Katika familia yetu tulikuwa vijana wengi sana, hata tulipoanza safari ya masomo tulianza sote na kumaliza kwa pamoja.
Kila mara nilikuwa nachelewa kufika shule na kuadhibiwa. Maonyo yalikuwa mengi na adhabu nyingi sikusikia kabisa.
Baadhi ya walimu walisema " kijana Dunia shujaa, walimwengu...