loliondo

  1. R

    Loliondo: Mwarabu wa Dubai anavyosakama Wamasai kupitia Serikali

    Mwarabu wa Dubai anavyong'ang'ania ardhi ya Wamasai Loliondo na anusukuma Serikali hadi serikali inapinda sheria ili kumpendeza na kumtimizia haja yake. Waziri wa Maliasili amefika Loliondo mara 3 na kila mara anasisitiza kuwa ni lazima serikali itaongea na mwarabu ili ardhi anayotumia sasa...
  2. The Father of All

    Hivi Loliondo iliyouzwa na Mwinyi kwa waarabu isharejeshwa?

    Kwa wanaokumbuka kashfa iliyotikisa nchi wakati wa utawala wa Ali Hassan Mwinyi ya Loliondo watakuwa na mengi ya kusema. Je yule mwarabu Brigedia Ali wa falme za kiarabu ndiye huyu huyu aliyesafirisha twiga hivi karibuni? Je, serikali ilisharejesha mbuga yetu au wamekuwa wakirithishana...
  3. Invisible

    JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama na ardhi yetu tukichekelea!

    Sijui kama mnanisoma....! Vyombo vya Usalama kwa sasa ni Dhaifu Rais wa sasa ni Dhaifu Bunge Dhaifu kabisa! Watanzania ni Dhaifu. Nchi kama haina Amiri Jeshi Mkuu.
Back
Top Bottom