kupanda cheo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Mtumishi anapotoka Serikali Kuu na kuhamia Taasisi ya Umma, je anaendelea na cheo chake cha ajira?

    Hivi karibuni kuna mtumishi kahama kutoka Serikali Kuu kwa cheo cha mhasibu mwandamizi (Senior accountant-SA) akiwa ametumikia miaka 10 kwenye utumishi wa umma, baada ya miaka mitatu alikuwa anapanda kuwa Mhasibu Mkuu (Principal Accountant). je ni kanuni gani ya utumishi inatoa mwongozo wa kule...
  2. S

    Muda wa Mtumishi wa Umma kustahili kupanda cheo ni miaka 4 mfululizo au hata kama sio mfululizo?

    Hivi huu utaratibu wa miaka 4 ambao bila shaka ulianza awamu ya Magufuli (mwanzoni ilikuwa miaka 3), ni mtumishi kutakiwa kuwa amefanya kazi kwa miaka 4 mfululizo tangu apande cheo kwa mara ya mwisho au awe amefanya kazi kwa angalau muda wa miaka 4 bila kujali ni kwa miaka 4 mfululizo au sio...
Back
Top Bottom