Iwe ni moja kwa moja ama kwa mafumbo, utagundua kuwa ingawa CCM imo kwenye uchaguzi inashindana na vyama vingine, lakini wana CCM wenyewe wanajua msindani wao halisi ni CHADEMA.
Fuatilia hotuba zao na jitihada wanazofanya ionekane mgombea wao anapendwa kwa kusomba watu na kupeleka kwenye...
Kweli binadamu akilitaka lake jambo huwa haoni aibu.
Hivi CCM mmekosa kweli washauli, heri mngebaki na uzoefu wenu wa kuiba kura lakini siyo kwa kampeni mnayoifanya isiyokuwa na mvuto, yaani mmechokwa mnajaribu kujilazimisha kucheka nafsi inawasuta, hamna furaha, uchaguzi umepoa, hakuna...
Mgombea Urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kampeni za Uchaguzi Mkuu katika eneo la Dakawa, Mvomelo, Mkoa wa Morogoro leo, tarehe 30 Agosti 2025, amesema lengo la Serikali ni kuona Tanzania ikijitegemea kiuchumi kufikia mwaka 2050, bila kutegemea mikopo mikubwa kutoka nje...
Hawa wafanyabiashara wanaousapoti Ccm sio kwa Bahati Mbaya.
Kuna mambo mawili.
-Kuweka mazingira sawa ya biashara zao.
- kuendelea kushikililia Uchumi zaidi na kukua kibiashara.
Na mwisho Kupata tenda, kwakuwa inajulikana wazi kuwa tenda za Serikali zinalipa vizuri.
Kwahiyo hata wewe...
Kama mjamshtua hadija kopa anaweza kusema muhula alioshika kijiti alikuwa sio yeye kwa sasa kila haadi zitakuwa zake.
Maneno makande wakina lucas mwashamba mumetumia nguvu sana
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi waliohudhuria katika Mkutano wa Kampeni, Kata ya Ngerengere, Mkoa wa Morogoro, leo tarehe 29 Agosti 2025 amesema, "Kule ninakotoka mimi Zanzibar kuna timu ambayo, wakiona wanaenda kufungwa na ushindi...
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi ndani ya siku 100 baada ya kushinda kiti hicho ataunda Tume ya Maridhiano ambayo itasaidia kuweka mazingira ya kuandaliwa kwa katiba mpya.
Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni za chama chake uliofanyika Agosti 28...
Licha ya wapiga picha kujitahidi kutafuta Picha Kwa engo inayoweza kuonyesha Umati ni mkubwa
Licha ya Wasaniii wote kuwepo.
Licha ya matangazo kufanyika Kwa miezi na miezi.
Licha ya kutumia Mwamposa
Licha ya Kwamba Siku alipochukua Fomu na kurudisha Fomu bado hakua na Nyomi.
Licha ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu.
Rais Samia ni Mbarikiwa . Rais wetu Mpendwa ni chaguo la Mungu. Mama yetu kipenzi ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Jemedari wetu hodari amepewa...
Ni baada ya account hiyo ya serikali ku-post picha za uzinduzi wa kampeni za CCM ambapo asilimia 99 za comments ni mashambuli kwa kuhusisha ofisi hiyo na kazi cha chama cha siasa.
Watanzania wanajitambua sana na mitandao ni moja ya tool muhimu sana katika kuleta ukombozi wa pili wa Taifa hili...
Rais Mstaafu wa Tanzania na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema utaratibu uliotumika kumuidhinisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM haujakosewa na kwamba ndio utaratibu uliotumika kuwapitisha na kuwaidhinisha Wagombea wote wa Urais...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 kupitia tiketi ya CCM leo, Agosti 28, 2025, katika Viwanja vya Tanganyika Peckers, Kawe, Dar es Salaam.
https://www.youtube.com/watch?v=vGoVYh_ObHU
Mwenyekiti Mstaafu wa...
https://www.youtube.com/live/75BCyq8wmtw?si=_JM6YbzjI4WT5SjH
Habari Watanzania, naomba nifanye uchambuzi wa kina kuhusu Siasa za Tanzania.
Historia ya Vyama Vingi Nchini Tanzania
Kipindi cha Uhuru (1961 – 1964)
Baada ya Tanganyika kupata uhuru mwaka 1961, kulikuwepo na vyama vingi vya siasa...
Balozi anasema usafiri wa kwenda na kurudi upo. Hivyo anatafuta watu wa kujaza magari ya kwenda kwenye ufunguzi wa kampeni ccm kuelekea uchaguzi mkuu wa oktoba.
Wakazi wa dar es salaam mmekumbana na hali hii kama huku kwetu?
Kama kuna mtu alifikiri uchaguzi wa Rais utakuwa mteremko kwa CCM sababu tu Chadema wamezuiwa kushiriki basi amekosea,
Chama cha Mapinduzi kinaenda kupata wakati mgumu kuliko kilivyofikiria,Watu watasusia mikutano yao na itakuwa mitupu tofauti na kipindi cha Magufuli watakachokifanya watatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.