machawa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Vijana muwe makini: Msije kuondoka Duniani na miaka 70! kama machawa

    Vijana muwe makini: Msije kuondoka Duniani na miaka 70! kama machawa. Ishi kwa kutenda kazi na kutetea maendeleo
  2. H

    Upungufu wa machawa kwa Sasa haupo ,tunaomba Sasa watu wenye kutuambia ukweli maana ndio wakutusaidia ,na nyie wasema ukweli muwe na staha!

    Katika mazingira yoyote ya kazi au jamii, maendeleo ya kweli huanza pale tunapojenga utamaduni wa kuambizana ukweli kwa nia njema na kwa heshima. Ni muhimu kuelewa kwamba uchawa uliopitiliza haujengi, bali hudhoofisha misingi ya uongozi na kuua ubunifu pamoja na uwajibikaji. Pale ambapo watu...
  3. D

    Ubakaji, Kutesa, Kuua, Kupoteza? Makosa ya Samia ni makubwa mno machawa zidisheni maombi. Hapa haponi mtu

    Hakika angechezea tu Uchaguzi pengine angeepuka adhabu na mauti inayomnyemelea kwa sababu ujinga kama huo wanaufanya Kagame, Museveni, Paul Biya na wengine wengi.. Kuna ushahidi kuwa dunia hupotezea ujinga na wizi wa kura katika chaguzi za Afrika kwa sababu hakika ni ujinga tu. Lakini Unateka...
  4. Genius Man

    Machawa wa jeshi, wanasiasa acheni unafki mnampigania samia kweli au mnapigania vyeo na buku saba ?

    Machawa wa jeshi, wanasiasa acheni unafki mnampigania samia kweli au mnapigania vyeo na buku saba ? ukiwaona wanajitoa akili wewe waulize tu hivi unapigania samia au buku saba ? nyuma ya pazia hawa jamaa hawana time kabisa na samia bali ni njaa na tamaa. hawafikirii watanzania wenzao ni...
  5. Genius Man

    Machawa wote kwenye jeshi na mitandaoni mnapigania nini ? haki ya kutekwa haki ya kuuliwa au haki ya buku saba ?

    Machawa wote kwenye jeshi na mitandaoni mnapigania nini ? haki ya kutekwa haki ya kuuliwa au haki ya buku saba ? Maana mnaenda kinyume na wale wanaopinga vitendo hivyo vya kuuliwa na kutekwa je mnapiginia haki za kutekwa? au mna magonjwa ya akili ? katika utafiti wangu mimi sielewi hawa watu...
  6. Ponjoro wa Kinondoni

    Machawa wa Samia wamekuwa kimya sana, kulikoni?

    Machawa wa mama wamekumbwa na nini? Mbona hawafanyi tena ile misifa yao mtandaoni? Ukimya huu unamaanisha nini?
  7. M

    Lugola: Machawa kundi hatari, wanajificha mafisadi na wabadhirifu

    Kangi Lugola adai kundi la machawa tushio kwa mipango ya Rais Samia kuwaacha Watanzania na Tabasamu Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola ametoa maneno mazito Bungeni akidai kuna kundi la machawa ambalo litaenda kumkwamisha mipango ya Rais Dkt . Samia ya kuwaacha Watanzania na tabasamu baada ya muda...
  8. K

    Masikini Samia, kabaki na machawa tu

    Mama Samia ambaye alikuwa anakutana na kuombwa mikutano na maraisi wa nchi kubwa kubwa sasa kabaki kufanya mikutano tunguu zanzabari na machawa😇 . Yote yanatokana na tamaa za pesa na ubinafsi badala ya kuweka nchi mbele. Kajaza familia kwenye uongozi na watu ambao ni machawa lakini ataondoka...
  9. Lord Denning

    Hitimisho: Huwezi kuwa na kitambi alafu ukawa na akili. Ndo mana wamegeuzwa kuwa machawa wa CCM.

    Nimekuwa nikijiuliza sana imekuwaje hawa jamaa wamegeuka ghafla kuwa machawa wa ccm na wapumbavu kupindukia? Badala ya kusimamia maslahi ya wananchi na Taifa sasahivi wanasimamia maslahi ya CCM? Ila sasa nimepata majibu. Angalia mwenyewe! Huwezi kuwa na kitambi alafu ukawa na akili. Askari wa...
  10. Msanii

    Ni sherehe na faraja kubwa tukifanikiwa kuitokomeza CCM na machawa wake

    Chama cha Mapinduzi badala ya kuwa msaada, kimegeuka kampuni binafsi ya watawala na familia zao. Chama hiko kimegeuka kuwa saratani isiyotibika inayoitafuna Tanganyika. Tushikamane kupambana na hili jinamizi ili tufurahie uhuru na ustawi wa nchi yetu. Angalizo muhimu CCM imeungana na vyombo...
  11. The Father of All

    Machawa wa humu Jf mmefilia na kutokomea wapi?

    Ukiondoa mzee wa kujikomba kutafuta uteuzi, ni kama machawa wa humu jf wametokomea au kufilia mbali. Machawa mabingwa wa kujikomba, kupongeza, na kushambulia watu mko wapi?
  12. Genius Man

    Unajiuliza hawa machawa huku mitaondaoni ni akinq nani kumbe ndio wale walio andamana basi unawadharau sana hao watu

    Unajiuliza hawa machawa huku mitaondaoni ni akinq nani kumbe ndio wale walio andamana basi unawadharau sana hao watu. Kila mmoja anajua kuwa wao ni njaa wameokotwa okotwa huko ila wenyewe wapo serious wakijitoa akili kwamba hatujui kuwa ni wapumbavu walio okotwa huko. Hawana elimu, hawana...
  13. Luca Paguro

    Machawa wengi wanaamini katika Mungu lakini cha ajabu haohao wanasherekea mauaji

    Hili suala huwa silielewi kabisa. Unakuta chawa ni muislamu safi, au mkristo safi na wanamheshimu Mungu sana, hata ukisoma comments zao utaona wakiwa wanaongea kuhusu Mungu huwa wanaongea kinyenyekevu sana Lakini sielewi ndio mstari wa mbele kushabikia mauaji ya October 29 na kudai waliouawa...
  14. Mtemi mpambalioto

    Nasubiria kuona WABUNGE MACHAWA wakisema SAMIA AONGEZEWE MIAKA MINGINE 20! Thubutuuuuuuu

    Labda kama wao hawakuzika ndugu zao ile MO29 na itafka sku tu watatoa ya moyoni kwa yanayowakuta hasa hawa wakuu wa Mkoa ambao walikubali kutumika kuua Raia majumbani mwao! Nategemea wabunge wapitishe samia aongezewe Miaka 20 ili iwe hakuna nywinywi wala nywinywinywi! ili akiua binadamu wenzie...
  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Tukiwaambia Mwakinyo hushinda kwa mchongo/Maelekezo machawa wake mnatupopoa

    Nimesema nisilale niangalie Afcon na Ngumi. Kumbe mavi ya nyoka tu. Ngumi gani za hivi? Ushindi gani round ya2 mdebwedo. Nikanywe Bia.
  16. Msanii

    Je threads na posts za machawa wa CCM mitandaoni zitamuokoa Chura Kiziwi na wenzake kwenye mkono wa ICC

    Nimeona humu jukwaani na huko mitandaoni, machawa pro max wa wauaji wakipambania kampuni yao ya mauaji (CCeM). Wapo maprofesa uchwara, wanahabari, watu maarufu na viongozi. Machawa wa humu tunawafahamu, na wamekuwa wakishambulia kila hoja inayotolewa kuhoji na kukosoa serikali wamekuwa mstari...
  17. Hance Mtanashati

    Mabondia wa TZ ,ukimtoa Mwakinyo 96% ni machawa hatuna budi nao kuwafungia vioo. Wana hiyo wanaita Knockout ya mama wanajimaliza sana

    Mabondia wa Tanzania wengi ni machawa wa CCM , tangu waletewe hiyo knockout ya mama wanazidi kujimaliza kumsifia mama abduli na chama chao cha ccm. Mwakinyo kwenye mkumbo huu kaukataa na mara kadhaa amekuwa akilaani matukio yote ya kihalifu yanayotokea hapa nchini haswa matukio ya kitekaji...
  18. PAGAN

    Kuna machawa wengine ni wahaini kabisa...

  19. Poker

    Tahadhari, kuna machawa yanazunguka PM kuwataka watu waunge juhudi za Samia

    kumekuwa na baadhi ya machawa wanapita pm nakukuahidi posho ya 10k pamoja na unlimited bundle ili kuisifia serikali ya Samia, kuwatusi chadema na kuitetea serikali kwa kila hali. Mbaya zaidi wanasema tuwe tunareport members na kuireport JF kuwa iko biased. Mbinu zao wanakuambia tuma namba ya...
  20. The Father of All

    Hivi machawa wa mama waliwahi kujiuliza swali hili?

    Kuna watu wanaabudia wenzao wasijue watakufa siku moja. Tuliyaona wakati wa Magufuli. Sasa tunao machawa. Mungu wao ni mama yao anayewafuga. Je, waliwahi kujiuliza? Akifa itakuwaje? Je, hakuna namna nyingine ya kupata riziki ila kugeuzwa au kujigeuza. chawa mdudu mchafu na hovyo mnyonyaji...
Back
Top Bottom