Hawa wakina kimnyamkela humu ndani wanawadanganya na vidawa na matarajio bandia huku akiwa amenyoosha miguu kwenye kochi la shemeji yake.
Pesa ni uhalisia, ingekuwa kuna miujiza ya kuvusha watu kibiashara basi kungekuwa kuna rundo la wafanyabiashara waliondelea katika nchi hii ila wapo limited...
Kuna kampuni chache duniani ambazo zimeacha alama ya kudumu kwenye historia ya biashara kama Coca-Cola. Ilichotengeneza siyo tu kinywaji, bali ni urithi wa kibiashara unaoendelea kufundisha wajasiriamali karne moja baadaye.
Lakini siri yao haipo kwenye ladha pekee. Siri ipo kwenye strategy.
1...
Habari wanajamvi,
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi hapa kwenye jukwaa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali, na nimeona kuna hamu kubwa ya kukuza biashara na kutafuta masoko mapya. Wafanyabiashara wengi wadogo nchini Tanzania wanatumia mitandao ya kijamii kama WhatsApp na Instagram kuuza...
1. Pata Wateja Wapya
Usisubiri bahati. Fanya biashara yako ivutie watu wapya kila wakati kwa kutumia:
Matangazo yanayolenga moja kwa moja wateja wenye uwezo wa kununua
Mitandao ya kijamii, SMS, whatsapp au simu
Kuonyesha tofauti ya bidhaa zako kwa njia ya elimu na thamani
Mteja mpya = Fursa...
Kila mfanyabiashara ana ndoto ya kuona mauzo yakifumuka hadi target aliyoweka — iwe ni kuuza bidhaa 100 kwa wiki au kufikisha milioni 10 kwa mwezi. Lakini ukweli ni kwamba wengi hushindwa sio kwa sababu hawana bidhaa nzuri, bali kwa sababu hawana mfumo wa mauzo unaofanya kazi kila siku.
Katika...
Jinsi ya kukuza biashara yako kwa kupata wateja wengi kupitia Meta Ads (Facebook & Instagram)
1. Kwanza Inabidi uelewe
Biashara yoyote duniani ina kanuni moja
Sales = Attention + Trust + Offer
Na matangazo ni njia ya haraka zaidi kupata "attention" kubwa kwa watu sahihi.
2. Lazima ujue...
Habari mimi ni mwanafunzi wa chuo procurement and supply Natafuta kazi ya marketing au sales naamini nitafanya vizuri, hii yote niweze kumudu Ada na Familia yangu shukran 🙏.
Habari wanajamvi,
Mi kijana wenu leo nimekuja kivingine. Mungu amekuwa mwema kwangu, na mwaka huu nna azimio la kubadili maisha ya watu kutumia ujuzi wa teknolojia nlo nayo.
Kwa sababu zilizo nje ya mada ya leo, nimelazimika kuanza upya (nilipoteza kila kitu 2024). Ila, mwamba hang'atuki vitani...
📖Mhadhara (57)✍️
Hebu fikiria, tunaagiza magari kutoka Japan na nchi nyingine, jinsi tunavyoyaona magari kwenye mitandao ndivyo ambavyo tunaletewa na kuyapokea bandarini kama tulivyoyaona. Huo ni uaminifu wa hali ya juu kwenye biashara.
Lakini unakuta gari hilo hilo lililotoka Japan...
Mimi sipingi uwepo wa VICCOBA kwasababu kwa mtu ambaye hana mtaji anaweza kujiunga na kusevu kidogo kidogo na baada ya mwaka akapata mtaji wakati wa kuvunja kiccoba. Ni njia nzuri ya kufikia malengo yako. Ila leo nitashauri watu ambao wanateseka na maisha kisa VICCOBA.
Mtu ukishaanzisha...
Utangulizi.
Jina langu ni Juma, na nimejikita katika biashara ya kununua, kuendeleza, na kuuza viwanja. Safari yangu ya kibiashara inaanza miaka michache iliyopita, wakati nilipogundua fursa kubwa katika sekta ya ardhi.
Mara ya kwanza nilipokuwa natafuta njia ya kujiongezea kipato, nilikumbana...
Teknolojia na mitandao ya kijamii zimeleta mapinduzi makubwa katika sekta ya biashara ulimwenguni, na Tanzania siyo tofauti. Kwa kutumia teknolojia ipasavyo, wafanyabiashara wanaweza kuongeza ufanisi, kufikia wateja wengi zaidi, na kuongeza mauzo yao. Makala hii itachunguza jinsi wajasiriamali...
Wakuu habari ya asubuhi. Hongereni na majukumu na pia Poleni na changamoto za hapa na pale katika uwajibikaji, ni sehemu ya maisha tu.
Kwa nia njema tu naomba nitangulize angalizo kwamba hili sio tangazo la nafasi za/ya kazi. Nitajitahidi kuweka maelezo sawa ili ujumbe wangu uliokusudiwa...
Kila mtu, kikundi au taasisi ni tamanio lake kuona ikikukua kufikia ubora au malengo waliyojiwekea. Namna bora ya kukua ni kutoa huduma au kuuza huduma huku ukiwafikia walengwa katika ubora ule ule. Wengi wetu imani kubwa tulijiwekea ni kuongeza walaji wa bidhaa au huduma zetu ili kuweza kufikia...
Habari za wakati huu wadau
Ufuatao ni muendelezo wa mada niliyoandika siku kadhaa zilizopita yenye kichwa
- Jinsi ya kushiriki katika Uwekezaji Huria (Venture and Angel Investment)
Mada hii ni mtiririko wa mada kadhaa ambazo huwa naziandika mara kwa mara kwa lengo la kuchangia katika...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Kim, Sun Pyo ambapo ameeleza kuwa Serikali ya Tanzania na wadau inaendelea kuweka jitihada katika kuboresha mazingira ya biashara baina ya...
Idadi kubwa ya Watanzania ni vijana, nao ndio wanakabiliwa zaidi na tatizo la ajira, vijana wa kike wakiathirika zaidi.
Kukabiliana na changamoto hiyo, hatua hizi zimechukuliwa zikionesha kuwa Rais Samia Suluhu anahakikisa anawakwamua vijana na wanawake kiuchumi.
1. Mikopo/mitaji ya biashara...
: Mteja ni nani? Mteja ni mtu yeyote anayenunua bidhaa au huduma inayotolewa na biashara fulani. Mteja ni mtu muhimu sana katika biashara yoyote. Lengo la kuanzisha biashara ni kupata wateja watakaonunua bidhaa au huduma yako. Biashara yoyote isipopata wateja bora na wa uhakika, ni wazi kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.