Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,411
- 38,023
Heshima sana wanajamvi,
Kafulila tunaweza kumweka katika kundi la wanasiasa wepesi sana.
Hana akili zaidi ya kujikomba na kusifu waliomteua.
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuna nini hadi Tumbili kila uchao utamsikia kasema hili kabwatuka lile.
Ukitazama kauli zake nyingi zimejaa ujinga na upumbavu wa kiwango cha hali ya juu sana.
Kafulila tunaweza kumweka katika kundi la wanasiasa wepesi sana.
Hana akili zaidi ya kujikomba na kusifu waliomteua.
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuna nini hadi Tumbili kila uchao utamsikia kasema hili kabwatuka lile.
Ukitazama kauli zake nyingi zimejaa ujinga na upumbavu wa kiwango cha hali ya juu sana.