kanisa la gwajima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    PostGE2025 Mwambieni Samia, Kanisa Katoliki sio Kanisa la Gwajima. Hana ubavu wa kulifungia

    Kanisa la Roman Catholic linajitosheleza kwa kila idara lina kitengo cha ujasusi The Jesuit lina benki yake Bank of Vatican, lina miradi mikubwa dunia nzima, uchumi wake Tanzania ikasome. Inakadiriwa Kanisa Katoliki linamiliki kati ya hekta milioni 71 na 81. Takwimu hii inajumuisha mali kama...
  2. Just Pray

    PostGE2025 Kanisa la Ufufuo na Uzima ladai kuporwa mali zenye thamani ya Tsh. Bilioni 2 wakati limefungwa kuendesha huduma

    Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima limedai kupoteza mali zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 2.007 baada ya kufunguliwa tena kwa kanisa hilo kuanzia Novemba 24, ikiwa ni miezi sita tangu lilipofungwa na Jeshi la Polisi Juni 2, mwaka huu. Kwa mujibu wa viongozi...
  3. Genius Man

    Maandamano ya Gen Z ndio yameshinikiza Kanisa la Gwajima kufunguliwa, bila hayo maandamano lisingefunguliwa

    Maandamano ya Gen Z ndio yameshinikiza Kanisa la Gwajima kufunguliwa bila kuwepo lisingefunguliwa. Bila gen z kuingia barabarani Samia asingefungua Makanisa ya Gwajima ng'oo
  4. DuaZaMama

    PostGE2025 Video: Rais anasema kanisa lifunguliwe alilifunga kwa sababu gani? Aeleze sababu

    Miongoni mwa waumini wa kanisa la Askofu Gwajima, lililofunguliwa hivi karibuni baada ya maelekezo ya Waziri Mkuu na kupewa uangalizi wa miezi sita, amesema kuwa serikali haipaswi kuwanyamazisha wasiseme mambo. Amehoji kuwa: ‘Mnasema Rais amelifungulia kanisa, lakini kwanini alilifunga awali?’...
  5. Fbn

    PostGE2025 Serikali ilikana kufungia kanisa la Gwajima, leo Waziri Mkuu anawezaje kusema kanisa litafunguliwa?

    Kuna muda hata sheria inaweza kukufanya kujua sheria ili mradi ubongo uwe unakwenda na wakati na muda. Gwajima alipotaka haki kuhusu utekaji na hapo hapo alifungiwa makanisa bila serikali kutoa maelezo ila tuliona polisi wakizuia sehemu zake. Leo hii Waziri Mkuu unasema unafungua kanisa ina...
  6. Mwabhleja

    Waziri Mkuu Mwigulu ametangaza Kanisa la Gwajima lifunguliwe, kwanini askari wametanda na kufukuza waumini?

    Ushuhuda na Sababu za Askari Kuwazuia Waumini Ufungaji wa Usajili wa Kanisa Msajili wa Jumuiya za Kiraia alitangaza kufutwa kwa usajili wa kanisa la Gwajima (Glory of Christ Tanzania / Ufufuo na Uzima), kwa madai kwamba mahubiri ya askofu yalikuwa na mwelekeo wa kisiasa na kuhatarisha amani ya...
  7. J

    PostGE2025 Serikali yaagiza Kanisa la Gwajima (Ufufuo na Uzima) lifunguliwe

    Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, kulifungulia Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, ambalo lilikuwa limekumbwa na changamoto za kiuendeshaji. “Limetokea tukio kubwa hapa, naye ametoa msamaha. Na sasa ametoa...
  8. R

    My memory is very fresh, walikana kuwa hawajalifungia Kanisa la Gwajima. Leo tena eti wamelifungulia

    Mfa maji hutapatapa! Mlisema hamjalifungia, leo mnafungulia lipi? Mna dhambi kubwa
  9. Mkalukungone Mwamba

    Pingamizi dhidi ya kanisa la Gwajima latupiliwa mbali

    Maombi ya waumini wa kanisa la Ufufuo na uzima lilichini ya Askofu Gwajima, kama yameanza kujibiwa na Mungu walikuwa wanamlilia tangu kanisa hilo lifungiwe. =============== Nuru imeanza kuonekana baada ya Leo Septemba 23, 2025 pingamizi lililowekwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi...
  10. Jokajeusi

    Sisi ni simba wa Yuda: Makanisa yanakubalije kanisa la Gwajima kufungiwa wao wakiwepo? Ule upendo wa Kristo unaohubiriwa umeishia wapi?

    Mughonile! Roman Catholic, Lutheran, Anglicana, Wasabato, Walokole na Wakristo wengine. Mnakubalije Ukristo kufanywa Kama nyumbu wakati sisi ni simba wa Yuda. Kanisa la wenzetu limefungiwa kisa kosa la mtu mmoja ambalo sio kosa kwani alikuwa anahubiri injili ya kukemea maovu ya watekaji. Padri...
  11. Jokajeusi

    Kanisa la Gwajima limefungwa; Je wakristo hawana umoja kama Yesu alivyowaagiza?

    Mughonile! kanisani leo tumesoma Yohana 17:22-23, ambapo Yesu anaomba kwa Baba: "Nimewapa utukufu ambao Umewapa mimi, ili wawe wamoja kama sisi tulivyokuwa wamoja mimi na Wewe, Mimi ndani yao na Wewe ndani yangu, ili wawe wamoja kabisa, na dunia ije kuamini kwamba Umewatuma." Nauliza, je...
  12. tpaul

    Tetesi: Kanisa la Gwajima kufunguliwa hivi karibuni

    Kufuatia Askofu Dr Josephat Gwajima kutoa ultimatum ya siku 10 kwa kanisa lake kufunguliwa, taarifa za chinichini zinasema kwamba serikali, kupitia msajili wa vyama vya kijamii, iko mbioni kuandaa press conference kwa ajili ya kujiokoa na zahma ya bomu atakalolipua Gwajima ikiwa siku zitaisha...
  13. kavulata

    Tuwakomboe waumini wa kanisa la Gwajima

    Waumini wa kanisa la Gwajima ni watanzania wenzetu ambao wametekwa kiimani. Wanahitaji kukombolewa kutoka kwenye kadhia hii. Waumini hawa wanatumiwa kama vitega uchumi na ngao ya binadamu dhidi ya watu wajanja wanaofanikisha ajenda zao kupitia kwao. Taarifa zilizothibitishwa na DC Msando...
  14. Ponjoro wa Kinondoni

    Mwaka mgumu: Kwa onyo hili, serikali lazima ifungue kanisa la Gwajima

    Nimekaa hapa nafuatilia kwa kina kitakachotokea ndani ya siku 90 endapo serikali itakaidi AMRI HII ya ndugu Rolinga. Kumbuka ni amri sio ombi. Mkifungua tutajua mmeogopa. Msipofungua tutaona kitakachotokea.
  15. DuaZaMama

    Kesi kanisa la Gwajima imeendelea leo Jumatatu jijini Dodoma

    Shauri lililofunguliwa na Bodi ya Wadhamini la kanisa la Glory of Christ Tanzania Church maarufu kwa jina la Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima linaendelea kusikilizwa leo Julai 14, 2025 Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. Bodi ya Wadhamini inaiomba Mahakama kutupilia...
  16. F

    Kanisa la Gwajima msifikiri mtashinda kwa kunena kwa lugha zisizoeleweka nendeni kwa Wakatoliki mpate ujuzi wa kuongea lugha zitakazowashinda watawala

    Kanisa Katoliki lina uzoefu wa miaka 2025 kupambana na watawala wakorofi wasiopenda haki. Mnachopaswa kuelewa wafuasi wa Kanisa la askofu Gwajima ni kwamba hamtashinda vita vyenu na watawala kwa kuzungumza lugha zizizoeleweka (tongues), hizo hi blaa blaa haswa na hazitowasaidia kamwe! Kanisa...
  17. kagoshima

    Wasichofahamu waliofungia kanisa la Gwajima na hivyo kinawatesa

    - Kwenye ukristo manyanyaso hasa ya watawala huibua hisia kali za Imani. Waumini huamini shetani yupo kazin kuwatenganisha na Mungu wao. - Huko kwenye Bible kuna verse zinazo sisitiza waumini kutobadili msimamo wa imani kwa Mungu wao maana kufanya hivyo nisawa na na kumkana Mungu. Kuna verse...
  18. LIKUD

    Ukweli usemwe; Strategists wa serikali ya Samia wapo very smart, wamefanikiwa ku counter issue ya Kanisa la Gwajima kwa viwango vya juu sana

    Issue ya serikali kufungia makanisa ya Gwajima, ilileta impression kwa wa Tanzania wa kawaida kwamba " Rais ana uchukia Ukristo" , Jambo ambalo si kweli. Serikali ililifungia kanisa la Gwajima kwa sababu za kisiasa hiyo ni namba 2 lakini namba moja ni Gwajima kuwa " Msaliti" Kwa chama chake...
  19. Kitchener

    Kauli ya Rais wa TLS kuhusu kufunga kanisa la Gwajima

    NINA LAANI NA KUKEMEA UNYANYASAJI NA SHAMBULIO LA KIIMANI LINALOFANYWA DHIDI YA WAUMINI WA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA.Ni Vema Viongozi wa Serikali wakatambua kwamba 1.Nikiambiwa nichague kati ya Yesu na Tanganyika nitachagua Yesu. 2.Nikiambiwa nichague kati ya Yesu na Ukimya munao uita amani...
  20. V

    Kufungiwa Kanisa la Gwajima, Uhuru wa Kuabudu na Hatima Yetu

    Tafadhali mods naomba muuache uzi huu ili tuulizane na kupata majibu ya maswali yanayohusu hatima yetu. Wadau wa JF na Watanzania wote. Ni juma la tatu sasa Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Gwajima limefungwa na kusababisha Waumini kunyimwa haki yao ya Kikatiba juu ya uhuru wa...
Back
Top Bottom