mabati

  1. M

    TBS hamuoni mabati ya rangi yanavyopauka ndani ya muda mfupi? Standard hamna?

    Unanunua bati lililopakwa rangi lakini ndani ya muda mfupi lishapauka vibaya. Sisi wananchi hatuwezi kutambua kwa kuona mabati ya rangi original.Wala bei sio kigezo cha kujua kwamba haya mabati ya rangi ni original au fake. Kampuni zote zikitengeneza mabati ya rangi zinatakiwa zifuate standard...
  2. Karibu KingLion: Mabati na coil bora kwa bei nafuu, njoo tukuhudumie

    Karibuni KINGLION INVESTMENT COMPANY LIMITED, njoo ujipatie mabati bora kwa gharama nafuu kabisa, mabati aina zote yanapatikana. Pia tunatengeneza coil za mabati, karibu ujipatie coil za aina zote, coil za mabati yenye rangi na coil za mabati ya kawaida (Zinc coated). Usipate shida kuagiza coil...
  3. Karibu ujipatie Mabati kutoka Sunbank Tanzania

    Karibu Sunbank Ujipatie Mabati kwa bei rafiki . Tupo na Aina zifuatazo za Mabati Tupo na Aina zifuatazo za Mabati. 1. Gloss ( Mtelezo ) 2. Rich tile 3. Ridge /Valley 4. Matte (Chenga chenga ) Call +255 675 335 081 Bei zetu Location :- DSM-Banda la ngozi karibu na...
  4. Karibu, Ujipatie Mabati kutoka Sunbank kwa bei rafiki ya kiwandani

    Karibu Sana ofisini kwetu ujipatie Mabati bora na ya kisasa kutoka Sunbank. Tupo na aina zifuatazo za Mabati 1. Gloss ( Mtelezo ) 2. Rich tile 3.Ridge /Valley 4. Matte (Chenga chenga ) Karibuni sana bei zetu ni rafiki Sana Mawasiliano +255 786 017 371 Normal call and WhatsApp Location...
  5. TAKUKURU: Manispaa ya Mpanda imelipa Tsh. 220M kinyume na utaratibu, yakaletwa mabati yasiyo na kiwango

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) Mkoa wa Katavi, imebaini mabati yenye thamani ya fedha Sh Milioni 220 yaliyonunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari ya wavulana Katavi na Sekondari Rungwa kuwa yako chini ya kiwango. Kaimu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Katavi...
  6. Waliopaulia mabati ya Sunda, yanapauka baada ya muda gani? Hayavuji ?

    Mambo vipi maboss, natumai mko poa. Naomba kufahamu kuhusu ubora wa mabati ya Sunda gauge 30. Kwa wale waliopaua wakitumia bati hizi, je, zimekuwa na matatizo kama kupauka rangi au kuvuja baada ya muda mfupi? Au kama kuna jirani yako alizitumia, unaweza kunishirikisha uzoefu wake. Nataka...
  7. BATI PEKEE AMBALO HALIPAUKI KWA TZ HILI HAPA NA BEI YAKE KWA SASA 24 MARCH

    Bei ya sokoni saiz 24 march ni 37500 Gauge 30 kumbuka hili ndio bati pekee ambao halipauki kwa sasa Tz miaka mingi tupo buguruni 0743 257 669 Ukitaka fundi kupaua pia yupo
  8. K

    Polaris Building Material: Vifaa bora vya Ujenzi kwa bei nafuu

    Karibu Polaris Building Material! Tunapatikana Mbezi Beach Africana na Tabata Matumbi. Pia tunatuma bidhaa mikoani. Mabati kuanzia TSh 20,500. Kwa mawasiliano zaidi tucheck PM
  9. Wakala wa mabati ALAF Arusha anapatikana wapi Arusha Mjini?

    Kwa wakazi wa Arusha napenda kufahamu wakala wa mabati ya ALAF anapatikana wapi Arusha mjini na je wanauza mabati kwa urefu ninaohitaji au zimeshakatwa katika urefu wa mita tatu? Naomba kufahamishwa.
  10. Mabati ya chinichini ndio yamejaa Dar, Bado tuna safari ndefu kufikia skyscraper city

    Imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33
  11. LGE2024 Mbunge Cherehani akabidhi Mabati kwa Bodaboda Nyamilangano

    Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani akikabidhi Mabati bando 10 kwa ajili ya Ujenzi wa banda la kituo cha Madereva wa Pikipiki (Bodaboda) Kata ya Nyamialangano. PIA SOMA - Kuelekea 2025 - Mbunge Cherehani akabidhi baiskeli kwa wakulima 40 ziwasaidie kufatilia mwendo uzalishaji...
  12. Mabati mazuri imara warrant miaka 10

    Mabati imara kabisa ya kisasa polaris* Warrant miaka 10 Delivery popote tanzania Unafikishiwa popote pale ulipo Tanzania Bati kutoka moja kwa moja kiwandani Bei za viwandani kabisa m Gauge 28 25000tsh tu na gauge 30 21000tsh tu Weka order yako Wasilana na sisi zaidi +255742892195...
  13. Bati zuri la kupaulia kwa sasa ni lipi?

    Bati zuri la kupaulia kwa sasa ni lipi? Je ni kampuni gani ya mabati ambayo hayapauki haraka, niliambiwa ALAF na ANDO sasa sijui ni ipi niondoke nayo? Yamkini wewe uajua kampuni nzuri pia nitapokea ushauri, nataka ati zuri kwajili ya nyuma nzuri. Tupo Arusha
  14. ALAF yakabidhi mabati yenye thamani ya Sh35m kwa MOI

    ALAF Limited (Tanzania), moja ya makampuni yanayoongoza katika kutoa suluhisho kwa ujenzi imekabidhi mabati yenye thamani ya Sh35 milioni kwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) kusaidia mradi wa ukarabati wa taasisi hiyo. Akikabidhi msaada huo MOI, Ofisa Mawasiliano na...
  15. M

    Mabati gani mazuri ya kuezekea nyumba?

    Naombeni ushauri nineumiza kichwa kuhusu mabati bora ya kuezekea kuna mtu kanishauri nichukue ALAF SIMBA DUMU ile isiyo na rangi migongo midogo mwenye uzoefu nayo tafadhali 🙏🙏🙏
  16. Bashungwa Atoa Mabati 519 Ujenzi wa Bwalo, Serikali Kujenga Mabweni Shule ya Sekondari ya Bugene - Karagwe

    BASHUNGWA ATOA MABATI 519 UJENZI WA BWALO, SERIKALI KUJENGA MABWENI SHULE YA SEKONDARI YA BUGENE - KARAGWE. Serikali imeahidi kujenga Mabweni mawili pamoja na kukamilisha ujenzi wa bwalo katika Shule ya Sekondari Bugene wilaya ya Karagwe mkoani Kagera ili kuendelea kuboresha mazingira ya...
  17. Mabati Quality Yakisasa

  18. Hizi bei za mabati zinanichanganya, nipeni muongozo

    hawa ni ANDO g30 ni 18500 Hawa ni ALAF g28 ni 23,311 hawa ni sunshare g28 ni 24,100 . Swali:inakuwa vipi uyo wa kwanza bei yake ni ndogo hivyo tofauti na wenzake tena kwa geji hiyo hiyo .?
  19. Chimbo la mabati na pvc bei mchina bila mtu kati

    Kama Title inavyosomeka. Ninatafuta Lilipo chimbo la Mabati, Misumali, PVC na Chuma(square Pipe, metal sheets na round pipe) bei ya jumla(kiwandani). Mwenye Chimbo atakula 50k( kunipeleka/ kunielekeza na kudhibitika ni valid). Nitashukuru sana kama ombi langu litafanyiwa kazi, asanteni na...
  20. Nahitaji mabati used yaliyoko katika hali nzuri

    Habari , nahitaji mabati used. Pc 50 nalipa cash mkononi nipo moshi mjini Mawasiliano 0672701329
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…