LAANA YA KUFUNGWA KUU
ILIANZIA HAPAAAAAAAA
HAWA JAMAA WAKIWA TAYARI WAMESHAPATA BARUA TOKA CAF
MECHI KWA NEW AMAN STADIUM
WAKAMTANGULIZA AHMED ALLY KWENYE VYOMBO VYA HABARI
AKISISITIZA MECHI N KWA MKAPA NAOMBA MKATE TKT KWA BIDII MECHI IPO NA TUTACHEZA KWA MKAPAAA
WANANCHI WAKAJAZANA...
Shalom wana wa Mungu.
Naomba niwajuze tu Kumekuwa na UTAPELI UNAENDELEA kwenye upande wa tiketi za mechi zetu nchini
derby
TFF wakijua kabisa mechi haipo mgutto akiamka saa 4 akaropoka wananchi tununue tiketi mechi ipo.
Huyuhuyu saa kumi kasema mechi hamna imehairishwa.
Huu ni utapelimlikaa...
SI mnajua kuwa yeye ndiye bosi wa vikundi vyote vya wanaosakata gozi Afrika? Ametumia kofia yake hiyo kumhujumu bosi wa nyika ili asitumie uwanja wa maangamizi wa lupaso.
Kafanya hivi kwa kisasi baada ya kupoteza ktk sakatala hatuchezi.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akiongozana na Wajumbe wa Sekretarieti amezuru katika kaburi la hayati Benjamin Mkapa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu .
"Naomba nikiri kuwa Mimi ni mwanafunzi wa hayati na nimekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Taifa katika kipindi Chake...
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya...
african football league
al ahly
azam
azam tv
baleke
benjamin mkapa
burudani
dukani
football
habari
hovyo
imeisha
kamata
karatasi
kibu
kuelekea
leo.
lupaso
mechi
mechi ya simba
mkapa
mkapa stadium
mtoto
sana
sherehe
simba
stori
uwanjani
wachambuzi
yanga
1. Kuwaanzisha Erasto Nyoni na Bernard Morrison ambao leo ndiyo Wachezaji wa Simba SC waliocheza vibaya na Kuharibu zaidi badala ya Kuwaanzisha Muzamiru Yasini na Rally Bwalya Kiufundi kumeigharimu Simba SC.
2. Kumuanzisha Clatous Chama ambaye bado Kichwa chake kimetawaliwa na Kumpoteza Mke...
"Katika mazishi Wazee Chato walimuomba Rais Samia mkoa wakidai ni ahadi ya mtangulizi wake.kwa hekima akasema ataangalia vigezo.Kama Mbunge Mstaafu jirani Muleba Kusini najua vigezo havipo.Wazo halitekelezeki. Wazee jirani na sisi naamini tutapewa nafasi kushauri"Anna Tibaijuka
---
Anaandika...
Leo nimecheka balaa!
Lakini nimewapongeza makonda daladala wa barabara ya ya Bagamoyo kwa hatua ya kumuenzi baba yetu Mkapa.
Tuko Mezi Goig tonaelekea kituo cha Makonde, konda kaanza:
”Wanaoshuka Lupaso....Lupaso.....Lupaso sogea mbele”
Mie nikapigwa butwaa, mara konda akaongeza:
”Suka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.