Waliokuwa karibu na Hayati Mwalimu Nyerere wanasema Mwalimu Nyerere alikuwa tayari kumsamehe kiongpzi yeyote akifanya makosa mengine, lakini siyo makosa matatu. Ilikuwa ukifanya moja ya makosa haya matatu, hata ungekuwa nani, atakufurusha. Makosa hayo ilikuwa ni:
1. Kupalilia chuki za kidini.
2...
Naona watu mnatoka kwenye lengo kirahisi sana.
Samia ameshatepeta.
Ametumia wasanii, makada na football kuwapumbaza watanzania lakini hakufanikiwa.
Alitumia risasi kuwatisha watanzania lakini hakufanikiwa.
Kitendo cha watanzania kuandamana 29-10-2025 ni mwanzo wa Tanzania mpya bila ya CCM...
Nchi hii, pamoja na mapungufu mengi, hatujawahi kuwa na ugomvi au uhasama wa kidini. Ndiyo maana kuna watu utasikia anaitwa Abel Abdalah, wengine utamsikia akiitwa Petro mume wake Khadija, au Abdallah mumewe Rozaria. Nilipoenda kumtembelea rafiki yangu bruda Peramiho, nilishuhudia shekhe...
https://www.instagram.com/reel/DRRCZIBgsNx/?igsh=MXZvNWQwdHFlbGRyZg==
https://www.instagram.com/reel/DRRQh0SDDUj/?igsh=MTdvanF1dTN1YWQ1aQ==
ALLY KIBAO alikuwa Muislamu, lakini leo hawa waandamanaji ndio wanaotaka huu utekaji uishe, polisi wawajibishwe au watekaji wapatikane. Lakini hata...
Nyinyi mmekuwa sababu ya nchi nyingi balani Africa kukosa Amani kwa uchochezi wenu na kuingiza waumini wenu kwenye vita vya kidini huku nyinyi mkiendelea kuishi kwa raha na kwa Amani tele na familia zenu
Kwa Tanzania mtasubili sana kwa uchonganishi wenu
Tutawapuuza na tumewapuuza
Hamuwezi...
Umuofia kwenu wanabodi!
Kutokana na uhuru wa kikatiba tulionao wa kutoa mani, siku za hivi karibuni kumekuwa na watu binafsi au makundi mbalimbali ya kijamii yanayojitokeza kusajili (register) hisia zao mbele ya umma - Jambo jema kabisa kwa jamii inayoheshimu na kustawisha fikra mbadala...
Habari za wakati huu ndugu zangu wanajamvi.
Bila kupepesa macho CCM kwasasa wanajificha kwenye udini ukihoji uhalali wa uchaguzi na mabadiliko kwenye tume ya uchaguzi,katiba mpya utaambiwa wewe unamchukia Samia kwasababu yeye ni muislam.
Hapa JamiiForums na kwenye mitandao mingine ya kijamii...
Ni wazi safari imeanza Rasimi, Ndugu zangu Watanzania hii ndio nafasi pekee tuliyonayo ya kuwaondoa Hawa wahuni !!.
Wee Kijana Usiyekua na Ajira
Wee mwenye Ajira lkn mishahara haiendan na hali ya Maisha.
Wee unayehangaika na Usafiri Dar huku Abdul, Kijana wa Angela , Kijana wa DGIS, Vijana wa...
Umoja wetu ni TUNU ya Taifa letu. Maaskofu na Watanzania wana hoja katika swala zima la kudai haki.
Badala ya Rais na serikali yake kuwasikiliza ili kulinda Umoja wetu yeye ameamua kutugawa kwa kukimbilia kuongea na Maimam.
Je anataka tufarakane kidini? Je maimam wanaunga mkono watu kutekwa...
Hawa watu kwenye hii dini ya muarabu sijui nywele za wanawake huwapa mzuka au nyege au nini, yaani jamaa bila aibu na likanzu sijui lijoho lake anazurura hospitalini akichukua video ya kila mwanamke ambaye hajasitiri nywele.
https://www.youtube.com/shorts/1PpnRkoqkqU
Biblia ni kitabu cha kwanza kuandikwa kabla ya vitabu vingine vyote vya kidini duniani. Sehemu ya kwanza ya Biblia — yaani Agano la Kale — iliandikwa maelfu ya miaka kabla ya vitabu au maandiko mengine ya kidini. Hii inatufundisha kuwa Biblia ndiyo chanzo cha kwanza kabisa cha ufunuo wa Mungu...
Pamoja na uhovyo wao CCM Kuna kitu kimoja wamefanya vizuri sana. Kubalance suala la dini kwenye chama chao. Watu wa dini zote wanaweza kujiona ni Wana CCM bila tatizo. Nchi yetu ni ya kipekee sana. Wakati mataifa mengi ya kiafrika Yana siasa za ukabila na ukanda sisi hilo hatuna. Ila Kuna mizani...
Historia inaonyesha Ijumaa kuadhimishwa kama siku muhimu kidini ni muendelezo wa karne nyingi sana wa utamaduni wa kiarabu ambapo siku hii hapo mwanzo ilikuwa ikitumika kama siku ya soko kubwa kwa makabila mbalimbali ya Waarabu waliokuwa wametawanyika mashariki ya kati.
Siku hii ya Ijumaa...
Kazakhstan yenye raia wengi waislamu(70%) kupitia bunge la nchi hiyo imepiga marufuku vazi la niqab katika umma kwa wanawake wa taifa hilo.
Mwaka 2023 Kazakhstan ilipiga marufuku uvaaji wa hijabu kwa wanafunzi na walimu katika shule za taifa hilo.
Kwa muda mrefu wanamageuzi ndani na nje ya vyama vya siasa wamekua wakiteswa Dana na wahuni,magereza,mitaro,risasi,miili kutupwa kama mizoga baharini imekua ni mapito ya kwaida kwao!!
Katika vipindi vyote hivyo,taasisi kubwa za kidini zilionyesha unafiki Kwa kuwa karibu na viongozi watesi...
Mimi ni mwislamu na ni mkimya sana,nasali na sijioneshi kabisa na mara nyingi navaa vizuri sana napoenda kusali,mara chache sana huwa navaa kanzu,nashiriki mikutano ya waislamu wenzangu lakini sio muongeaji sana,ila michango natoa.
Sasa marehemu mama yangu ndio alikuwa muislamu lakini...
Mimi huwa sio muumini sana wa yanayoitwa makosa ya uchochezi lakini huyu sheikh ni dhahiri anachochea chuki ya wazi kabisa.
Itashangaza kama vyombo vya dola havitashughulika naye kisheria mtu kama huyu.
Nimesoma taarifa ya polisi kuhusu kukamatwa kwa mfalme Zumaridi imenishangaza sana.
Lini polisi badala ya NEMC wameanza kushughulikia uchafuzi wa mazingira kwa kelele?
Lini katika nchi hii imekuwa kosa kisheria mtu kujisema yeye ni mungu?
Kwa muda mrefu sana polisi wamekuwa wakijishughulisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.