MFANYABIASHARA, Adelard Lyakurwa (58), anayefanya shughi uli zake Kariakoo amepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka moja la kutishia kumuua mfanyabiashara mwenzie marufu, Valence Lekule kwa silaha, Bastola
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo...