Mwarabu wa Dubai anavyong'ang'ania ardhi ya Wamasai Loliondo na anusukuma Serikali hadi serikali inapinda sheria ili kumpendeza na kumtimizia haja yake.
Waziri wa Maliasili amefika Loliondo mara 3 na kila mara anasisitiza kuwa ni lazima serikali itaongea na mwarabu ili ardhi anayotumia sasa...
Kwa wanaokumbuka kashfa iliyotikisa nchi wakati wa utawala wa Ali Hassan Mwinyi ya Loliondo watakuwa na mengi ya kusema.
Je yule mwarabu Brigedia Ali wa falme za kiarabu ndiye huyu huyu aliyesafirisha twiga hivi karibuni?
Je, serikali ilisharejesha mbuga yetu au wamekuwa wakirithishana...
Sijui kama mnanisoma....!
Vyombo vya Usalama kwa sasa ni Dhaifu
Rais wa sasa ni Dhaifu
Bunge Dhaifu kabisa!
Watanzania ni Dhaifu.
Nchi kama haina Amiri Jeshi Mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.