kumhoji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Tume nayo inaogopa kumhoji Mafwele!?

    Hii tume nayo inamuogopa mafwele!? Huyu măfwele waandamanaji walimtaja kama sehemu ya hasira zao kwakua ametajwa kama mtekaji na mashaidi kama Sativa, wanaharakati wa kenya na uganda waliotekwa pia wamemtaja Lini tume itamuita!? Au kwenye script waliyo pewa hayumo
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Habari za Sabato! Nimemsikia Rostam kwa umakini, amejieleza vizuri sana na yapo mambo kupitia Press yake yameniongezea kitu hasa katika utafutaji na biashara. Kuhusu tuhuma zake, zote alizoulizwa amejibu kiufasaha kabisa na maelezo yake yamenyook na yenye kueleweka. Tatizo nililoliona lipo kwa...
  3. P

    Nani wa kumhoji nani? An open discussion to those who can critically think on behalf of others

    If you can’t think critically, better stay away from this post aka thread. Hivi karibuni taarifa za kifedha za mkuu mmoja nchini zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikionesha kiasi cha zaidi ya bilioni 1 kikiwa kwenye akaunti yake. Hatua hii iliibua maswali mengi miongoni mwa wananchi...
  4. SSH2025_2030

    Clouds Media waliwaza nini kuwapeleka Sam Sasali, PJ & Kijah kumhoji Lissu?

    Kwa akili kubwa kama za Lissu unapelekaje aina hii ya waendesha vipindi vya burudani (sio Waandishi wa Habari) kumhoji? Mtu kahojiwa BBC Hard Talk tena kwa lugha ya Kiingereza utamuweza wewe Kanjanja?? https://www.youtube.com/watch?v=h9cHr7NLIBA
  5. MwananchiOG

    JKT Tanzania, TAKUKURU na Bodi ya Ligi ichunguze bank account na kumhoji mchezaji Mohamed Bakari

    Winga Mohamed Bakari aliingia dk66 kuchukua nafasi ya Shiza Kichuya, dk77 alioneshwa kadi ya njano ya kizembe ambayo inashangaza na kama haitoshi dk90+3 akafanya uzembe kwa kumvuta Shomari Kapombe ambaye hakuwa na mpira wala hatari yoyote, jambo lililopelekea penati na timu yake kufungwa. Ni...
  6. Suley2019

    CCM yakana kumhoji Simai

    Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Tunguu kimekanusha taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kumwita Mwaakilishi wa Jimbo hilo kwaajili ya kumhoji kwenye kamati ya maadili Akizungumza na wasafi media Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Tunguu Mtumwa Ali Mgeni amesema kuwa kikao kilichofanyika leo ni kikao...
  7. Braza Kede

    Mwandishi ashindwa kumhoji Mzee Arsene Wenger

    Kuna video inamuonesha mwandishi wa habari akihaha kumkimbilia Kocha wa zamani wa Arsenal ya Jijini London, Mzee Arsene Wenger kwa ajili ya kupata mahojiano mara baada ya nguli huyo kutua Airport ya JK Nyerere kwa ajili ya michezo ya African football league (afL). Kichekesho ni pale Mzee Wenger...
  8. Mganguzi

    Mirungi na Bangi sio dawa za kulevya, Mungu aliipanda kwa manufaa ya mwanadamu! Wa kumhoji ni Mungu siyo kutesa watu kwa makosa yasiyo yao

    Biblia inasema mungu akaumba majani ya kondeni ,na Kila Jani mungu anamakusudi nalo ,Kuna majani mungu aliyaumba yawe dawa mengine mboga! Na hata kiburudisho! Mirungi inajiotea yenyewe maporini Huko , nimtu akitafuna eti anakamatwa! Wakukamatwa ni mungu ,na WA kuhojiwa ni mungu! Bangi inaota...
  9. J

    Polisi watakuja na kisingizio gani? Walisema hawawezi kumhoji Lissu kwasababu hayuko nchini

    Polisi walisema hawawezi kuchunguza kwasababu wameshindwa kumhoji Lissu. Na kisingizio cha kutokumhoji Lissu ni kwasababu alikuwa nje nchi. Sasa Lissu amerejea Tanzania. Natarajia jeshi litamhoji na kuwakamata mara moja waliohusika. Au wataleta kisingizio kingine?
Back
Top Bottom