lucky dube

Lucky Philip Dube (pronounced duu-beh; 3 August 1964 – 18 October 2007) was a South African reggae musician and Rastafarian. His record sales across the world earned him the Best Selling African Musician prize at the 1996 World Music Awards. In his lyrics, Dube discussed issues affecting South Africans and Africans in general to a global audience. He recorded 22 albums in a 25-year period and was Africa's best-selling reggae artist of all time. Dube was murdered in the Johannesburg suburb of Rosettenville on the evening of 18 October 2007.

View More On Wikipedia.org
  1. Expensive life

    Lucky dube vs Bob Marley nani alikuwa bora kwako?

    Wakuu, kati hawa miamba wawili dube, Marley nani alikuwa mkali kwako? Kwangu mimi kura ipo kwa dube.
  2. Determinantor

    Wimbo huu wa Lucky Dube ukawe SALA kwako

    Naomba wimbo huu kwa nyakati hizi, ukawe kama sala kwako! Hasa pale anaposema kuwa huwezi kujua hadi pale MTU aliyevaa koti jeusi atakapokuvamia, Gwajima yeye alisema, hatujui kesho ni Nani..... Tuanzie na verse hii Come on now little boy Say your prayers before you sleep Little boy went down...
  3. mdukuzi

    Ezi za Lucky Dube

  4. Mi mi

    Lucky Dube atengwe. Kipaji chake hakijawahi kutokea Afrika

    Afrika kipaji hiki kilikuwa bora kupita maelezo. Sikiliza hii Usizi wimbo mfupi lakini ujumbe mzito melody kali. Usizi emhlabeni Izingane zilala zingadlile Umama nobaba Emsebenzini badiliziwe Ubusuku bud'enganeni Uma ingadlile [English:] Misery in the world Children go to bed hungry Mom...
  5. OCCID Dominik

    Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

    Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa: Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL POP pia RNB ambayo ndiyo hupendwa na watu wengi duniani kwa kuwa ina vibe na kutoa passion kwa...
  6. Nyendo

    KWELI Senzo Mthethwa yupo hai, hakuuawa na Lucky Dube kama wengi walivyodai

    Nimesikia kuwa msainii wa reggae wa Afrika kusini, Senzo Mthethwa, yupo hai na kwamba hakuuawa na Lucky Dube kama ambavyo nilisikia hapo awali. Senzo nilikuwa namkubali sana kwa kazi zake kama "Nothing but Prayer", " Irene", "Worshiping Your Love", "Am Sorry". Je, taarifa za kuwa yu hai ni...
  7. Ashampoo burning

    Sipendagi muziki wa Reggae ila Lucky Dube alikuwa mnyama

    Yaani nyimbo inaitwa back to my roots Humu kuna mpiga ngoma alijipanga sana yaani ana dunda unasikilizia moyoni Yaani zile ngoma na gitaa balaa, Hebuu vaa earphone afu sikiliza twatwaaaa twaa gitaa linajibu ndi ndi ndiiiiii ...... tarumbeta mbeeee mbeeeeee mbeee .. ngoma twatwatwa twaaaaa...
  8. Papaa Mobimba

    KWELI Tofauti na tamaduni iliyozoeleka ya Rastafarians, Lucky Dube hakuwahi kuvuta bangi

    Kama ilivyozoeleka kwenye jamii nyingi kuwa ukiwa Rastafarian basi kwa asilimia kubwa utakuwa unatumia bangi/marijuana na majina mengine lukuki kama inavyojulikana. Leo kwenye mitandao ya kijamii kulikuwa kuna meme inasambaa ikiwa na ujumbe "Wakati Lucky Dube anaimba "Born to Suffer" me...
  9. NAS1314

    Historia ya Mwanamuziki wa Reggae, Lucky Philip Dube

    Lucky Philip Dube (tamka doo-bei) [1] (3 Agosti 1964 - 18 Oktoba 2007) alikuwa mwanamuziki wa reggae kutoka Afrika Kusini. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya Kizulu, Kiingereza na Kiafrikaans katika kipindi cha miaka 25-na alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutoka Afrika Kusini ambaye aliuza albamu...
Back
Top Bottom