kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    GE2025 Mhandisi Robert Gabriel achukua fomu kugombe ubunge Geita Mjini

    Mapema leo Juni 28, 2025 aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa katika Mikoa ya Geita, Mara na Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi, amefika Ofisi za Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Geita na kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Geita Mjini katika uchaguzi wa mwaka 2025. Injinia Gabriel ambaye siku...
  2. M

    Huu ni uthibitisho kuwa CCM ni chama cha kisulutani. Wenye pesa na watoto wa Vigogo ndio watalamba dodo

    Hakuna atakaye nibishia kuwa CCM ya leo sio ya Wakulima na wafanyakazi kama alivyokiacha Mwalimu Nyerere. 👇
  3. W

    GE2025 Jesca Magufuli achukua fomu ubunge viti maalum

    Jesca Magufuli ambaye ni Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Hayati Dr. John Pombe Magufuli, leo June 28 2025 amechukua rasmi fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa. Jesca ni Binti ambaye amejipambanua kama sauti ya matumaini kwa Vijana na...
  4. W

    GE2025 Balozi Mulamula achukua fomu ubunge viti maalum

    Balozi Liberata Mulamula amechukua fomu rasmi leo tarehe 28/6/2024 katika Ofisi za UWT, Taifa, zilizopo jijini Dodoma, kuwania kiti cha ubunge Viti Maalum katika kundi la Vyuo Vikuu katika uchaguzi ujao. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa...
  5. N

    GE2025 NCCR Mageuzi kutoa fomu za Udiwani, Ubunge mnamo Julai 1, 2025, mwisho wa kurejesha ni Julai 22, 2025

    Tangazo Kwa Wanachama na kwa Umma Chukua taarifa hii kwamba, fomu za kuomba kugombea Udiwani, Uwakilishi na Ubunge kwa tiketi ya Chama cha NCCR-Mageuzi, zitaanza kutolewa kuanzia tarehe 01 Julai, 2025 na mwisho wa kurejesha ni tarehe 22 Julai, 2025. Fomu zitapatikana katika ofisi za chama...
  6. W

    GE2025 Shetta ajitosa kugombea udiwani kata ya Mchikichini

    Wakuu, Wakati mwanaye akiendeleza harakati pale Chipukizi, baba mtu naye amaeamua kujitosa udiwani kata ya Mchikichini, Dar es salaa. === Nurdin Bilal Ally Juma alimaarufu kama Shetta amechukua Fomu ya Kutia Nia ya kugombea Udiwani kata ya Mchikichini - Ilala Jijini Dar Es salaam. Hapa Shetta...
  7. W

    GE2025 Mbunge wa Lupembe anayemaliza muda wake, Edwin Swalle achukua fomu tena kuomba ridhaa ya muhula mwingine

    Mbunge wa Jimbo la Lupembe anayemaliza Muda wake Edwin Swalle amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Lupembe. Swalle amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumamosi Juni 28, 2025 na Katibu wa CCM Wilaya ya Njombe, Mariam Kireti. Swalle ameongoza Jimbo la Lupembe kwa kipindi cha Miaka...
  8. W

    GE2025 Mratibu wa shughuli za utawala Uplands FM achukua fomu udiwani Mji mwema

    Mratibu wa Shughuli za Utawala Uplands Fm Redio Ndugu Noby James Swalle amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mji Mwema Halmashauri ya Mji Njombe, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM.) Ndugu Noby amekabidhiwa fomu mapema leo Jumamosi Juni 28, na Katibu wa CCM wa Kata ya Mji...
  9. Waufukweni

    GE2025 Mkuwe Isale (Mamy Baby) achukua fomu ya kugombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora

    Mtangazaji na mwanaharakati wa kijamii, Mkuwe Abdul Isale maarufu kama Mamy Baby, ameonyesha nia ya kulitumikia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum. Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Tabora, Mamy Baby...
  10. W

    PreGE2025 Daniel Chongolo ajitosa jimbo la Makambako

    Wakuu Daniel Chongolo ameamua kujitosa katika mbio za kugombea ubunge zinazoendelea kupitia tiketi ya CCM. === Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika "Namshukuru Mungu, nimefanikiwa kuchukua na kurejesha fomu salama za kuomba ridhaa ya Ubunge katika jimbo la Makambako mkoani Njombe...
  11. W

    GE2025 Kada wa CCM Aloyce Mwenda achukua fomu ya kuomba ridhaa jimbo la Lupembe

    Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Njombe Bwana Aloyce Mwenda amechukua fomu kuomba ya Ubunge katika Jimbo la Lupembe. Bwana Mwenda amesema Yupo tayari kuwatumikia Wananchi wa Jimbo La Lupembe endapo Chama Cha Mapinduzi(CCM) kitampa ridhaa ya kuwa Mgombea Ubunge. Chanzo: Uplands Fm
  12. W

    GE2025 Lazaro Nyalandu arejea ulingoni tena, achuku fomu jimbo la Ilongero, Singida

    Aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amechukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Ilongero mkoani Singida. Nyalandu amewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo zamani likiitwa Singida Kaskazini kwa vipindi viwili, amekabidhiwa fomu hiyo mapema leo Juni 28, 2025 na Katibu wa...
  13. Waufukweni

    GE2025 Makamu wa Rais Yanga, Arafat Haji, achukua fomu ya Kugombea Ubunge jimbo la Shauri Moyo

    Makamu wa Rais wa Klabu ya Yanga, Arafat Haji leo Juni 28, amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Shauri Moyo visiwani Zanzibar.
  14. W

    GE2025 Antony Mavunde achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mtumba

    Aliyekuwa Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge wa Jimbo la Mtumba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akieleza kuwa endapo atapata ridhaa ya chama, atakuwa tayari kuwania nafasi hiyo kwa ajili ya kuwatumikia wananchi. Akizungumza mara...
  15. W

    GE2025 Mwandishi wa habari, Adam Malima achukua fomu ya Ubunge Mpwapwa kupitia CCM

    Mwandishi wa habari wa channel ten Adam Malima amechukua form ya kuwania kuteuliwa na chama cha mapinduzi CCM kugombea ubunge wa jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma. Adam Malima ambae ni mzaliwa katika jimbo hilo ameeleza kuwa dhamira yake ni kuhakikisha kuwa anaifungua Mpwapwa ili iwe kubwa zaidi...
  16. MHP

    GE2025 Mshauri wa Rais, Dkt. Fabian Madele achukua fomu Dodoma Mjini

    Mshauri wa Rais, Dkt. Fabian Madele amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea jimbo la Dodoma Mjini. Leo chama hicho kimefungua pazia kwa makada wake kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania Ubunge na Udiwani.
  17. W

    PreGE2025 Fadhili Ngajilo achukua fomu ya ubunge Iringa Mjini kupitia CCM

    Mwenyekiti wa Wazazi Mkoa wa Iringa Fadhili Ngajilo ametangaza nia ya kutaka kugombea Ubunge Kuelekea katika uchaguzi Mkuu wa Oct 2025. Ngajilo ametoa azma yake ya kulitaka Jimbo la Iringa Mjini mara baada ya kujitokeza katika Ofisi za CCM Wilaya ya Iringa Mjini Leo kuchukua Fomu ya Ubunge na...
  18. W

    PreGE2025 Wananchi Uyole wamchukulia fomu Dkt. Tulia Ackson kugombea Ubunge

    Wananchi wa Jimbo la Uyole Mkoani Mbeya wamemchukulia fomu ya kuwania Ubunge Dkt. Tulia Ackson katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2025 hapa nchini. Akizungumza baada ya kuchukua fomu hiyo kwa niaba ya wananchi wa Jimbo la Uyole Adil Mwansepele amesema kilichowasukuma...
  19. PAYE

    GE2025 Hemed: Wanawake msiwe ngazi kuwapandisha Wanaume kwenye Uongozi

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla; "Uongozi haununuliwe, ukiona mtu ananza kuhangaika huko anapita kutembeza senti huyo hakusudii kuwatumikia watu. Hiyo sio aina ya Uongozi bora" "Wanawake msiwe ngazi kuwapandisha...
  20. Waufukweni

    PreGE2025 Hemed: Watoa Rushwa, watiaji Gari Vioo Vyeusi (Tinted), wanaokwepa ibada Misikitini, wasichaguliwe mara hii!

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, "Tafadhalini sana, tusitumike vibaya, sisi viongozi ukiingia kwenye Chama cha Mapinduzi (CCM) tunatakiwa kuwa waadilifu, ukiingia kwenye Chama cha Mapinduzi unakula kiapo"...
Back
Top Bottom