kizimkazi

Kizimkazi - officially Kizimkazi Mkunguni, but also known as Kizimkazi Mtendeni - is a fishing village on the southern coast of Zanzibar, Tanzania, and was once a walled city. It is situated three miles southeast of the Kizimkazi Mosque (which is located in Kizimkazi Dimbani, commonly known just as Dimbani). In recent years, Kizimkazi has become a major tourist attraction, as daily boat tours are organized to bring visitors off shore to watch bottlenose dolphins and swim with them.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Mwanasheria Mkuu CHADEMA: Polisi wanazuia Wanachama wa CHADEMA wasipande miti, mbona ya Kizimkazi hawazuii?

    Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala, amesema: “Tokea lini katika nchi hii kupanda miti ikawa kosa? Polisi anitajie kifungu chochote cha sheria kinachomruhusu kuwazuia wanachama wa CHADEMA kupanda miti. Tuna sheria ya mazingira...
  2. D

    CCM Kizimkazi tayari wanamsagia kunguni Emmanuel Nchimbi

    Kama upo Dodoma wakati huu utayasikia haya; CCM Kizimkazi, CCM Janjaweed tayari wanamsagia kunguni Dr.Nchimbi, kwamba asijikute yeye ni Rais. Hawapendezwi na “tone” ya maridhiano ya Dr.Nchimbi. Wanadai ndiyo kwanza kumekucha “mission unaccomplished”, penda tusipende. Wakati Ukuta, Watanganyika...
  3. Beira Boy

    Aliyemwandikia sala Mufti mkuu ndo huyo huyo aliyemwandikia hotuba Mama kizimkazi

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Alikuwa ni mtu mmoja SAYUNI BOY
  4. D

    GE2025 Baada ya Mkutano wa Mwanza leo, Samia atakimbilia zake Kizimkazi kujificha

    Baada ya kumwaga petrol ya kutosha kila eneo Tanganyika, na baada ya mkutano usio na maana yoyote (empty pleasure) kule mwanza, Bi.Nwyinwyi na familia yake yote wataelekea zao Zanzibar na Dubai kujificha. Hatajipigia hiyo kura yake Dodoma wala Dar es Salaam. Shida za Bara hazimhusu mjue Atakaa...
  5. JanguKamaJangu

    Kituo cha Afya Kizimkazi kinatoa matibabu na chakula bure

    Wanahabari wametembelea Zahanati ya Kizimkazi iliyopo Mkunguni ambapo katika ziara hiyo wamejionea jinsi zahanati hiyo inavyofanya kazi na yenye hadhi ya hospitalI kubwa kutoka na kila huduma ya matibabu inapatikana. Daktari Dhamana wa Zahanati hiyo, Tamimu Hammad Saidi amesema "Zahanati inatoa...
  6. The Burning Spear

    Serikali kujenga bandari Kizimkazi hadi Kunduchi huko Zanzibar

    Habari ndiyo hiyo. Ile akili iliyotaka kujenga bandari Bagamoyo imetuma tena ujenzi bandari Kizimkazi. Lengo na nia ni kujiimarisha kiuchumi kwa watawala. Watoto wa Nyerere na Magufuli nadhani wanawalaumu sana wazazi wao. === Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kukamilisha taratibu...
  7. Waufukweni

    GE2025 Luhaga Mpina akiwa Zanzibar: Mimi ni kijana wenu, nimekulia pale Kizimkazi

    Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Luhaga Mpina alipowasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho, akitokea jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu uliompitisha kuwania nafasi hizo.
  8. Beira Boy

    GE2025 Tuongee tu ukweli, Humphrey Polepole kabadilisha kabisa upepo wa kisiasa nchini

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU Kwetu sisi ambao tunashinda kitaa hapa na pale wote tutakubaliana kabisa kuwa pole pole alichokifanya ni kama kugonga msumari kwenye geneza Kawafanya watanzania wote wamuone mama kizimkazi kama kibaka Yaan huo ndo ukweli hata wale kobazi wachache ambao...
  9. N

    Kwa hali nayoiona kuna kila dalili za mama yupo mpaka 2035, Sioni kabisa wa kupinga kamati kuu ya CCM

    Awamu hii ya sasa watasema haikuwa awamu yake, Muhula wa kwanza 2025 - 2030 Muhula wa pili 2030 - 2035 Kuna wa kupinga Kamati kuu ya Ccm ? NO, HAKUNA !!
  10. M

    Mayala: Samia Kaachie Kidogo kale Kasimba ka Kizimkazi

    Utampenda Mayala mwandishi wa habari na mwana CCM asiye mnafiki.
  11. The Supreme Conqueror

    Mwaka huu hakutakuwa na Kizimkazi Festivals hadi mwakani july 19-26 panapo Majaliwa

    Wakuu habari ndiyo ni kwamba kama ilivyozoeleka tangu Mhe. Rais Samia aingie madarakani 2021 serikali ilianzisha Tamasha la Kizimkazi kwa lengo la kuenzi tamaduni za asili,uzinduzi wa miradi ya Serikali huko visiwani pamoja shughuli mbalimbali za kijamii. Tamasha hilo ambalo limekuwa maarufu...
  12. ngara23

    Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa

    Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa na kuendesha kijinga Lissu alikwambia mkiuwa upinzani au CHADEMA, mtaanza kupingana nyie wenyewe Leo tumeisikiliza press ya maana ya mwana CCM Askofu Gwajima Press zinazofuata za...
  13. Pascal Mayalla

    Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

    Wanabodi Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tumpongeze-rais-samia-sambamba-na-wanahabari-ila-tukaze-uzi-5030938 Tarehe 3 Mei kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa wiki nzima, iliyopita, nimekuwa jijini Arusha kwenye hoteli...
  14. Waufukweni

    PreGE2025 Mohamed Haji: Tumekuja Kizimkazi kufanya Dua kumshtakia Mungu Amani ya nchi

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion Mohamed Haji amefunguka dhamira ya kufanya Dua maalum Kizimkazi Zanzibar, na kusema kuwa Dua hiyo ni kumshtakia Mungu kuendelea kutupa Amani nchini Pamoja na kuwalinda Viongozi wa Serikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
  15. B

    Rais Samia sikia maneno haya ya kuambiwa kumhusu yule Simba wa Kizimkazi, Tundu Antipas Lissu!

    Bila shaka wewe siyo Farao aliyeamua kuziba masikio hata pale busara yote ilipoelekeza vinginevyo: Kwani urais kitu gani kama unachoombwa ni kushinda au kushindwa kupitia tu uchaguzi ulio huru na wa haki? Anasema TX Moshi (Rip): "Sikia maneno ya kuambiwa na wana Ndekule, eeh Moshi weeh! Eeh...
  16. Dalali wa kimataifa

    BEACH PLOT FOR SALE AT KIZIMKAZI ZANZIBAR TANZANIA,AREA SQM 80,000,PRICE USD2.3MILLIONS, 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717

    👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE 👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* 👉🏾Nice sea view and Beach. 👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach. 👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar. 👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
  17. Dalali_wa_kimataifa

    BEACH AREA,LOCATED AT KIZIMKAZI ZANZIBAR TANZANIA,AREA 80,000SQM,PRICE 2.3USD,🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717

    👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE 👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* 👉🏾Nice sea view and Beach. 👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach. 👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar. 👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
  18. Dalali_wa_kimataifa

    BEACH PLOT FOR SALE,AREA 80,000SQM,LOCATED AT KIZIMKAZI ZANZIBAR TANZANIA,PRICE 2.3USD, 🇹🇿+255758844717

    👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE 👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* 👉🏾Nice sea view and Beach. 👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach. 👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar. 👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
  19. Dalali_wa_kimataifa

    BEACH PR SALE,LOCATED AT KIZIMKAZI ZANZIBAR,PRICE USD 2.2MILLIONS,Area 80,000sqm. 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717

    👉🏾👉🏾BEACH PLOT ⛱️ FOR SALE 👉🏾A Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* 👉🏾Nice sea view and Beach. 👉🏾The Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun 🌞🌞 Set Beach. 👉🏾Nearly The Famous Big Hotels in Zanzibar. 👉🏾Plot size 200×400 Meters equal to Square meters...
  20. dalalitz

    For sale: 20 acres serene beach-land, $ 2.3 million at Kizimkazi, Zanzibar

    ....
Back
Top Bottom