kigali

Kigali (Kinyarwanda: [ci.ɡɑ́.ɾi]) is the capital and largest city of Rwanda. It is near the nation's geographic centre. The city has been Rwanda's economic, cultural, and transport hub since it became the capital following independence in 1962. The city hosts the main residence and offices of the President of Rwanda and government ministries. The city is within the province of Kigali City, which was enlarged in January 2006, as part of local government reorganisation in the country. Kigali's city limits cover the whole province; it is consolidated. The city's urban area covers about 70% of the municipal boundaries.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Full TIME | Tanzania 0-1 Liechtenstein | International Friendly | Kigali Pelé Stadium

    Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani Machi 26, 2026 Saa 11:30 Jioni kuivaa Liechtenstein katika michuano ya FIFA Series inayoendelea Kigali, Rwanda ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea fainali za AFCON mwakani. Mchezo huo ni moja kati ya miwili ya mashindano ya timu nne...
  2. GENTAMYCINE

    Naona tayari Laana ya wana Yanga SC kwa Timu yao Kuichangia CCM Milioni 100 imeshaanza Kulipa huko Kigali Rwanda

    Jifanyeni tu mpaka sasa bado hamna Matokeo wakati mapema tu tayari Kipa Mjibinuaji Onyesha Boksa keshawekwa 1...!
  3. Ojuolegbha

    Waziri Kombo afungua milango mipya ya ushirikiano kati ya Tanzania na Rwanda kupitia mkutano wa jpc Kigali

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefungua rasmi Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Rwanda, uliofanyika tarehe 26 Julai 2025 jijini Kigali, Rwanda. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa...
  4. Ojuolegbha

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasili jijini Kigali, Rwanda, kushiriki Mkutano

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amewasili jijini Kigali, Rwanda, kushiriki Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Rwanda. Mhe. Kombo amepokelewa na Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa...
  5. Mende mdudu

    Jicho la tatu la kijasusi kauli za kagame:"tunaweza kuja hadi hapo mnapofanyia mashambulizi dhidi ya Kigali na kuwafanyizia".

    Je tunaweza kumtambua kagame kama kiranja wa ujasusi ukanda wa maziwa makuu , na kusini mwa jangwa la Sahara? Tumeona umairi wake uko goma, kushirikiana na M23, tumeona akipeleka vikosi vyake Msumbiji kulinda amani na ushikiano zaidi ya askari 1000, akitumia mpaka wa rwanda kupitisha balozi...
  6. M

    MTANZANIA ALIYEPO KIGALI

    Wadau, Mimi leo ni mara ya kwanza kutembelea Nchi hii maridhawa kabisa ya Maj. Gen. PK. Kama yupo "Mswahili"mwenzangu ambaye yuko huku naomba tuwasiliane angalau kupata uenyeji wa kutembea /kulizunguka Jiji la Kigali kwa siku hizi chache nitakazokuwepo huku. Details zaidi njoo inbox.
  7. Waufukweni

    Yanga SC kucheza mechi ya kirafiki na Rayon Sports Juni 15 Kigali, yakataa mechi ya Dabi dhidi ya Simba

    Klabu ya Yanga SC ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports Juni 15, 2025 mchezo huo ukiwa unalenga kujenga uhusiano mzuri na klabu hiyo. Mchezo huo utachezwa Mjini Kigali, Rwanda. Kukubali mwaliko huo kwa Yanga kunathibitisha dhamira yao ya kukataa...
  8. Jeep wrangler

    Kigali peace marathon june 2025 ninatarajia kushiri naombeni ushauri wenu

    Bila shako mko salama jf members wote, nawatakia kwaresma njema na mfungo wa Ramadhani. Ninatarajia kushiriki Kigali peace marathon ambayo hufanyika kila mwezi June kila mwaka, Kigali, Rwanda. Lengo kuu la kushiriki sio kushinda bali ni moja ya: 1. Kujifurahisha kwa njia ya michezo. 2. Kupata...
  9. MBOKA NA NGAI

    Jeshi la S.A kurudi kwao, kupitia Kigali

    Baada ya AFC/M23 kuomba serikali ya Afrika kusini kuondoa wanajeshi wake, na nchi hiyo ikakataa, hatimae ombi la M23 limekubaliwa, na njia pekee iliyotolewa(corridor) ikiwa ni Rwanda, jumapili ya leo, Februari 23, 2025, wanajeshi hao watasafilishwa kuelekea uwanja wa ndege wa Kanombe, uliopo...
  10. Alvin_255

    Rwanda Cuts Development Ties with Belgium Over Sanctions Dispute Kigali Stands Firm Against European Pressure

    Excerpt: Rwanda has suspended its 2024-2029 development cooperation agreement with Belgium, citing Brussels' push for EU sanctions and economic pressure over alleged support for M23 rebels. This decision marks a new low in Rwanda-Belgium relations. Rwanda has officially suspended its 2024-2029...
  11. F

    Tetesi: Inadaiwa Makumi ya Askari jeshi wa SADC watekwa Congo na kupelekwa Kigali

    Source: VOA Radio. Mtangazaji wa VOA Kgali anaripoti wanajeshi wengi wa SADC wametekwa na M 23 na kusafirishwa hadi Kigali. Rais Kagame kaamuru wanajeshi wa SADC Warejeshwe makwao haraka. Inaripotiwa pia wanajeshi 800 wa SADC na Congo wameuliwa na M 23. Wanajeshi wa SADC wanatoka Tanzania...
  12. P

    Ipi namna rahisi ya kufika Kigali kutokea Dar?

    Naomba kujua namna rahisi ya kufika Kigali from Dar.
  13. M

    Feisal Salum nakusalimia Kijana wangu. Habari za Kigali

    Nasikia ulijiapiza kuwa ligi ya mabingwa Caf kuwa unataka uwaonyeshe Simba na Yanga mpira unavyochezwa. PIA SOMA - News Alert: - FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | 🏟 Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
  14. GoldDhahabu

    Mpaka upi utakaoniwezesha kufika Nairobi kwa kupitia Bunjumbura, Kigali na Kampala?

    Mwezi ujao ninatarajia kwenda Nairobi nchini Kenya. Kwa kuwa sijawahi fika Kigali, ninataka nitumie fursa hiyo kwa kupita kama njia. Matamanio yangu ni kupitia Bunjumbura na Kigali ambako kwa kila jiji nitalala siku moja. Baada ya hapo, nitaendelea na safari hadi Nairobi kwa kupitia Kampala...
  15. Mr Chromium

    Kigali Vs Dar es Salaam battle

    Wakuu ebu tulinganishe haya majiji mawili. Najua Dar level yake ni miji kama Nairobi au Adis Ababa. Kuna watu wanaamini Kigali is better than Dar. MAENEO YA KULINGANISHA BIG PROJECTS BARABARA ENTERTAINING CENTERS like stadium AIRPORTS STAND/BUS/TRAIN STATION POPULATION MIGRANTS (Wazamiaji)...
  16. D

    Basi linalosafiri kutoka Nairobi kwenda Kigali kwa kupitia mpaka wa Rusumo.

    Nahitaji basi linalosafiri kati ya Nairobi na Kigali likipitia mpaka wa Rusumo nchini Tanzania. Naomba kufahamu jina la kampuni na ikiwezekana na nauli.
  17. Bemendazole

    Battle Mwanza VS Kigali

    Kulingana na baadhi ya Wanyaruanda kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Kigali kipo hakipo Mwanza na kipo Mwanza hakipo Kigali. Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Mza wale wa Kigali wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na...
  18. Poppy Hatonn

    Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

    Hapa itatokea moja kati ya hayo mawili. M 23 wakishindwa kuiteka Sake na Goma,jeshi la SADC litakwenda Ikulu Kigali. Mpaka sasa jeshi la SADC ndio lina nafasi nzuri ya kushinda. Lina uwezo mkubwa,pia linasaidiwa na Urusi. Mambo wanayofanya M 23 siyo Democratic,kwa hiyo nadhani Warusi...
  19. M

    Kuna mengi ambayo askari wa usalama barabarani wa Tanzania wanapaswa kujifunza kutoka kwa wenzao wa Rwanda

    Nimerudi juzi Jumapili kutoka Kigali, Rwanda ambako nilikwenda na wenzangu 3 kwa shughuli za biashara. Tulikwenda kwa usafiri wa gari binafsi. Tulikaa huko siku 3. Nilishuhudia kitu kimoja kuhusu traffic polisi wa huko, jambo ambalo lilinifanya nitafakari na kulinganisha na traffic polisi wa...
  20. MSAGA SUMU

    Bonge la coincidence, Peter Greenberg naye yuko Kigali muda huu

    Wakati mama Samia akiendelea kuipigania nchi yetu nje ya mipaka na kwa wakati huu akiwa Kigali Rwanda katika moja ya summit muhimu duniani mmarekani Peter Greenberg naye yuko Kigali muda huohuo. Peter Greenberg anakuwa mmoja ya watu wachache sana duniani asiyekuwa Mtanzania kupata bahati ya...
Back
Top Bottom