kunguru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwehu ndama

    Vita vya panzi, furaha kwa kunguru

    Duru zinasema Kuna mpasuko ndani ya chama cha maamuma, bakwata na maaskofu njaa. Mmoja wao katangazwa kutema bungo Leo na bado Kuna wengine wa ngazi za juu wako vizuizini. Raha ilioje jamani kuona wanavyo papasana matako wao kwa wao baada ya kujivika upofu kwa muda mrefu. Na bado pumbavu...
  2. J

    Bi Kunguru ni boya tu, Mkuu wa Nzengo ni Chekecheke ndiye anatoa amri zote japo wengi wanamgomea.

    Katika Nzengo yetu hususani kule juu wamo wateule wengi ambao wanaumizwa na hali ya mambo ilivyo sasa kwenye Kampuni ya walima.mboga mboga na kwenye Nzengo kwa ujumla. Wamo wengi wanaounga mkono juhudi za upopoaji zinazofanywa na Mdunguaji aliyeko mafichoni dhidi ya Kunguru. Taarifa za ndani...
  3. Mshana Jr

    Kunguru hafugiki?

    Wahenga walishafanya mengi wakapitia mengi, wakajifunza mengi na hatimaye wakapata uzoefu mkubwa kwenye changamoto walizokutana nazo! Mojawapo walilokutana nalo ni kwenye ufugaji wa wanyama mbalimbali Imagine wanasema hata mnyama hayawahi kabisa kama fisi anafugika lakini si kunguru Kunguru ni...
  4. Stuxnet

    Ndege pekee anayethubutu kumshambulia tai ni kunguru, lakini tai hapigani naye

    1.Kunguru ndiye ndege pekee mwenye ujasiri wa kukaa juu ya mgongo wa tai na kumdonoa shingoni. Bila huruma. Inakera. Lakini tai hubaki mtulivu 2.Tai hapigi mabawa. Hapigani. Hatumii nguvu ovyo. Hufanya jambo moja tu, hupaa juu. 3. Kadiri tai anavyopaa juu, hewa inazidi kuwa nyembamba. Kunguru...
  5. Mshana Jr

    Kunguru anapougua. Huwatafuta mchwa wamtibie

    Unaweza usiamini hili...lakini Kunguru anapojisikia vibaya, hukaa karibu na kkichuguu cha siafu na hutandaza mbawa zake, hukaa tuli, na kuwaacha mchwa wamshambulie. Wanafanya hivyo kwa sababu kubwa: siafu hunyunyiza mwili wake asidi ya fomu, (formic acid) dutu ambayo hufanya kazi kama...
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    Watafiti wanasema kunguru anaweza kuwa na kinyongo na binadamu miaka 17 🐦

    Kunguru anapokutizama sio kwamba anakutizma ilimradi hapana ana uwezo wa kutunza kumbukumbu. Katika utafiti wa muda mrefu ukiongozwa na Profesa John Marzluff katika chuo Kikuu Cha Washington, watafiti waliweza kugundua kuwa kunguru (crows) Wana uwezo wa kutambua sura za binadamu na kuwa ba...
  7. Msanii

    Kunguru wanaruka usiku huu saa 9:15, ni kawaida?

    Muda huu usiku wa saa tisa nasikia huko nje kunguru wanalia na wamepita kama wanaelekea sehemu. Je kuna disaster yeyote au hali hii inaashiria nini?
  8. M

    SI KWELI Kunguru akifa haozi

    Nimekuwa nikisia mara nyingi kuwa kunguru akifa haozi, bali hukauka tu na kadiri siku zinavyozidi kwenda hupukutika mpaka kuisha ila huwezi kuta kaoza wala kutoa harufu. Badhi ya watu huwa wanasema haozi kwa sababu hali chumvi japo sina hakika katika hili maana mara kibao amekula vyakula vyenye...
  9. M

    Njia ya kudhibiti kunguru wananirudisha nyuma

    Mm nimfugaji wa kuku na Bata ila napata changamoto ya kunguru kula vifaranga na mayai bandani wakimuona kuku katoka kutaga wao wanaingia yani ni mwendo wa kuviziana tu niwahi mm Yai au kunguru nimejaribu kuwa winda na manati nimefeli nimeweka sumu kwenye mayai niliyoyatoboa lakini bado wanadunda...
  10. Lady Whistledown

    Sumu kutumika kuwaua kunguru kwa Usumbufu na Uharibifu

    Kenya imeanzisha mpango wa kutumia sumu kuua Kunguru Milioni moja katika Miji ya Watamu na Malindi, ili kuzuia wasisambae Jijini Nairobi Kunguru wamekuwa wakishambulia Wanyamapori, kuvamia maeneo ya Watalii, na kuvamia na kushambulia kuku katika Mashamba yao Inaaminika Kunguru waliletwa kwa...
  11. The Dictator

    Unajua au umewahi kusikia nini kwahusu kunguru?

    Kunguru ni ndege mwenye sifa za kipekee sana. Mmoja kati ya ndege anayejulikana sana duniani. Je, unafahamu nini au umewahi kusikia jambo gani kumhusu ndege huyu? Ngoja tumpe maua yake. 1. Kunguru wana akili kinoma noma. Ni kama akili walizo nazo watoto wa miaka saba kwa upande wa binadamu...
Back
Top Bottom