Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,328
- 24,211
Leo nimecheka balaa!
Lakini nimewapongeza makonda daladala wa barabara ya ya Bagamoyo kwa hatua ya kumuenzi baba yetu Mkapa.
Tuko Mezi Goig tonaelekea kituo cha Makonde, konda kaanza:
”Wanaoshuka Lupaso....Lupaso.....Lupaso sogea mbele”
Mie nikapigwa butwaa, mara konda akaongeza:
”Suka ....shusha hapo Lupaso”
Mama mmoja aliyechanganyikiwa akauliza “mie hapo Makonde”
Konda akamdakia:
”Mama tunamuenzi mzee wetu wa ukweli na uwazi, tokea sasa hapa ni Lupaso”
Abiria wote wakacheka mama akitelemka huku naye akicheka.
Makonda wa Dar sina hamu!
Lakini nimewapongeza makonda daladala wa barabara ya ya Bagamoyo kwa hatua ya kumuenzi baba yetu Mkapa.
Tuko Mezi Goig tonaelekea kituo cha Makonde, konda kaanza:
”Wanaoshuka Lupaso....Lupaso.....Lupaso sogea mbele”
Mie nikapigwa butwaa, mara konda akaongeza:
”Suka ....shusha hapo Lupaso”
Mama mmoja aliyechanganyikiwa akauliza “mie hapo Makonde”
Konda akamdakia:
”Mama tunamuenzi mzee wetu wa ukweli na uwazi, tokea sasa hapa ni Lupaso”
Abiria wote wakacheka mama akitelemka huku naye akicheka.
Makonda wa Dar sina hamu!