Hii ndio taarifa mpya inayozunguka duniani kwa sasa , Kwamba Mwamba mwenyewe , Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar kama anavyofahamika huko Zanzibar , kesho atafika kwenye Mahakama kuu divisheni ya Uhujumu uchumi , maeneo ya SIMU2000 kwenye majengo ya LAW SCHOOL , nje ya jiji la Dar...