kra

  1. Miss Zomboko

    KRA Drops 133 Recruits After Pregnancy And HIV Tests

    Parliament has called for the formation of an inquiry to investigate how 133 applicants who are among individuals who applied for the position of Revenue Service Assistances (RSA) at the Kenya Revenue Authority (KRA) but were allegedly dismissed on grounds that they were either HIV positive or...
  2. Analogia Malenga

    Kenya: KRA yatangaza kuchunguza maisha ya wakenya kwenye mitandao ya kijamii

    Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru nchini Kenya (KRA) imetangaza kuwa inaanza kuchunguza mwenendo wa maisha ya raia wa nchi hiyo kwenye mitandao ya kijamii na majukwaa mengine ya kidijitali ili kubaini iwapo mapato yao yanalipiwa ushuru. Mamlaka hiyo inasema kuwa raia wengi wa Kenya wamekuwa...
  3. Tony254

    KRA imekusanya ksh 476 billion kwa muda ya miezi mitatu. Pesa ambayo TZ inakusanya katika muda wa miezi sita.

    Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi...
  4. Tony254

    KRA imekusanya ushuru wa makampuni kwa kiasi kikubwa kushinda target yake

    Makampuni za Kenya zinalipa ushuru kwa fujo sana hadi KRA wanakusanya ushuru mwingi kutoka kwa makampuni kupita makadirio ya awali. Hii ina maana kwamba Kenya ina makampuni mengi na pia yanatengeneza profit kibao na ndio maana zinalipa ushuru kwa fujo. KRA imekusanya ksh 330 billion kutoka kwa...
  5. MK254

    KRA links to 23 clearance points at Mombasa Port

    Cargo checkpoints at the Port of Mombasa have been linked to the Kenya Revenue Authority (KRA) in a move expected to reduce goods clearance time and enhance transparency. This is after the taxman commissioned a Sh2.6 billion Mombasa port metropolitan fibre optic network on Wednesday that will...
  6. Teargas

    Taxes collected by KRA in 2020 can finance Tanzania budget and still remain with some change

    Total taxes collected by KRA are $16B while Tanzanian total budget for 2021/2022 is $14B. This means that KRA can finance Tanzanian budget na wabaki na change ya $2B KRA surpasses 2020/21 revenue target This is the first time since financial year 2013/14 In Summary •The 2020/2021 revenue...
  7. MK254

    Dadadeki!! Kwa mwezi wa Desemba tu KRA imekusanya Ksh166 billion, kwa hela madafu hizo ni kama Tshs 3,652,000,000,000 yaani Trilioni 3.6

    Juzi TRA ya Tz walisema wamekusanya trilioni mbili, mitandao haikukalika kwa namna mataga walisifia wengine wakisema Tanzania sasa inaipiku Kenya kiuchumi, haya hapa KRA imekusanya mara mbili ya hiyo... =============================== Kenya Revenue Authority (KRA) has signaled a speedy economic...
  8. Sinister

    KRA Surpasses It First-Quarter Revenue Collection Target

    NAIROBI, Kenya, Nov 23 – Kenya Revenue Authority surpassed its first-quarter revenue collection target by Sh36 billion after it collected Sh426.3 billion between July 1 and October 30. In a gazette notice, the National Treasury revealed the 9.2 percent rise in taxes collected, up from a target...
  9. IAfrika

    Njama ya wanaokwepa kulipa ushuru Kenya kupitia Namanga kutoka bandari za Tazania watibuliwa

    The country is losing millions of shillings daily in a tax evasion scheme between Kenya Revenue Authorities employees and crafty importers. And as Sam Ogina reports importers and KRA officials at the Namanga border are now using fake import declaration forms to fraudulently allow trucks from...
  10. Tabutupu

    KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

    KRA vs TRA (Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania) KRA: Kenya Revenue Authority TRA: Tanzania Revenue Authority Makusanyo (Tax Collection July 2019 to June 2020) KRA-Kenya: 34 Trillion (Tsh) TRA-Tanzania: 14 Trillion (Tsh) Sababu ni hizi hapa. Matumizi duni ya teknologia (ICT)...
  11. MK254

    KRA yavunja rekodi kwa kukusanya Kshs 1,607,000,000 kwa hela ya madafu hizo ni kama Tshs 36,961,000,000

    Huwa tunawatahadharisha muache kushindana na ndovu kunya, mtapasuka kule kule, haka kainchi ketu kadogo hakana madini wala raslimali za asili, na zaidi ya nusu ni kame tupu lakini humu kuna watu wanajituma na kutumia ubongo hadi raha, tunaendelea kuongeza pengo la kiuchumi baina yetu na majirani...
  12. M

    Here is Kenya’s top oil importing tax payer

    Local energy trading firm-Dalbit Petroleum is the leading oil importer tax payer in Kenya. This was revealed during the Kenya Revenue Authority (KRA) 2018 Distinguished Taxpayers awards ceremony held on Wednesday, where the firm bagged KRA’s Distinguished Tax Payer award trophy. Read more on...
Back
Top Bottom