jubilee

A jubilee is a particular anniversary of an event, usually denoting the 25th, 40th, 50th, 60th, and the 70th anniversary. The term is often now used to denote the celebrations associated with the reign of a monarch after a milestone number of years have passed.

View More On Wikipedia.org
  1. radhiya

    Apartment For Sale at Posta City Center opposite Golden Jubilee tower

    Apartment For Sale - Posta City Center, DSM It's opposite Golden Jubilee tower. It has three bedrooms, one bedroom ensuite. It's on 2nd floor. The building is fairly used. No lift, garage and parking available. Title Deed available. No pictures available. Selling Price: TZS 200M negotiable...
  2. Damaso

    Jubilee Insurance hapa mmfeli vibaya sana

    Kwenye pitapita zangu nimekutana na tangazo hili kutoka kampuni ya Bima ya Jubilee Insurance ikitangazia umma kuhusu Bi Neema Vegula kuwa sio sehemu ya familia ya Jubilee Insurance. Ukilisoma tangazo hili limekaa kimtego sana na kwa upande mwingine sidhani kama linafuata miongozo na sera za...
  3. Pascal Mayalla

    Live From Golden Jubilee Hall, DSM, Miaka 30 ya VETA, Kongamano la Wadau Sekta Nguo na Mavazi: "Watanzania Vaeni Nguo za Tanzania" Made in Tanzania!.

    Wanabodi https://youtu.be/OSGYViDqx8Yhttps://youtu.be/oqwZRhin8ek https://youtu.be/EEMSp2L7MZk Niko hapa jengo la PSSSF Golden Jubilee Hall, DSM, Wadau Sekta Nguo na Mavazi wa Kitanzania, wamewataka "Watanzania kuvaa, zilizobuniwa na wabunifu wa Kitanzania, na nguo za kushoneza zaidi, na kuvaa...
  4. Camilo Cienfuegos

    Unakumbuka nini kuhusu Ukumbi wa Diamond Jubilee?

    Kwa wakongwe, hebu njooni tukumbushane ukumbi maarufu wa kufanyika kwa matukio makubwa miaka. Ukumbi huo ni Diamond Jubilee, unakumbuka nini kuhusiana na ukumbi huo? Shea nasi
  5. B

    Maandamano ya Jubilee Kuu 2025 jijini Dar es Salaam

    29 December 2024 Dar es Salaam Maandamano ya Jubilei Jimbo Kuu jijini Dar es Salaam 2025 https://m.youtube.com/watch?v=hDK2Hmt-zN8 yaliyoanzia kanisa la St Peters lililopo Oysterbay Mbuyuni hadi kanisa kuu la St Joseph eneo la Posta katika ya jiji la Dar es Salaam eneo la Posta. Huko Tabora...
  6. K

    Hongera sana Mhashamu baba Askofu Mkuu Ruwa'ichi kwa jubilee yako ya miaka 25 ya Uaskofu

    Tumsifu Yesu Kristo. Mungu ni mwema kila wakati. Hongera sana Mhashamu Baba Askofu Mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam kwa kutimiza miaka 25 ya Uaskofu. Binafsi nakufahamu kuanzia Jimbo la Mbulu na hata ulipoteuliwa na Baba Mtakatifu kuja kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo la Mwanza. Ulipokuwa hapa Mwanza...
  7. Jamii Opportunities

    Risk & Compliance Officer at Jubilee Insurance

    Risk & Compliance Officer Job Ref. No. HRJLICTZ003 Position: Risk & Compliance Officer Jubilee Insurance was established in August 1937, as the first locally incorporated Insurance Company based in Mombasa. Jubilee Insurance has spread its sphere of influence throughout the region to...
  8. Jamii Opportunities

    Training Manager at Jubilee Insurance January, 2024

    Position: Training Manager Responsibilities 1. Training Conducting Training needs analysis and advising management of the core and technical skills required to support the delivery of the business objectives. Preparation of training programs and ensuring they are implemented and conducted...
  9. Jamii Opportunities

    System Analyst–Information Technology at Jubilee Insurance October, 2023

    Position: System Analyst–Information Technology Job Ref. No: HRJLICT1023 report to the: Administratively: Chief Operating Officer Technically: Senior Manager – Long-term Applications Role Purpose The analyst is responsible for identifying and implementing application solutions to solve...
  10. Suley2019

    Uhuru Kenyatta: Mapinduzi ya Jubilee Party yalipangwa na Serikali

    Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta sasa anadai kuwa matatizo yanayowasumbua Chama cha Jubilee yalipangwa na serikali ya Kenya Kwanza na kutekelezwa kwa msaada wake. Uhuru alifichua kwamba, ingawa ilikuwa mpango wake wa awali kumkabidhi uongozi mpya wa chama baada ya kustaafu urais, jaribio lililodaiwa...
  11. BARD AI

    Uhuru Kenyatta afukuzwa Uenyekiti wa Chama cha Jubilee

    Uamuzi huo umefanywa na Upande wa chama hicho unaoongozwa na #KaniniKega baada ya Kikao kilichofanyika leo Mei 2, 2023 na kimemteua Mbunge, Sabina Chege kushika nafasi ya Mwenyekiti mpya. Kwa mujibu wa Kega ni kuwa uongozi wa Rais Mstaafu #UhuruKenyatta ulikoma Machi 2023 na hivyo Katiba...
  12. Msanii

    Kinachoendelea Diamond Jubilee ni utafunaji wa Bajeti inayotakiwa kwenda kuboresha huduma za jamii

    Muda huu tarehe 10 Machi 2023, ninamuona Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makala akiongoza shughuli ya kumpongeza mama Samia kutimiza miaka 2 ya uongozi wake madarakani. Kumpongeza Rais kwa kutimiza miaka miwili madarakani ni jambo la kumpongeza lakini ni muhimu sana kuzingatia usahihi wa...
Back
Top Bottom