottom