Wanajamvi,
Umofia kwenu!
Mimi ni mwanaume mtu mzima kidogo, yaani miaka 44 hv.nimeoa na nna watoto. Mwaka 2015 hapa nyumbani kwangu nilipata shida ya msichana wa kazi za nyumbani, yule aliyekuwepo alipata mchumba akaolewa.
Kutokana na majukumu tuliyonayo me na mke wangu, ilitulazimu kufanya...