Wanafunzi 400 wanakaa chini, wanatumia chumba kimoja cha darasa
WEDNESDAY AUGUST 04 2021
Summary
Wanafunzi zaidi ya 400 wa darasa la nne na tano wanakaa chini na kutumia chumba kimoja cha darasa kwenye Shule ya Msingi Bugumbikiso iliyopo kata ya Chifunfu wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza...