Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda, amemtembelea Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo, nyumbani kwake jijini Dar es Salaam na kutumia nafasi hiyo kumshukuru kwa mchango wake mkubwa kwa taifa pamoja na kulea viongozi wengi wanaolitumikia taifa katika...