Ndugu wanajukwaa la siasa, huu ni mjadala wa kitaifa:
Tunapojadili kwa nini miradi mikubwa ya kimkakati inaweza kwenda nchi jirani, tusitazame tu bandari, ardhi au soko. Tujiulize pia kuhusu ubora wa taasisi zetu za kisiasa na utawala.
CCM imekuwa chama tawala kwa muda mrefu na ina wajibu...