jwtz

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ni jeshi la ulinzi wa wananchi nchini Tanzania linalolinda na kutetea maslahi ya Taifa la Tanzania.
  1. Q

    Watanzania tusitegemee msaada wowote wa JWTZ siku ya D9

    MO29 tulikuwa na matumaini makubwa kuwa jeshi lipo upande wetu wananchi na tuliaminishwa hivyo, badala yake likawa linashuhudia wananchi wakipigwa risasi na polisi MBELE YA MACHO YAO bila msaada wowote. Inasikitisha. Safari hii D9, Watanganyika wote wenye mapenzi ya dhati na nchi yetu tusiweke...
  2. sanalii

    Uwepo wa wanajeshi (JWTZ) mtaani tar 29 ndio kumeongeza maafa zaidi

    kama hukutoka tar 29 na unampango wa kufanya hivyo D9 bas nakushauri usijeingia mkenge wa hawa jamaa ukiamini wako pamoja na nyie, na nimasikitiko yangu kua bado Mange anauza narratives zile zile kua jamaa safari hi wamejipanga na wako pamoja na sisi, sii ni hatari sana. kwanini nasema...
  3. secretarybird

    Je, wakati wageni wanamiminika kwa wingi kuja Tanzania kuleta fujo JWTZ wenye jukumu la kulinda mipaka walikuwa wapi?

    Haya Samia kasema walioandamana siku ya uchaguzi walitoka nje ya nchi, tunajifanta kukubaliana naye. Je, JWTZ na vyombo vingine vya ulinzi na usalama wenye jukumu la kulinda mipaka yetu walikuwa wanafanya nini wakati wageni waleta fujo wanaingia nchini? Mbona hakuna wageni waliokamatwa baada...
  4. R

    PostGE2025 Raia wa Kenya: Nashangaa JWTZ na wasanii wa Tanzania raia wameuawa lakini mpo kimya, mmewaangusha wananchi

    Kwa umoja ambao wananchi wa Kenya wamekuwa wakionyesha kukemea mauaji na udikteta wa Samia unazidi kuleta matumaini kwetu watanzania Jeshi la wananchi Tanzania limewaangusha wananchi, raia wameuawa lakini wapo kimya wanaendeleza harakati za Samia, wameiapisha serikali haramu kuwa halali na...
  5. Genius Man

    Anayesema JWTZ zima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa

    Jeshi letu ni la kitaaluma Anayesema JWTZ nzima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa wapo wengi kama wakina tesha wanaunga mkono wananchi watajitokeza. mda ni mwalimu mzuri tukutane #D9 msiogope tutashinda hii vita.
  6. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Rais Samia awatunuku kamisheni maofisa wa JWTZ

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu leo Novemba 22, 2025 amewatunuku kamisheni maofisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania. Rais Samia amewatunuku maofisa hao katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (TMA) kilichopo Monduli mkoani Arusha. Ambapo maofisa hao ni...
  7. concordile 101

    Jinsi kikundi cha watekaji cha wasiojulikana kinavyoweza kuja kuwa na nguvu kuliko JWTz tukizembea

    Katika miaka ya karibuni, baadhi ya matukio ya utekaji na vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu yamehusishwa na kile kinachoitwa kikundi cha wasiojulikana nchini Tanzania. Ingawa taarifa zao ni za kusikika tu bila ushahidi wa wazi, mjadala kuhusu uwezekano wa kikundi hiki uongezeka na tishio...
  8. Genius Man

    Watu wanauliza kuhusu JWTz kupiga risasi raia, mimi sikuona wakipiga mtu. Kiufupi hakuna atakayepigwa risasi #D9 na JWTZ

    Niwe muwazi kabisa Watu wanauliza kuhusu jeshi kupiga raia mimi sikuona JWTZ ikipiga mtu oct 29 kiufupi hakuna atakayepigwa risasi #D9 na JWTZ na haitowahi kutokea licha ya JWTZ kuonesha bendera nyekundu ya vita, wengi hawakushuka hata kwenye magari ya vita, huku magari mengi ya jeshi wananchi...
  9. B

    PostGE2025 Maandamano ya Gen Z, sababu ya Mawaziri wa Polisi na JWTZ kuoneshwa mlango na Samia?

    Kina nani wengine ndani ya vyombo hivi kutupiwa zigo la lawama ya mauaji ya mamia ya watanzania baada ya hawa mawaziri kutupwa nje ya baraza la mawaziri . 17 November 2025 Dar es Salaam, Tanzania SAMIA HASSAN DROPS TWO KEY SECRETARY OF STATES FROM HER NEW CABINET, THEY WERE RESPONSIBLE FOR...
  10. baz kaiza

    Vyombo vya Dola na taasisi nyingi zianitaji Kukombolewa na Wananchi ikiwepo mihimili Bunge na Mahakama Wananchi tuvikomboe virudi kua Mali ya Umma

    Wananchi kwa pamoja tunatakiwa kuungana kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama wala dini zetu kama kweli tumeumizwa na vifo vya wapendwa wetu basi vyombo vya dola baadhi ya Taasisi mihimili vinaitaji kukombolewa...
  11. Genius Man

    Mbona JWTZ haitoi pole wala vitisho kwa wauaji wa Oktoba 29? Au waliokufa ni punda?

    Mbona JWTZ haitoi pole wala vitisho kwa wauwaji wa October 29 au waliokufa ni punda. Anasimama mtu anasema heti hajihusishi na siasa mpaka watu wanauliwa alafu wao na wanasiasa mafisadi wamekaa kimya ni vipi hapo hawajihusishi na siasa huu ni uchizi. Jeshi liitwe jeshi la wanasiasa sio la...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JWTZ wakanusha ujumbe unasambaa mitandani wa kuhamasisha maandamano. Tutawachukulia hatua

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ), linakemea tabia inayokithiri ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii inayolihusisha Jeshi na Siasa kwa lengo la kupotosha Umma na kuzua taharuki. Katika Taarifa iliyotolewa kwa Vyombo vya Habari na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ...
  13. The Burning Spear

    Maandamano yajayo hatushoboki na JWTZ. Wao ndo wataamua watuue au waungane nasi

    GT Tulijipa matumaini hewa kwamba tuna JW inayodhamin̈I maisha yetu kumbe ni wahuni wachumia tumbo. Amini nawaambia hawa jamaa walisaidia police kutuua 100%, JW walipiga san̈a risasi hasa nyakati za usiku mchana wanajifanya wapole. JW na Police lao ni moja kulinda.mafisadi ya CCM na wala siyo...
  14. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Habari JWTZ Na majeshi ya ulinzi na usalama nchini!?

    Habari kwenu majeshi ya ulinzi na usalama nchini (Tanzania)? Tangu uchaguzi upite Leo ni siku ya 9! Lakini cha ajabu hatuoni tena mkifanya mazoezi ya utayari kwa umoja wenu mtaani. Tulipowaambia mnatumika kisiasa kutisha raia mlitoka hadharani na kusema mnafanya mazoezi ya utayari huo utayari...
  15. Yohimbe bark

    PostGE2025 JWTZ imeonyesha udhaifu mkubwa! Ilikuwaje mkaruhusu vifo vya Wananchi mnaotakiwa kuwalinda (kama Jeshi la Wananchi)?

    Kwa jeshi hili siku tukijichanganya kwa Burundi tutachapika vibaya mno, ndani ya masaa 8 nchi yote itakua mikononi mwa Burundi. Wanajeshi wetu mnachoweza nikukamata vijana waliovaa sare zenu basi Msije kujichanganya kwa Burundi au Rwanda. Nimemaliza.
  16. Sax

    PostGE2025 JWTZ ni "Jeshi la Wananchi" au "Jeshi la Wanasiasa"?

    JWTZ Haina Sifa ya Kuwa Jeshi la Wananchi Katika muktadha wa mageuzi ya kijeshi na kisiasa duniani kote, tunapaswa kujiuliza: je, Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lina sifa ya kuitwa "Jeshi la Wananchi"? Au ni jeshi la watawala na wateule wachache? Ingawa JWTZ inajivunia historia ndefu ya...
  17. emperor

    GE2025 Kwa tuliyoyaona na Hatua zilizochukuliwa na Vyombo vyetu vya Usalama; Tunahitaji Silaha Kujilinda

    Naleta hoja kwamba Vyombo vya Kiusalama vimeshindwa kutuhakikishia ulinzi na usalama. Hatuoni haja ya kuanza kumiliki silaha za moto tuweze kujilinda sisi kama RAIA? Yaliyotokea ni wazi yana ripple effects kuu tatu: 1. Maandamano kutokutokea tena kwani watu wataogopa kuuwawa. Hii scenario naipa...
  18. mwehu ndama

    APPRECIATION: Asanteni sana JWTZ walau kwa hicho kidogo mlichofanya

    Asiyeshukuru kwa kidogo ,hata apatapo kingi hakitomtosheleza. Kwa moyo wa dhati napenda niwashukuru wanajeshi wetu (JWTZ) hususani wale mliofanikisha ulinzi wa waandamanaji. Japo maumivu ya familia zetu ni makubwa na makali sana kutokana na kupoteza ndugu zetu, lakini binafsi naamini nyinyi...
  19. mwehu ndama

    Askari waliovalia kombati za JWTZ waonekana airport Entebbe

    Page ya Instagram ya wananchiforum imeripoti kuonekana kwa Askari jeshi , waliovalia kombati za JWTZ katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe , Uganda.
  20. Nyani Ngabu

    Niliwaambia kuhusu JWTZ na huyo mkuu wao….

    Kuna mengi sana niliwaambia kuhusu huu ulioitwa uchaguzi. Niliwaambia kwamba kushiriki uchaguzi unaoendeshwa na kusimamiwa na tume aliyoiunda Samia, ni umajinuni. Sihitaji kusema mengi wala zaidi kuhusu hilo kwani, yametimia. Vilevile niliwaambia kwamba hilo liitwalo jeshi la wananchi wa...
Back
Top Bottom