Idadi kubwa ya Watanzania ni vijana, nao ndio wanakabiliwa zaidi na tatizo la ajira, vijana wa kike wakiathirika zaidi.
Kukabiliana na changamoto hiyo, hatua hizi zimechukuliwa zikionesha kuwa Rais Samia Suluhu anahakikisa anawakwamua vijana na wanawake kiuchumi.
1. Mikopo/mitaji ya biashara; Benki zimeanzisha madirisha yanayotoa mikopo kwa riba nafuu. Taasisi za kimataifa za kifedha zinatoa fedha za ukuaji sekta binafsi
2. Kurekebisha mifumo ya kodi na tozo; Serikali ya Rais Samia Suluhu imerekebisha mifumo hiyo ili kupunguza mzigo kwa wafanyabiashara wadogo
3. Kutoa vyeti vya ubora; Lengo la kutoa vyeti hivi vya TBS ni kuwawezesha wafanyabiashara kuyafikia masoko ya kimataifa maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuimarisha diplomasia ya uchumi iliyofungua milango ya biashara kimataifa kwa watanzania
4. Kuboresha mifumo ya usimamizi; Serikali imefanikiwa kuondoa tatizo la taasisi nyingi kumsimamia mfanyabiashara mmoja
5. Masoko; Serikali inafungua masoko ya ndani na nje ili wafanyabiashara wawezee kuuza bidhaa na huduma zao kimataifa.
Hii ni baadhi ya mikakati iliyofanywa na serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu lengo ni kuhakikisha mazingira ya kujiajiri yanaboreshwa na vijana wengi kufanya biashara ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Kukabiliana na changamoto hiyo, hatua hizi zimechukuliwa zikionesha kuwa Rais Samia Suluhu anahakikisa anawakwamua vijana na wanawake kiuchumi.
1. Mikopo/mitaji ya biashara; Benki zimeanzisha madirisha yanayotoa mikopo kwa riba nafuu. Taasisi za kimataifa za kifedha zinatoa fedha za ukuaji sekta binafsi
2. Kurekebisha mifumo ya kodi na tozo; Serikali ya Rais Samia Suluhu imerekebisha mifumo hiyo ili kupunguza mzigo kwa wafanyabiashara wadogo
3. Kutoa vyeti vya ubora; Lengo la kutoa vyeti hivi vya TBS ni kuwawezesha wafanyabiashara kuyafikia masoko ya kimataifa maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuimarisha diplomasia ya uchumi iliyofungua milango ya biashara kimataifa kwa watanzania
4. Kuboresha mifumo ya usimamizi; Serikali imefanikiwa kuondoa tatizo la taasisi nyingi kumsimamia mfanyabiashara mmoja
5. Masoko; Serikali inafungua masoko ya ndani na nje ili wafanyabiashara wawezee kuuza bidhaa na huduma zao kimataifa.
Hii ni baadhi ya mikakati iliyofanywa na serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu lengo ni kuhakikisha mazingira ya kujiajiri yanaboreshwa na vijana wengi kufanya biashara ili waweze kujikwamua kiuchumi.