kujuta

Bahamut or Bahamoot ( bə-HAH-moot; Arabic: بهموت), is a monster that lies deep below, underpinning the support structure that holds up the earth, according to Zakariya al-Qazwini.
In this conception of the world, the earth is shouldered by an angel, who stands on a slab of gemstone, which is supported by the cosmic beast (ox) sometimes called Kuyutha'(/Kuyuthan)/Kiyuban/Kibuthan (most likely from a corruption or misrendering of Hebrew לִוְיָתָן "Leviathan"). Bahamut carries this bull on its back, and is suspended in water for its own stability.
Balhūt is a variant name found in some cosmographies. In the earliest sources, the name is Lutīyā, with Balhūt given as a byname and Bahamūt as a nickname.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Ni wema gani uliwahi kuutenda ukaishia kujuta mpaka leo

    Nakumbuka nikiwa zangu Msasani beach tumelala kwenye bot bovu alikuja jamaa anakimbia usiku tukamuuliza vipi, akasema kuna maaskari wametimba maskani kukamata wahalifu, basi ilikuwa kama saa tano usiku tukampa hifadhi, ilipo fika kesho asubuhi tukakuta hayupo na kaondoka na viatu vyetu.
  2. J

    CHADEMA isipowadhibiti vijana wake, itakuja kujuta

    CHADEMA inafanya siasa zake mtandaoni kwa kiasi kikubwa, kutokana na mazingira ya siasa nchini yalivyo tangu enzi za mwendazake Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu...
  3. laskaboza

    Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Kwenye Maisha tunajifunza kutokana na makosa na makosa yanaleta majuto kabla ya funzo. Aidha ufanye kosa kwa siri au hadharani, ni lazima likugharimu kwa namna moja au nyingine na hivyo kupelekea majuto. Kuna vitu huwezi kuzungumza na watu wanaokufahamu vizuri, kuna vitu vinabaki mioyoni mwetu...
  4. John Haramba

    Muna Love ajutia kufanya upasuaji wa kutengeneza mwili wake

    Baada ya mwaka jana kuweka wazi kuwa amefanya upasuaji (sajari) za dimpozi na umbile kwa ujumla, mwanamama Muna Love amejitokeza na kuwasihi watu kutofanya sajari kwani anajuta na kuahidi kuweka wazi madhara yake hivi karibuni. Muna Love ambaye anadaiwa kulazwa hospitalini kutokana na madhara...
  5. C

    Umewahi kujuta kumuoa/kuolewa na huyo?

    Inawezekana wakati unamuoa/kuolewa naye ulikuwa na mategemeo lukuki ambayo kwa bahati mbaya huyaoni katika Manisha halisia ya ndoa! Umewahi kujiuliza kama unatimiza mategemeo yake kwako ya kabla ya ndoa? Moyo wa mwanadamu ni kichaka, yawezekana amejaa sononeko ndani ya moyo wake kwa kutopata...
Back
Top Bottom