linauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Eneo Linauzwa Njia ya Goba Kwa Robert

    Eneo hili lipo njia ya koba kutokea Mbezi Magufuli ni karibu Zaidi pia kutokea mjini Kwa njia ya goba ni Sawa pia. Mita 100 kutoka usawa wa eneo hadi barabara kuu ya Goba. Location kituo cha daladala kinaitwa Kwa Robert. Eneo Lina nyumba ambayo anaishi muuzaji wa eneo. Ukubwa wa eneo ni sqm...
  2. kj75

    JamiiForums Tanzania Pooltable linauzwa

    Wakuu, Habar za leo mabibi na mabwana ni matumaini yangu mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku Kuna pooltable linauzwa bei ni maelewano liko vizur lipo mkoa wa njombe wilaya ya makete kwa mawasiliano 0776736062
  3. A

    JamiiForums Tanzania Friji friji friji linauzwa

    Aina: Boss Hali: Nzuri sana,bado lina manailoni ya upya,lina miezi 10 toka linunuliwe jipya. Mahali: Mbagala. Sababu: Limekaa tu,halina matumizi. Bei: Tsh.430,000/=(Negotiable kidogo) Mawasiliano: 0785815222
  4. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Eneo linauzwa mbezi Luguruni

    Habari wakuu. Eneo linauzwa Luguruni Eneo linaangalia barabara kuu ya Morogoro Road. Sqm 2789 Title Deed Milion 550 Uwekezaji wowote unafaa sababu eneo linaangalia barabarani (MAIN ROAD) 📱0754693556
  5. Last sentinel

    JamiiForums Tanzania Banda linauzwa

    Helw JF,banda linauzwa laki 5.Lakin halina kitu chochote,umeme upo.Kwa hyo kama unataka kuanza biashara unakuja na vitu vyako,kwa mawasiliano piga 0759-124378,eneo,njeteni karibia na shule ya dar es salaam girls mbezi ya kimara.
  6. JS Dairy Farm

    JamiiForums Tanzania Shamba ek 20 linauzwa Mbwawa Mlandizi

    Shamba lenye ukubwa wa eka 20 linauzwa lipo kijiji cha Mbwawa karibu na Mlandizi wilaya ya Kibaha. Lipo karibu na chanzo cha kudumu cha maji(mto) ambao haukauki. Linafaa kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji au ujenzi wa Shule,hspitali nk. Bei kila eka milioni 7. 0756 625 286
  7. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Eneo linauzwa Kigamboni sqm 5000

    Habari wakuu. Eneo la sqm 5000 linauzwa kigamboni opposite chekechea. Eneo linaangalia barabara kuu ya kwenda kongowe ukitokea kigamboni darajani unaenda moja Kwa moja Hadi chekechea unakutana na eneo lako. Eneo linafaa Kwa uwekezaji wowote ule. Yard Kituo cha mafuta Hotel Apartment na...
  8. Kasri Homes Tz

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiluvya: Eneo la kujinafasi linauzwa pamoja na nyumba - Dar

    • Direction: • Structures: • Facilities: • Plot Terrain: • Plot Survey: • Plot Area: • Document: • Ideal: • Price: • Site visiting: . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
  9. Chaula_J

    JamiiForums Tanzania Plot4Rent Shamba la miti linauzwa Njombe

    Habari ndugu, KUNA SHAMBA LA MITI AINA YA MIPAINA LINAUZWA, Shamba lipo mkoa wa Njombe, wilaya ya Njombe mjini, kata ya Kifanya, kijiji cha Lilombwi. Lina ukubwa wa ekari 20, na kila ekari inauzwa kwa shilingi 1,200,000/=. Unaweza kununua kuanzia ekari tano. Miti ina muda wa miaka minne tangu...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Boma Linauzwa Kibaha kwa Mfipa million 15.3

    Boma linauzwa Kibaha kwa Mfipa Vyumba vitatu(kimoja masta) Seble Dinning Jiko&stoo Choo public Shimo la choo bado kufunika tu Nyumba imejengwa kisasa sana Eneo ni 20×20 Bei million 15.3 tajiri 0744757738 0784376888
  11. dalalitz

    JamiiForums Tanzania House4Sale Pagale linauzwa na bank, tshs.6 milioni, udindivu,Mapinga-Bagamoyo

    ...
  12. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo lenye Nyumba 3 linauzwa Tegeta

    Eneo lenye Nyumba 3 linauzwa. Mahali: Tegeta Namanga, Mtaa wa Kibera. Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Old Bagamoyo. Ukubwa wa Eneo: SQM 1204. Bei: Tzs Milioni 300. Mazungumzo yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika. Mawasiliano: 0784 829565 au 0767...
  13. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo lenye Nyumba ya zamani linauzwa Temeke

    Eneo lenye Nyumba ya zamani linauzwa. Mahali: Temeke karibu na shule ya Yemen, Mtaa wa Mganda. Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Chang'ombe. Ukubwa wa Eneo: SQM 548. Bei: Tzs Milioni 400. Mazungumzo yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika. Mawasiliano...
  14. M

    JamiiForums Tanzania FREEZER LINAUZWA

    Nauza Freezer langu limetumika kidogo tu.Packaging Dimensions(W*D*Hmm) 1688*753*889.Linafaa kwa kutunzia vinywaji, Nyama samaki barafu.Linagandisha vizur sana.Bei 1,400,000/= maongezi yapo.Kwa mawasiliano 0673209622.
  15. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Shamba linauzwa Utengule,Mbeya/Plot for sale at Utengule Mbeya

    Shamba linauzwa Utengule,Mbeya/Plot for sale at Utengule Mbeya. Eka 4 @4.5m, mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
  16. Newcastle1234

    JamiiForums Tanzania Eneo linauzwa Goba Njia Nne kwenye lami

    Eneo linauzwa Goba Njia Nne kwenye lami kabisa. 1000 sqm. Limepimwa. Bei Mil.430. Contact 0788893364
  17. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Shamba linauzwa Nanyara Mbeya

    Shamba linauzwa Nanyara Mbeya haliko mbali na barabara, kila eka. @4m, mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!
  18. Newcastle1234

    JamiiForums Tanzania Eneo linauzwa Ali Hassan Mwinyi Road

    2240 SQM Title deed: 99 Years Alongside Ali Hassan Mwinyi Road Topographical map available for serious buyers Property is unique for Apartments, Business complex, Hotel. Asking price: $2 Million (negotiable) Call/WhatsApp 0788893364
  19. Sun Zu

    JamiiForums Tanzania Eneo linauzwa, jirani na stand ya SGR DODOMA

    Eneo lina ukubwa wa 1200 Sq Meter Huduma zote muhimu zipo, ni jirani kabisa na stand ya SGR DODOMA. Eneo ni la kwangu binafsi, sio dalali. 15,000,000 (Milion kumi na tano), maongezi yapo. 0719928661
  20. jaytravo

    JamiiForums Tanzania Shamba la mitiki linauzwa lina zaidi ya miti elfu 1700 karibu ununue karibu uwekeze kwa uwaminifu sana lipo tanga korogwe

    Habari za wakati huu ndugu zangu najua wengi mmesikia kuhusu kilimo cha miti ya mitiki hekari moja inaweza kukuingizia zaidi ya milion 300 kwa hekari moja kwa miti iliyokomaa. sasa basi lipo shamba lenye hekari 6 lenye miti zaidi ya 1700 lililopo tanga korogwe lenye miti ya miaka 12 mpka 14...
Back
Top Bottom