kwenda

Kwenda Mission High School is an 'O' and 'A' Level boarding school in Mashonaland East Province in Zimbabwe.
The school is situated about 150 km south of the capital city Harare. Located in the Chikomba Area, Kwenda Mission High School offers "O" and "A" Level education for both girls and boys. The mission was opened in 1892 by Methodist (Wesley) Missionaries. Mr Manhera is the current headmaster and Rev Dr Muwanzi is the current principal as well as chief administrator of the institution.
It is one of the seven mission schools run by the Methodist Church in Zimbabwe. Its sister schools are Waddilove High School in Marondera, Chemhanza High School in Wedza, Tekwane Mission in Matebeleland, which was among the first mission stations opened by the missionaries in the 19th century, Sandringham High School in Norton, Pakame High School in Shurugwi and Moleli High School in Makwiro.

View More On Wikipedia.org
  1. sanalii

    JamiiForums Tanzania Kama dhalimu muuaji ataomba toba na kwenda peponi, alieuliwa kwa dhulma atalipwa nini?

    Kwa mfano, Mtu mmoja tu mwenye mamlaka akiamua amuue mtu fulani kwakua anamkera, kisha muuaji huyo akakoswa kuingia katika mikono ya sheria ya hapa duniani, na akaamua kuomba toba (kwa mujibu wa dini yake) kisha akafia kwenye toba. Je, huyu aliedhulumiwa nae atalipwa vipi? Au ndo basi...
  2. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtanzania amewahi kwenda kutafuta maisha nchini India akatoboa?

    Tulikua kijiweni tunapoteza muda,jamaa mmoja akatuambia anataka ajilipue aende India kutafuta maisha. Nikawaza,then nikaingia youtube kucheck maisha ya wahindi wenyewe tu huko India ni mara mia ya hapa kwetu. Hivi kuna mtanzania aliwahi kwenda kujitafuta India akatoboa?
  3. R

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kwenda JKT kwa mujibu wa sheria

    Baba hana uwezo kabisa wa kumpeleka mtoto songea JKT. Hawezi kupata nauli ya kwenda huko na mahitaji mengine. Anaamua kutokwenda. 1. Akiacha kuna tatizo lolote? sheria inasemaje? 2. Nimemshauri mtoto aende kambi iliyo karibu aripoti, inawezekana?
  4. T

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana kuhama diploma under NACTVET kwenda TCU?

    Habari Wana JamiiForums, The home of great thinkers. Moja kwa moja niende kwenye mada. Kuna dogo yeye anasoma chuo fulani Cha diploma kozi ya diagnostic radiography cha private. Sasa kutokana na kile chuo kutokuwa na facilities za kutosha anahitaji kuhama kwenda vyuo vingine vya serikali maana...
  5. hungary

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda ujerumani, Canada au Australia katika hizo nchi moja wapo

    Habari wakuu ... Elimu yang diploma ya afya ..... Mpango ni kujiendeleza kielimu au kufanya kazi Uzi tayari
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kesho tarehe 01.06.2025 ni siku ya jumapili, je, tujiandae kwenda kanisa la ufufuo na uzima kuona dude likiamshwa au hakuna kitu?

    Naomba majibu
  7. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SIMBA IFUNGUNGIWA KWA UTOVU WA NIDHAMU NTAPUMZIKA SIKU NNE BILA KWENDA OFISINI

    NIMEONA VIJANA WAMEANZA KUCHUNGIZWA KWA UTOVU WA NIDHAMU BERKANE WAMENIPA OFF SIKU MBILI SIKWENDA KAZINI LAKINI KWA HUU UJINGA WA SIMBA ZNZ NA UTOVU WA NIDHAMU NATANGAZA KUPUMZIKA AIKU NNE RASMI NIKISIKIA WAMEFUNGIWA NA CAF IWE FUNDISHO NA HTA KWA MASHIRIKISHO NA MABODI YANAYOBEBA UJINGA...
  8. Mindyou

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbunge wa Juja George Koimburi aliyetekwa apatikana kwenye shamba la kahawa akiwa amejeruhiwa vibaya

    Mbunge wa Juja, George Koimburi, amepatikana akiwa amejeruhiwa vibaya kwenye shamba la kahawa Kaunti ya Kiambu. Koimburi,ambaye ni mtetezi mkubwa wa Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua, alitekwa nyara Jumapili, Mei 25, nje ya Kanisa la Full Gospel Mugutha akiwa na mkewe, Anne Koimburi...
  9. Miss Natafuta

    JamiiForums Tanzania Naombeni kuuliza .mbona kama bus za kwenda south Africa au Malawi hakuna

    Kuna changamoto gani wakuu kwenye hii route?
  10. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ashindwa kwenda Tabora kuhudhuria Ibada ya kuwekwa Wakfu

  11. Kighono kighonk

    JamiiForums Tanzania Wadau ivi tra oral wanayatoa lini au ndo kula kwenda

    Wadau ivi tra oral wanayatoa lini au ndo kula kwenda
  12. W

    JamiiForums Tanzania Mchina haui biashara, ni nyinyi mnaowatukuza mawinga kuliko wateja, Tunazidi kuwaombea wachina wajae, Maana ya kwenda kariakoo inazidi kuchuja.

    Wengine wanasema "mawinga wanasaidia wateja wasiojua pa kwenda." Ndio upewe msaada kwa kuumizwa kiasi hiki ? Unapigwa block huwezi kununua bila wao na faida yao wanayoongeza ni kubwa sana, Huu sio msaada ni UHUNI !! Kariakoo siyo tena Kariakoo ya zamani! Huko sasa ni uwanja wa mawinga...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Salma Kasanzu: Waliohama CHADEMA kwenda CHAUMMA wako kwa ajili ya kupambania matumbo yao, tuwazomee popote

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa kutoka Mkoa wa Mwanza Salma Kasanzu awataka wananchi mkoani Mwanza kuwazomea viongozi wakuu wa CHAUMMA ambao wametoka CHADEMA akidai kuwa viongozi hao wapo kwa ajili ya kupambania matumbo yao na sio wananchi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  14. funaku

    JamiiForums Tanzania Tarehe 2 juni wafuasi wa CCM,CHAUMMA,ACT,CUF N.K Waruhusiwe kwenda kwenye kesi ya uhaini

    Kama hii kesi ni ya public interest nategemea makundi mbalimbali ya kijamii kufika mahakamani kwenda kusikiliza kesi hii.
  15. P

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Diploma ya IT ni vema kwenda Degree au VETA?

    Wakuu, wenye uzoefu wa elimu na maisha ya chuo msaada wenu kwa ushauri mtu alipiga diploma ya IT miaka mi3,,,heri aendlee degree au aende veta kusoma mambo mengine!?
  16. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbukizi ya kilichotekea uwanja wa mkapa baada ya mvua, Simba msilalamikea kuhamishiwa kucheza Zanzibar

    Kama mkijua wamesahauuu Huu upuuzi ukiwafanya CAF waseme final znz No kwa mkaapaaaa msahauuuu
  17. Kekule Wa Benzene Ring

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mbowe kuondoka na covid-19 kumi kwenda nao CHAUMMA

    Zile Helicopter zilizoandaliwa Kwajili ya Mission C4C ya CHAUMMA zitaanza kuonekana Rasmi punde na Mbowe Yuko mbioni kujiunga na Chama hicho Pamoja na WABUNGE 10 wa KUNDI LA COVID-19. akiwemo Halima mdee!. Mwezi julai Tarehe 5 Mwamba kutimka Rasmi Kwenda CHAUMMA Kwajili ya kugombea Urais.
  18. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliofeli form four na kupata div 4 na Zero watapewa nafasi ya kwenda VETA

    Nikiwa Rais wanafunzi wa form four waliopata div 4 na zero wataenda VETA kwa udhamini wa serikali, na watapata ujuzi ambao anagalau utawasaidia kwenye maisha yao Vyuo vya veta vitaboreshwa na kuwa vya kisasa na maabara za veta zitaboreshwa maradufu ili wahitimu wakitoka wawe compentent
  19. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba ingetakiwa mpaka mda huu wawe either wapo kituo cha polisi au wameshajulishwa wito wa kwenda kituo cha polisi

    Walichofanya viongozi wa Simba ni utapeli wa maksudi 👇👇👇👇👇👇👇👇 Uwanja umefungiwa hakuna taarifa ya kufunguliwa umeanza kuuza tiketi bila go ahead, umepewa taarifa rasmi ukajitoa ufahamu ukaendelea kuuza tiket ukijua unachofanya sio sahii Baada ya mechi ya berkane ukaambiwa mechi inayofuata ni...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Klabu ya Simba yathibitisha mechi ya Fainali ya CAF kuchezwa Zanzibar

    Klabu ya Simba imewatangazia rasmi mashabiki wake na umma kwa ujumla kuwa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF Confederation Cup) dhidi ya RS Berkane kutoka Morocco, uliopangwa kufanyika Mei 25, 2025, hautachezwa tena kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kama...
Back
Top Bottom