Lupaso, Mbezi Beach, Bagamoyo Road

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,328
24,211
Leo nimecheka balaa!

Lakini nimewapongeza makonda daladala wa barabara ya ya Bagamoyo kwa hatua ya kumuenzi baba yetu Mkapa.

Tuko Mezi Goig tonaelekea kituo cha Makonde, konda kaanza:

”Wanaoshuka Lupaso....Lupaso.....Lupaso sogea mbele”

Mie nikapigwa butwaa, mara konda akaongeza:

”Suka ....shusha hapo Lupaso”

Mama mmoja aliyechanganyikiwa akauliza “mie hapo Makonde”
Konda akamdakia:

”Mama tunamuenzi mzee wetu wa ukweli na uwazi, tokea sasa hapa ni Lupaso”

Abiria wote wakacheka mama akitelemka huku naye akicheka.

Makonda wa Dar sina hamu!
 
Inawezekana mzee ana mjengo hapo, ila imakaa vizuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom