kuziba pengo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Snoop Dogg: Kadri unavyokua na kusonga mbele maishani, unawapoteza baadhi ya marafiki, kwa sababu inaitwa kuziba pengo

    Kadri unavyokua na kusonga mbele maishani, unawapoteza baadhi ya marafiki, kwa sababu hiyo inaitwa kuziba pengo. Hili pengo ndilo lilikuwepo tulipoanza safari pamoja. Kadri unavyokua, utaona wewe unakua lakini wao hawakui. Sasa, pengo linawezaje kuzibwa? Ili kuliziba, ungelazimika kurudi...
  2. Watanganyika tusikubali kubebeshwa mzigo wa kodi kwa maslahi ya mtu, tujipange ili kupinga kodi zitakazozalishwa kuziba pengo la misaada

    Natumia hamjambo, Wakati serikali ya Samia ikiendelea kupigwa kila kona huku kukiwa na dalili za kusitishwa kwa misaada kwa nchi yetu ya Tanganyika. Na kwa sasa tutambue kuwa hakuna mbadala wa kuziba ombwe la bajeti lililoachwa au litakalo achwa na nchi wahisani,kwahiyo ili kunusuru na...
  3. Tutaendelea kulia sana, maana hakuna wa kuziba pengo lake

    Wasalaam Mwenyezi mungu amrehemu ampunguzie adhabu ya kaburi
  4. B

    SoC04 Nafasi ya ujuzi wa kidijitali katika kuziba pengo la ajira nchini Tanzania

    Nafasi Ya Ujuzi Wa Kidijitali Katika Kuziba Pengo La Ajira Nchini Tanzania Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imeshuhudia ukuaji wa ajabu katika uchumi wake wa kidijitali, na hivyo kusukuma mahitaji ya wafanyakazi wenye ujuzi katika viwango vya juu visivyo na kifani. Hata hivyo, mwelekeo...
  5. Diamond Platnumz (Simba) anaweza kuziba pengo la Kanumba kwenye tasinia ya uigizaji?

    Wakuu tangu Kanumba atoweke tasnia uigizaji nchini imekua haifuatiliwi sana watanzania waliowengi. Hivi bwana Simba hawezi kuziba pengo la Kanumba kweli? Nyimbo nyingi za Simba zimekua zikianza kama movie fulani hivi. Angalia wimbo wake wa Zuena na wimbo wa Yatapita. Wakuu comment ziwe fupifupi
  6. Matumizi ya Intaneti: Nini kifanyike kuziba pengo kati ya Wanawake na Wanaume?

    Pengo kati ya Wanaume na Wanawake katika upatikanaji na matumizi ya Intaneti ni changamoto duniani kote. Asilimia kubwa ya watu Bilioni 2.9 ambao hawafikiwi na Huduma hiyo ni Wanawake na Wasichana. Tatizo hili lipo zaidi kwa Nchi Masikini, ikiwemo zilizopo Barani Afrika ikielezwa baadhi ya...
  7. Jitihada Kubwa Bado Inahitajika Kuziba Pengo la Kijinsia katika Ajira

    Licha ya kuongezeka kwa mijadala inayohusu ukosefu wa usawa ambao wanawake wanakumbana nao katika maeneo ya kazi, bado kuna jitihada kubwa inayohitajika ili kuziba pengo la kijinsia katika ajira. Ikilinganishwa na wanaume, wanawake wana uwezekano mdogo wa kuajiriwa katika kazi zenye malipo ya...
  8. Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

    Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake. Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo. 1. Mtu mwenye hofu ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…