Parliament has called for the formation of an inquiry to investigate how 133 applicants who are among individuals who applied for the position of Revenue Service Assistances (RSA) at the Kenya Revenue Authority (KRA) but were allegedly dismissed on grounds that they were either HIV positive or...
Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru nchini Kenya (KRA) imetangaza kuwa inaanza kuchunguza mwenendo wa maisha ya raia wa nchi hiyo kwenye mitandao ya kijamii na majukwaa mengine ya kidijitali ili kubaini iwapo mapato yao yanalipiwa ushuru.
Mamlaka hiyo inasema kuwa raia wengi wa Kenya wamekuwa...
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi...
Makampuni za Kenya zinalipa ushuru kwa fujo sana hadi KRA wanakusanya ushuru mwingi kutoka kwa makampuni kupita makadirio ya awali. Hii ina maana kwamba Kenya ina makampuni mengi na pia yanatengeneza profit kibao na ndio maana zinalipa ushuru kwa fujo. KRA imekusanya ksh 330 billion kutoka kwa...
Cargo checkpoints at the Port of Mombasa have been linked to the Kenya Revenue Authority (KRA) in a move expected to reduce goods clearance time and enhance transparency.
This is after the taxman commissioned a Sh2.6 billion Mombasa port metropolitan fibre optic network on Wednesday that will...
Total taxes collected by KRA are $16B while Tanzanian total budget for 2021/2022 is $14B. This means that KRA can finance Tanzanian budget na wabaki na change ya $2B
KRA surpasses 2020/21 revenue target
This is the first time since financial year 2013/14
In Summary
•The 2020/2021 revenue...
Juzi TRA ya Tz walisema wamekusanya trilioni mbili, mitandao haikukalika kwa namna mataga walisifia wengine wakisema Tanzania sasa inaipiku Kenya kiuchumi, haya hapa KRA imekusanya mara mbili ya hiyo...
===============================
Kenya Revenue Authority (KRA) has signaled a speedy economic...
NAIROBI, Kenya, Nov 23 – Kenya Revenue Authority surpassed its first-quarter revenue collection target by Sh36 billion after it collected Sh426.3 billion between July 1 and October 30.
In a gazette notice, the National Treasury revealed the 9.2 percent rise in taxes collected, up from a target...
The country is losing millions of shillings daily in a tax evasion scheme between Kenya Revenue Authorities employees and crafty importers. And as Sam Ogina reports importers and KRA officials at the Namanga border are now using fake import declaration forms to fraudulently allow trucks from...
KRA vs TRA (Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania)
KRA: Kenya Revenue Authority
TRA: Tanzania Revenue Authority
Makusanyo (Tax Collection July 2019 to June 2020)
KRA-Kenya: 34 Trillion (Tsh)
TRA-Tanzania: 14 Trillion (Tsh)
Sababu ni hizi hapa.
Matumizi duni ya teknologia (ICT)...
Huwa tunawatahadharisha muache kushindana na ndovu kunya, mtapasuka kule kule, haka kainchi ketu kadogo hakana madini wala raslimali za asili, na zaidi ya nusu ni kame tupu lakini humu kuna watu wanajituma na kutumia ubongo hadi raha, tunaendelea kuongeza pengo la kiuchumi baina yetu na majirani...
Local energy trading firm-Dalbit Petroleum is the leading oil importer tax payer in Kenya.
This was revealed during the Kenya Revenue Authority (KRA) 2018 Distinguished Taxpayers awards ceremony held on Wednesday, where the firm bagged KRA’s Distinguished Tax Payer award trophy.
Read more on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.