Wakati deni la Taifa linakua kwa kasi ya kutisha, ukweli ni kwamba;
1. Watoto wetu bado wanasoma kwenye shule zenye miundombinu duni sana huku elimu yao ikiwa haijengi kesho bora kwao kwenye dunia hii ya ushindani,
2. Miradi ya maendeleo si barabara, si majengo inajengwa chini ya viwango kwa...