Kwa umoja ambao wananchi wa Kenya wamekuwa wakionyesha kukemea mauaji na udikteta wa Samia unazidi kuleta matumaini kwetu watanzania
Jeshi la wananchi Tanzania limewaangusha wananchi, raia wameuawa lakini wapo kimya wanaendeleza harakati za Samia, wameiapisha serikali haramu kuwa halali na...
Jeshi letu ni la kitaaluma Anayesema JWTZ nzima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa wapo wengi kama wakina tesha wanaunga mkono wananchi watajitokeza. mda ni mwalimu mzuri tukutane #D9
msiogope tutashinda hii vita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu leo Novemba 22, 2025 amewatunuku kamisheni maofisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.
Rais Samia amewatunuku maofisa hao katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (TMA) kilichopo Monduli mkoani Arusha. Ambapo maofisa hao ni...
Katika miaka ya karibuni, baadhi ya matukio ya utekaji na vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu yamehusishwa na kile kinachoitwa kikundi cha wasiojulikana nchini Tanzania. Ingawa taarifa zao ni za kusikika tu bila ushahidi wa wazi, mjadala kuhusu uwezekano wa kikundi hiki uongezeka na tishio...
Niwe muwazi kabisa
Watu wanauliza kuhusu jeshi kupiga raia mimi sikuona JWTZ ikipiga mtu oct 29 kiufupi hakuna atakayepigwa risasi #D9 na JWTZ na haitowahi kutokea licha ya JWTZ kuonesha bendera nyekundu ya vita, wengi hawakushuka hata kwenye magari ya vita, huku magari mengi ya jeshi wananchi...
Kina nani wengine ndani ya vyombo hivi kutupiwa zigo la lawama ya mauaji ya mamia ya watanzania baada ya hawa mawaziri kutupwa nje ya baraza la mawaziri .
17 November 2025
Dar es Salaam, Tanzania
SAMIA HASSAN DROPS TWO KEY SECRETARY OF STATES FROM HER NEW CABINET, THEY WERE RESPONSIBLE FOR...
Wananchi kwa pamoja tunatakiwa kuungana kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama wala dini zetu kama kweli tumeumizwa na vifo vya wapendwa wetu basi vyombo vya dola baadhi ya Taasisi mihimili vinaitaji kukombolewa...
Mbona JWTZ haitoi pole wala vitisho kwa wauwaji wa October 29 au waliokufa ni punda.
Anasimama mtu anasema heti hajihusishi na siasa mpaka watu wanauliwa alafu wao na wanasiasa mafisadi wamekaa kimya ni vipi hapo hawajihusishi na siasa huu ni uchizi.
Jeshi liitwe jeshi la wanasiasa sio la...
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ), linakemea tabia inayokithiri ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii inayolihusisha Jeshi na Siasa kwa lengo la kupotosha Umma na kuzua taharuki.
Katika Taarifa iliyotolewa kwa Vyombo vya Habari na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ...
GT
Tulijipa matumaini hewa kwamba tuna JW inayodhamin̈I maisha yetu kumbe ni wahuni wachumia tumbo.
Amini nawaambia hawa jamaa walisaidia police kutuua 100%, JW walipiga san̈a risasi hasa nyakati za usiku mchana wanajifanya wapole.
JW na Police lao ni moja kulinda.mafisadi ya CCM na wala siyo...
Habari kwenu majeshi ya ulinzi na usalama nchini (Tanzania)?
Tangu uchaguzi upite Leo ni siku ya 9! Lakini cha ajabu hatuoni tena mkifanya mazoezi ya utayari kwa umoja wenu mtaani.
Tulipowaambia mnatumika kisiasa kutisha raia mlitoka hadharani na kusema mnafanya mazoezi ya utayari huo utayari...
Kwa jeshi hili siku tukijichanganya kwa Burundi tutachapika vibaya mno, ndani ya masaa 8 nchi yote itakua mikononi mwa Burundi.
Wanajeshi wetu mnachoweza nikukamata vijana waliovaa sare zenu basi
Msije kujichanganya kwa Burundi au Rwanda. Nimemaliza.
JWTZ Haina Sifa ya Kuwa Jeshi la Wananchi
Katika muktadha wa mageuzi ya kijeshi na kisiasa duniani kote, tunapaswa kujiuliza: je, Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lina sifa ya kuitwa "Jeshi la Wananchi"? Au ni jeshi la watawala na wateule wachache? Ingawa JWTZ inajivunia historia ndefu ya...
Naleta hoja kwamba Vyombo vya Kiusalama vimeshindwa kutuhakikishia ulinzi na usalama. Hatuoni haja ya kuanza kumiliki silaha za moto tuweze kujilinda sisi kama RAIA?
Yaliyotokea ni wazi yana ripple effects kuu tatu:
1. Maandamano kutokutokea tena kwani watu wataogopa kuuwawa. Hii scenario naipa...
Asiyeshukuru kwa kidogo ,hata apatapo kingi hakitomtosheleza.
Kwa moyo wa dhati napenda niwashukuru wanajeshi wetu (JWTZ) hususani wale mliofanikisha ulinzi wa waandamanaji.
Japo maumivu ya familia zetu ni makubwa na makali sana kutokana na kupoteza ndugu zetu, lakini binafsi naamini nyinyi...
Page ya Instagram ya wananchiforum imeripoti kuonekana kwa Askari jeshi , waliovalia kombati za JWTZ katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe , Uganda.
Kuna mengi sana niliwaambia kuhusu huu ulioitwa uchaguzi.
Niliwaambia kwamba kushiriki uchaguzi unaoendeshwa na kusimamiwa na tume aliyoiunda Samia, ni umajinuni.
Sihitaji kusema mengi wala zaidi kuhusu hilo kwani, yametimia.
Vilevile niliwaambia kwamba hilo liitwalo jeshi la wananchi wa...
Ipo video amepost dada wa Taifa imenifanya kuleta uzi huu kwani nimewaza mengi bila majibu.
Mange anasema yaani kuna vikosi vinamilki bunduki bila risasi!
Kikosi kingine kinamilki risasi lakini hakina bunduki!
Dada wa Taifa anasema kuna vikosi vina milki vifaru lakini hizina munitions
Na walio...
Samia kakimbia nchi. Yupo mpakani mwa Tanzania na Uganda.
Anang'ang'ania arudi ili aapishwe na kuendelea kuwa Rais. Anaua Watanzania kwa mercenaries wake aliowatoa Uganda kwa Mtoto wa Museveni.
Mumeona namna hao wanajeshi wa Uganda walivyoua na wanavyoua Watanzania. Samia sio tu hafai kuwa...
Kwa tulipofika suala la Jeshi la Wananchi kama Taasisi pekee inayoungwa mkono na Wananchi kuchukua nchi kwa kipindi cha mpito haliepukiki.
Ili kusiwe na mkwamo wa kisheria na masuala ya kiserikali yaendelee kama kawaida huku huduma za Wananchi zikiendelea napendekeza kwenye Baraza la Kijeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.