Kizimkazi - officially Kizimkazi Mkunguni, but also known as Kizimkazi Mtendeni - is a fishing village on the southern coast of Zanzibar, Tanzania, and was once a walled city. It is situated three miles southeast of the Kizimkazi Mosque (which is located in Kizimkazi Dimbani, commonly known just as Dimbani). In recent years, Kizimkazi has become a major tourist attraction, as daily boat tours are organized to bring visitors off shore to watch bottlenose dolphins and swim with them.
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala, amesema:
“Tokea lini katika nchi hii kupanda miti ikawa kosa? Polisi anitajie kifungu chochote cha sheria kinachomruhusu kuwazuia wanachama wa CHADEMA kupanda miti. Tuna sheria ya mazingira...
Kama upo Dodoma wakati huu utayasikia haya; CCM Kizimkazi, CCM Janjaweed tayari wanamsagia kunguni Dr.Nchimbi, kwamba asijikute yeye ni Rais. Hawapendezwi na “tone” ya maridhiano ya Dr.Nchimbi. Wanadai ndiyo kwanza kumekucha “mission unaccomplished”, penda tusipende.
Wakati Ukuta, Watanganyika...
Baada ya kumwaga petrol ya kutosha kila eneo Tanganyika, na baada ya mkutano usio na maana yoyote (empty pleasure) kule mwanza, Bi.Nwyinwyi na familia yake yote wataelekea zao Zanzibar na Dubai kujificha. Hatajipigia hiyo kura yake Dodoma wala Dar es Salaam. Shida za Bara hazimhusu mjue
Atakaa...
Wanahabari wametembelea Zahanati ya Kizimkazi iliyopo Mkunguni ambapo katika ziara hiyo wamejionea jinsi zahanati hiyo inavyofanya kazi na yenye hadhi ya hospitalI kubwa kutoka na kila huduma ya matibabu inapatikana.
Daktari Dhamana wa Zahanati hiyo, Tamimu Hammad Saidi amesema "Zahanati inatoa...
Habari ndiyo hiyo.
Ile akili iliyotaka kujenga bandari Bagamoyo imetuma tena ujenzi bandari Kizimkazi.
Lengo na nia ni kujiimarisha kiuchumi kwa watawala. Watoto wa Nyerere na Magufuli nadhani wanawalaumu sana wazazi wao.
===
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kukamilisha taratibu...
Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Luhaga Mpina alipowasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho, akitokea jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu uliompitisha kuwania nafasi hizo.
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU
Kwetu sisi ambao tunashinda kitaa hapa na pale wote tutakubaliana kabisa kuwa pole pole alichokifanya ni kama kugonga msumari kwenye geneza
Kawafanya watanzania wote wamuone mama kizimkazi kama kibaka
Yaan huo ndo ukweli hata wale kobazi wachache ambao...
Awamu hii ya sasa watasema haikuwa awamu yake,
Muhula wa kwanza 2025 - 2030
Muhula wa pili 2030 - 2035
Kuna wa kupinga Kamati kuu ya Ccm ? NO, HAKUNA !!
Wakuu habari ndiyo ni kwamba kama ilivyozoeleka tangu Mhe. Rais Samia aingie madarakani 2021 serikali ilianzisha Tamasha la Kizimkazi kwa lengo la kuenzi tamaduni za asili,uzinduzi wa miradi ya Serikali huko visiwani pamoja shughuli mbalimbali za kijamii.
Tamasha hilo ambalo limekuwa maarufu...
Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa na kuendesha kijinga
Lissu alikwambia mkiuwa upinzani au CHADEMA, mtaanza kupingana nyie wenyewe
Leo tumeisikiliza press ya maana ya mwana CCM Askofu Gwajima
Press zinazofuata za...
Wanabodi
Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi
https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tumpongeze-rais-samia-sambamba-na-wanahabari-ila-tukaze-uzi-5030938
Tarehe 3 Mei kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa wiki nzima, iliyopita, nimekuwa jijini Arusha kwenye hoteli...
Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion Mohamed Haji amefunguka dhamira ya kufanya Dua maalum Kizimkazi Zanzibar, na kusema kuwa Dua hiyo ni kumshtakia Mungu kuendelea kutupa Amani nchini Pamoja na kuwalinda Viongozi wa Serikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
Bila shaka wewe siyo Farao aliyeamua kuziba masikio hata pale busara yote ilipoelekeza vinginevyo:
Kwani urais kitu gani kama unachoombwa ni kushinda au kushindwa kupitia tu uchaguzi ulio huru na wa haki?
Anasema TX Moshi (Rip):
"Sikia maneno ya kuambiwa na wana Ndekule, eeh Moshi weeh!
Eeh...
👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE
👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.*
👉🏾Nice sea view and Beach.
👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach.
👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar.
👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE
👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.*
👉🏾Nice sea view and Beach.
👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach.
👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar.
👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE
👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.*
👉🏾Nice sea view and Beach.
👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach.
👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar.
👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE
👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.*
👉🏾Nice sea view and Beach.
👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach.
👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar.
👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.