Wanabodi,
Mimi ni miongoni mwa Watu waliotoka tarehe 29/10/2025.Kwanza kabisa nikiri kuwa nilitoka asubuhi sana na bango langu lakini hakukua na mtu barabarani.
Baadae nikarudi pembeni, nikakuka wengi tu wamekaa pembeni, kumbe code ilikua maandamano yalipaswa kuanza saa 4.
Najivunia kuwa saa...